Yaliyomo
Yaliyomo
Aprili 2008
Je, Tunaishi Katika Siku za Mwisho?
Maneno “siku za mwisho” ambayo yanapatikana katika Biblia yanamaanisha nini? Yanatuathirije tukiwa mtu mmoja-mmoja? Je, kuna tumaini la kuwa na wakati ujao mzuri?
4 Siku za Mwisho—Zitakuwa Lini?
8 Siku za Mwisho—Ni Nini Kitakachofuata?
16 Mafuta Yenye Thamani ya Mediterania
20 Maoni ya Biblia Mungu Anakutazamia Ufanye Nini?
22 Kusafiri kwa Mashua Huko Kerala
26 Je, Ni Kazi ya Ubuni? Jinsi Mjusi Anavyojinatisha
31 Ungejibuje?
32 Jinsi Vijana Wanavyoweza Kukabiliana na Kushuka Moyo
Kuongoza Ndege Kunakulindaje? 13
Kwa kuwa kunakuwa na ndege nyingi angani wakati uleule, wale wanaoongoza ndege wakiwa kwenye uwanja wa ndege huzuiaje ndege hizo zisigongane? Uko salama kadiri gani unapokuwa angani?
Kwa Nini Wazazi Wangu Hawaniamini? 27
Vijana wanaweza kufanya nini ili wazazi wao wawaamini na kuwaheshimu?
[Hisani ya Picha katika ukurasa wa 3]
© Jacob Silberberg/Panos Pictures