Yaliyomo
Yaliyomo
Agosti 2008
Kuongezeka kwa Joto Duniani—Je, Sayari Yetu Imo Hatarini?
Ripoti katika vyombo vya habari zinazidi kuonyesha kwamba tusipotenda sasa, kuongezeka kwa joto duniani kunaweza kutokeza mabadiliko makubwa ya hali ya hewa yaliyo na madhara makubwa kwetu na kwa mazingira. Je, tuogope mambo hayo? Fikiria uthibitisho unaotolewa.
3 Je, Kuna Dalili za Matatizo?
8 Wakati Ujao wa Dunia Umo Mikononi mwa Nani?
Ushirikiano wa Ajabu Katika Udongo
Ninaweza Kupingaje Vishawishi?
29 “Asanteni kwa Kuwapenda Watu Sana”
31 Ungejibuje?
32 Msaada Katika Kipindi cha Kuomboleza
Upendo Wenye Nguvu Kuliko Kimbunga! 16
Soma kuhusu matendo mazuri yanayofanywa kunapokuwa na misiba ya asili, si kutoka kwa waathiriwa bali kutoka kwa wafanyakazi wa kutoa msaada ambao wamejidhabihu kabisa ili kuwasaidia.
Je, Tumwabudu Mungu Kupitia Sanamu? 20
Mamilioni ya watu hutumia sanamu za kuchongwa na za picha ili kuabudu. Muumba ana maoni gani kuhusu mazoea hayo?
[Picha katika ukurasa wa 2]
Ukame nchini Australia
[Picha katika ukurasa wa 2]
Mafuriko nchini Tuvalu
[Hisani ya Picha katika ukurasa wa 2]
COVER: © Ingrid Visser/SeaPics.com; page 2: Australia: Photo by Jonathan Wood/Getty Images; Tuvalu: Gary Braasch/ZUMA Press