Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Ungejibuje?

Ungejibuje?

Ungejibuje?

ELEZA MAANA YA MFANO

1. Katika mfano wa Yesu ambao umenukuliwa katika andiko la Luka 15:11-32, mwana mmoja alifanya nini na urithi wake?

․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․

․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․

2. Baba alihisije kuhusu mwana wake aliyetubu?

․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․

․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․

3. Alipoona jinsi ndugu yake alivyotendewa, yule mwana mwingine alitendaje?

․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․

․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․

▪ Zungumzeni Pamoja: Yehova anatendaje kama yule baba katika mfano? Unahisije kuhusu itikio la yule mwana aliyebaki nyumbani?

ILITUKIA LINI?

Taja jina la kila mwandishi aliyeandika kitabu cha Biblia kilichoorodheshwa hapa chini, na uchore mstari unaounganisha kitabu na tarehe kilipokamilishwa kuandikwa.

1513 K.W.K. 1473 K.W.K. 460 K.W.K. 55-56 W.K. 60-61 W.K.

4. Ayubu

5. Zaburi

6. Wakolosai

MIMI NI NANI?

7. Baada ya kupata maono kutoka kwa roho mwovu, nilikata kauli kwamba Mungu hana imani na watumishi wake.

MIMI NI NANI?

8. Nilitoka Kolosai na nilisali kwa bidii kwa ajili ya makutaniko ya Laodikia na Hierapolisi.

KATIKA TOLEO HILI

Jibu maswali haya na utaje mistari ya Biblia ambayo haijaonyeshwa.

Ukurasa wa 5 Kwa nini si jambo la hekima kutegemea moyo wetu? (Yeremia 17:____)

Ukurasa wa 7 Sheria na vikumbusho vya Yehova hutusaidiaje? (Zaburi 19:____)

Ukurasa wa 11 Tutakazia uangalifu wetu wapi? (Wafilipi 2:____)

Ukurasa wa 20 Tunaweza kuthibitishaje kwamba tunampenda Mungu? (1 Yohana 5:____)

Watoto Watafute Picha

Je, unaweza kupata picha hizi katika toleo hili? Kwa maneno yako mwenyewe mwenyewe, eleza jambo linalotendeka katika kila picha.

(Majibu kwenye ukurasa wa 27)

MAJIBU KWA UKURASA WA 31

1. Aliharibu mali yake kwa maisha ya upotovu.—Luka 15:11-13.

2. Alimhurumia.—Luka 15:20-24.

3. Alikuwa na wivu na kinyongo.—Luka 15:25-30.

4. Musa, 1473 K.W.K.

5. Daudi, wana wa Kora, Hemani, Asafu (nyumba ya), Musa, Sulemani, Ethani, na labda wengine, 460 K.W.K.

6. Paulo, 60-61 W.K.

7. Elifazi.—Ayubu 4:1, 13-18.

8. Epafra.—Wakolosai 4:12, 13.

[Picha katika ukurasa wa 31 zimeandaliwa na]

Bottom circle: Image supplied courtesy Tourism Western Australia