Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Yaliyomo

Yaliyomo

Yaliyomo

Aprili 2008

Je, Tunaishi Katika Siku za Mwisho?

Maneno “siku za mwisho” ambayo yanapatikana katika Biblia yanamaanisha nini? Yanatuathirije tukiwa mtu mmoja-mmoja? Je, kuna tumaini la kuwa na wakati ujao mzuri?

3 Siku za Mwisho—Za Nini?

4 Siku za Mwisho—Zitakuwa Lini?

8 Siku za Mwisho—Ni Nini Kitakachofuata?

10 Kujifunza Kuimba Opera

16 Mafuta Yenye Thamani ya Mediterania

20 Maoni ya Biblia Mungu Anakutazamia Ufanye Nini?

22 Kusafiri kwa Mashua Huko Kerala

26 Je, Ni Kazi ya Ubuni? Jinsi Mjusi Anavyojinatisha

30 Kuutazama Ulimwengu

31 Ungejibuje?

32 Jinsi Vijana Wanavyoweza Kukabiliana na Kushuka Moyo

Kuongoza Ndege Kunakulindaje? 13

Kwa kuwa kunakuwa na ndege nyingi angani wakati uleule, wale wanaoongoza ndege wakiwa kwenye uwanja wa ndege huzuiaje ndege hizo zisigongane? Uko salama kadiri gani unapokuwa angani?

Kwa Nini Wazazi Wangu Hawaniamini? 27

Vijana wanaweza kufanya nini ili wazazi wao wawaamini na kuwaheshimu?

[Hisani ya Picha katika ukurasa wa 3]

© Jacob Silberberg/Panos Pictures