Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Ungejibuje?

Ungejibuje?

Ungejibuje?

Kuna Kasoro Gani Katika Picha Hii?

Soma Ufunuo 12:3. Kisha utazame picha. Ni vitu gani vimekosekana? Andika majibu yako kwenye mistari iliyo hapa chini, na ukamilishe picha hiyo kwa kuchora vitu ambavyo havipo.

1 ․․․․․

2 ․․․․․

3 ․․․․․

ZUNGUMZENI PAMOJA:

Joka huyo anawakilisha nani? Ana uvutano gani juu ya dunia nzima inayokaliwa?

DOKEZO: Soma Ufunuo 12:9.

Katika Toleo Hili

Jibu maswali haya na utaje mistari ya Biblia ambayo haijaonyeshwa.

UKURASA WA 3 Mungu ameweka nini ndani ya akili na moyo wa mwanadamu? Mhubiri 3:________

UKURASA WA 5 Ni zawadi gani ambayo Mungu hutoa? Waroma 6:________

UKURASA WA 21 Yesu alisema ni majina gani ya cheo ambayo hatupaswi kutumia? Mathayo 23:________

UKURASA WA 27 Mtu mwerevu anafanya nini? Methali 22:________

Watoto Watafute Picha

Je, unaweza kupata picha hizi katika toleo hili? Kwa maneno yako mwenyewe, eleza jambo linalotendeka katika kila picha.

Ni Nani Aliye Katika Nasaba ya Yesu?

Fikiria madokezo. Soma maandiko. Kisha uandike majina sahihi katika nafasi zilizoonyeshwa.

4 ․․․․․

DOKEZO: Zera yule Mwethiopia alikuja kupigana nami akiwa na wanaume milioni moja, lakini Yehova akawashinda mbele yangu.

Soma 2 Mambo ya Nyakati 14:9-12.

5 ․․․․․

DOKEZO: Nilipanga Sheria ya Yehova ifundishwe katika majiji ya Yuda.

Soma 2 Mambo ya Nyakati 17:1, 7-9.

6 ․․․․․

DOKEZO: Nilizikwa katika Jiji la Daudi lakini si katika makaburi ya wafalme.

Soma 2 Mambo ya Nyakati 21:16-20.

▪ Majibu kwenye ukurasa wa 13

MAJIBU YA UKURASA WA 31

1. Kichwa kimoja na shingo.

2. Pembe kumi.

3. Mataji saba.

4. Asa.—Mathayo 1:7.

5. Yehoshafati.—Mathayo 1:8.

6. Yehoramu.—Mathayo 1:8.