Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Ungejibuje?

Ungejibuje?

Ungejibuje?

Kuna Kasoro Gani Katika Picha Hii?

Soma Mwanzo 19:15-17, 23-26. Kisha utazame picha. Ni vitu gani vimekosekana? Andika majibu yako kwenye mistari iliyo hapa chini, na ukamilishe picha hiyo kwa kuchora vitu ambavyo havipo.

1. ․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․

2. ․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․

3. ․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․

ZUNGUMZENI PAMOJA:

Ni nini kilichompata mke wa Loti, na kwa nini? Umejifunza somo gani kutokana na simulizi hilo?

Katika Toleo Hili

Jibu maswali haya na utaje mistari ya Biblia ambayo haijaonyeshwa.

UKURASA WA 6 Wazazi wanapaswa kuwa wepesi kuhusu nini? Yakobo 1:________

UKURASA WA 7 Mvulana aliyeachiliwa atafanya nini? Methali 29:________

UKURASA WA 10 Mungu anahisije kuhusu mtu yeyote anayependa jeuri? Zaburi 11:________

UKURASA WA 20 Tunaweza kuwa na hakika kwamba Mungu ni mkuu kuliko nini? 1 Yohana 3:________

Watoto Watafute Picha

Je, unaweza kupata picha hizi katika toleo hili? Kwa maneno yako mwenyewe, eleza jambo linalotendeka katika kila picha.

Ni Nani Aliye Katika Nasaba ya Yesu?

Fikiria madokezo. Soma maandiko. Kisha uandike majina sahihi katika nafasi zilizoonyeshwa.

4. ․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․

DOKEZO: Mimi ni mwana pacha wa Yuda kupitia Tamari, na sikufungwa kitambaa chekundu mkononi.

Soma Mwanzo 38:24-30.

5. ․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․

DOKEZO: Hapo zamani, mke wangu alikuwa kahaba katika jiji la Yeriko.

Soma Yoshua 2:1; Mathayo 1:5.

6. ․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․

DOKEZO: Mjane Mmoabu alikuja kuwa mke wangu.

Soma Ruthu 4:9, 10.

▪ Majibu kwenye ukurasa wa 29

MAJIBU YA UKURASA WA 31

1. Mke wa Loti.

2. Binti wa kwanza wa Loti.

3. Binti wa pili wa Loti.

4. Perezi.—Luka 3:33.

5. Salmoni. —Luka 3:32.

6. Boazi.—Luka 3:32.