Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Ungejibuje?

Ungejibuje?

Ungejibuje?

Ilitukia Wapi?

1. Musa alipokuwa mtoto alipatikana katika mto gani?

DOKEZO: Soma Kutoka 2:1-10.

Chora mviringo kwenye jibu lako katika ramani.

Efrati

Yordani

Nile

▪ Ni nani aliyekuwa akimtazama Musa kutoka mbali?

․․․․․

▪ Ni nani aliyempata Musa akielea kwenye mto?

․․․․․

▪ Ni nani aliyechaguliwa amnyonyeshe Musa?

․․․․․

ZUNGUMZENI PAMOJA:

Dada ya Musa alikuwa na sifa gani? Ikiwa una ndugu au dada, unaweza kumwiga dada ya Musa jinsi gani?

Katika Toleo Hili

Jibu maswali haya na utaje mistari ya Biblia ambayo haijaonyeshwa.

UKURASA WA 8 Kila mtu mwerevu atafanya nini? Methali 13:________

UKURASA WA 8 Ukijitenga na wengine utapatwa na nini? Methali 18:________

UKURASA WA 9 Mama mzuri anafanya nini? Methali 31:________

UKURASA WA 9 Kwa nini usitawishe uwezo wa kufikiri? Methali 2:________

Watoto Watafute Picha

Je, unaweza kupata picha hizi katika toleo hili? Kwa maneno yako mwenyewe, eleza jambo linalotendeka katika kila picha.

Ni Nani Aliye Katika Nasaba ya Yesu?

Fikiria madokezo. Soma maandiko. Kisha uandike majina sahihi katika nafasi zilizoonyeshwa.

2. ․․․․․

DOKEZO: Nilipigwa na ukoma nilipojaribu kufukiza uvumba kwenye madhabahu ya Yehova.

Soma 2 Mambo ya Nyakati 26:16-19.

3. ․․․․․

DOKEZO: Nilikuwa mfalme mzuri aliyejenga lango la juu la nyumba ya Yehova.

Soma 2 Mambo ya Nyakati 27:1-4

4. ․․․․․

DOKEZO: Niliwateketeza wanangu kama dhabihu katika Bonde la Hinomu.

Soma 2 Mambo ya Nyakati 28:1, 3, 4.

▪ Majibu kwenye ukurasa wa 12

MAJIBU YA UKURASA WA 31

1. Mto Nile.

▪ Dada ya Musa.

▪ Binti ya Farao.

▪ Mama ya Musa.

2. Uzia.—Mathayo 1:8.

3. Yothamu.—Mathayo 1:9.

4. Ahazi.—Mathayo 1:9.