Ungejibuje?
Ungejibuje?
Ilitukia Wapi?
1. Mwamba ambao Musa aliupiga uwatolee Waisraeli maji ulikuwa wapi?
DOKEZO: Soma Hesabu 20:1-8.
Chora mviringo kwenye jibu lako katika ramani.
Kadeshi
Refidimu
Ml. Sinai (Horebu)
▪ Musa na Haruni walifanya kosa gani, nao walipewa adhabu gani?
․․․․․
DOKEZO: Soma Hesabu 20:9-13; Zaburi 106:32, 33.
ZUNGUMZENI PAMOJA:
Unafikiri ni kwa nini Musa aliwakasirikia Waisraeli? Kwa nini ni muhimu kudhibiti hasira yako?
Katika Toleo Hili
Jibu maswali haya na utaje mistari ya Biblia ambayo haijaonyeshwa.
UKURASA WA 7 Mashirika mabaya yatakuathirije? 1 Wakorintho 15:________
UKURASA WA 8 Wenye furaha ni watu wanaotambua nini? Mathayo 5:________
UKURASA WA 13 Namna yetu ya maisha inapaswa kuwa bila nini? Waebrania 13:________
UKURASA WA 18 Upendo haukosi nini? 1 Wakorintho 13:________
Watoto Watafute Picha
Je, unaweza kupata picha hizi katika toleo hili? Kwa maneno yako mwenyewe, eleza jambo linalotendeka katika kila picha.
Unajua Nini Kuhusu Manabii?
Soma Amosi 7:10-17, kisha ujibu maswali yafuatayo.
2. ․․․․․
Kuhani Amazia alimshtaki Amosi kuhusu kosa gani?
3. ․․․․․
Ni sifa gani mbili ambazo Amosi anaonyesha anapojibu dhihaka za Amazia?
ZUNGUMZENI PAMOJA:
Je, unapaswa kuacha kuzungumza kuhusu Yehova kwa sababu tu watu fulani wanakudhihaki? Kwa nini?
▪ Majibu kwenye ukurasa wa 11
MAJIBU YA UKURASA WA 31
1. Kadeshi.
▪ Musa alizungumza bila kufikiri, naye na Haruni hawakumtukuza Yehova, kwa hiyo hawakuruhusiwa kuingia Nchi ya Ahadi.
2. Alipanga njama dhidi ya mfalme.
3. Unyenyekevu na ujasiri.
[Hisani ya Picha katika ukurasa wa 31]
Map: Based on maps copyrighted by Pictorial Archive (Near Eastern History) Est. and Survey of Israel