Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Ungejibuje?

Ungejibuje?

Ungejibuje?

Fafanua Picha Hii

1. Katika simulizi lililorekodiwa katika Mathayo 25:31-46, ni nani anayeitwa “Mwana wa binadamu”?

DOKEZO: Soma Mathayo 16:13-17.

․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․

2. Ni nini kinachoamua ikiwa mtu ni kondoo au mbuzi?

․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․

3. Ni nini kinachowapata kondoo na mbuzi?

․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․

ZUNGUMZENI PAMOJA:

Ni nani ambao wanatajwa kuwa “ndugu zangu”? Unaweza kufanya nini ili kuwasaidia?

Katika Toleo Hili

Jibu maswali haya na utaje mistari ya Biblia ambayo haijaonyeshwa.

UKURASA WA 3 Wadhihaki wangesema nini katika siku za mwisho? 2 Petro 3:________

UKURASA WA 7 Uharibifu wa ghafula utakuja lini? 1 Wathesalonike 5:________

UKURASA WA 20 Kwa nini kichwa cha familia anapaswa kuwaandalia watu wa familia yake kimwili? 1 Timotheo 5:________

UKURASA WA 28 Tunataka kujiendesha kwa njia gani? Waebrania 13:________

Watoto Watafute Picha

Je, unaweza kupata picha hizi katika toleo hili? Kwa maneno yako mwenyewe, eleza jambo linalotendeka katika kila picha.

Ni Nani Aliye Katika Nasaba ya Yesu?

Fikiria madokezo. Soma maandiko. Kisha uandike majina sahihi katika nafasi zilizoonyeshwa.

4. ․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․

DOKEZO: Mimi ni babu wa Abrahamu.

Soma  Mwanzo 11:24-26.

5. ․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․

DOKEZO: Nilihama pamoja na familia yangu kutoka jiji la Uru ili niende nchi ya Kanaani.

Soma  Mwanzo 11:31.

6. ․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․

DOKEZO: Yehova alibadilisha jina langu kwa sababu alisema nitakuwa “baba ya umati wa mataifa.”

Soma  Mwanzo 17:5.

▪ Majibu kwenye ukurasa wa 19

MAJIBU YA UKURASA WA 31

1. Yesu.

2. Jinsi anavyowatendea ndugu wa kiroho wa Yesu.

3. Kondoo wanapata uzima wa milele; mbuzi wanapata uharibifu wa milele.

4. Nahori.—Luka 3:34.

5. Tera.—Luka 3:34.

6. Abrahamu.—Luka 3:34.