Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Ungejibuje?

Ungejibuje?

Ungejibuje?

Ilitukia Wapi?

1. Sauli alikuwa anasafiri kuelekea jiji gani muujiza huu ulipotokea?

DOKEZO: Soma Matendo 9:1-9.

Chora mviringo kwenye jibu lako katika ramani.

ROMA

YERUSALEMU

DAMASKO

BABILONI

▪ Ni nani aliyezungumza na Sauli kutoka mbinguni?

․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․

▪ Ni nini kilichompata Sauli nuru nyangavu ilipotokea?

․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․

ZUNGUMZENI PAMOJA:

Kwa nini Sauli alikuwa akiwatesa Wakristo? Ukizungumza na wengine kumhusu Yehova, kwa nini huenda watu fulani wakakutenda vibaya? Simulizi hilo linaweza kukupa ujasiri jinsi gani?

Katika Toleo Hili

Jibu maswali haya na utaje mistari ya Biblia ambayo haijaonyeshwa.

UKURASA WA 5 Hatupaswi kumtegemea nani? Zaburi 146:________

UKURASA WA 6 Dunia itajawa na nini? Isaya 11:________

UKURASA WA 11 Waadilifu watamiliki nini? Zaburi 37:________

UKURASA WA 27 Mwanamume Ayubu mwenye taabu alionyesha nini? Ayubu 10:________

Watoto Watafute Picha

Je, unaweza kupata picha hizi katika toleo hili? Kwa maneno yako mwenyewe, eleza jambo linalotendeka katika kila picha.

Ni Nani Aliye Katika Nasaba ya Yesu?

Fikiria madokezo. Soma maandiko. Kisha uandike majina sahihi katika nafasi zilizoonyeshwa.

2. ․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․

DOKEZO: Mama yangu alicheka aliposikia kwamba atanizaa.

Soma Mwanzo 17:19; 18:10-14.

3. ․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․

DOKEZO: Ndugu yangu aliuza haki yake ya kuzaliwa kwa mchuzi wa dengu.

Soma Mwanzo 25:29-34.

4. ․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․

DOKEZO: Baba yangu alinifafanua kuwa “mwana-simba.”

Soma Mwanzo 49:9.

▪ Majibu kwenye ukurasa wa 20

MAJIBU YA UKURASA WA 31

1. Damasko.

▪ Yesu.

▪ Akawa kipofu.

2. Isaka.—Luka 3:34.

3. Yakobo.—Luka 3:34.

4. Yuda.—Luka 3:33.