Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Je, Kuna Muumba, na Ikiwa Yupo, Je, Anakujali?

Je, Kuna Muumba, na Ikiwa Yupo, Je, Anakujali?

Je, Kuna Muumba, na Ikiwa Yupo, Je, Anakujali?

▪ Tuna maoni kama ya watu wengi wenye kuheshimika tuulizapo, Ni nini kilichotokeza ulimwengu, sayari yetu, na uhai uliomo ndani yake? Na hicho chahusianaje na kupata maisha yenye umaana wa kuridhisha?

Watu wengi huamini uumbaji, kwamba kuna Muumba anayetujali. Je, utafiti waonyesha kama jambo hilo lakubalika katika enzi hii ya sayansi? Kwa nini watu wengi wenye elimu wanachunguza Biblia, na je, yale ambayo inasema kuhusu Muumba yanapasa kuwa yenye umaana kwetu na kwa wapendwa wetu?

Kitabu cha kurasa 192 chenye kichwa Je, Kuna Muumba Anayekujali? chazungumzia masuala haya. Utaona kwamba majibu yake ya wazi yanaweza kukusaidia ufanye maisha yako yawe na maana na pia kukusaidia kuweka msingi wa wakati ujao wenye furaha zaidi. Unaweza kuomba kitabu hiki kwa kujaza sehemu iliyoonyeshwa hapa chini na kuituma ukitumia anwani iliyoonyeshwa au anwani ifaayo kati ya zile zilizoorodheshwa kwenye ukurasa wa 5 wa gazeti hili.

□ Bila masharti, ningependa kupokea kitabu kilichoonyeshwa hapa.

□ Ningependa kujifunza Biblia nyumbani kwangu bila malipo.

[Hisani ya Picha katika ukurasa wa 32]

Eagle Nebula: J. Hester and P. Scowen (AZ State Univ.), NASA