Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Ungejibuje?

Ungejibuje?

Ungejibuje?

Ilitukia Wapi?

1. Yesu alikuwa wapi aliposalitiwa?

DOKEZO: Soma Mathayo 26:36-56.

Chora mviringo kwenye jibu lako katika ramani.

Bustani ya Gethsemane

Hekalu

Jumba la Gavana

Dimbwi la Siloamu

▪ Ni mtume gani aliyemsaliti Yesu?

․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․

▪ Ni mtume gani aliyemshambulia mtumwa wa kuhani mkuu?

․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․

ZUNGUMZENI PAMOJA:

Yesu alifanyaje mfuasi wake alipojaribu kumlinda akitumia silaha? Unajifunza nini kutokana na yale ambayo Yesu aliwaambia wanafunzi wake?

Katika Toleo Hili

Jibu maswali haya na utaje mistari ya Biblia ambayo haijaonyeshwa.

UKURASA WA 3 Yesu alisema alizaliwa ili afanye nini? Yohana 18:________

UKURASA WA 5-6 Paulo alisema tunapaswa kuunganishwa katika nini? 1 Wakorintho 1:________

UKURASA WA 11 Ni nini kinachoweza kutukia watu wanapojua ukweli kuhusu ushirikina? Yohana 8:________

UKURASA WA 20 Maneno yako yanaonyesha nini? Luka 6:________

Watoto Watafute Picha

Je, unaweza kupata picha hizi katika toleo hili? Kwa maneno yako mwenyewe, eleza jambo linalotendeka katika kila picha.

Ni Nani Aliye Katika Ukoo wa Yesu?

Fikiria madokezo. Soma maandiko. Kisha uandike majina sahihi katika nafasi zilizoonyeshwa.

2. ․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․

DOKEZO: Nilijulikana kuwa “mhubiri wa uadilifu.”

Soma 2 Petro 2:5.

3. ․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․

DOKEZO: Mimi ni mwana wa Noa anayetajwa kwanza kila wakati.

Soma  Mwanzo 6:10.

4. ․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․

DOKEZO: Katika siku zangu “dunia iligawanyika.”

Soma  Mwanzo 10:25.

▪ Majibu kwenye ukurasa wa 30

MAJIBU YA UKURASA WA 31

1. Bustani ya Gethsemane.

▪ Yudasi.

▪ Petro.

2. Noa.—Luka 3:36.

3. Shemu.—Luka 3:36.

4. Pelegi.—Luka 3:35.