Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Ungejibuje?

Ungejibuje?

Ungejibuje?

Ilitukia Wapi?

1. Tukio hili lilitokea katika jiji gani?

DOKEZO: Soma Matendo 18:1-3.

Chora mviringo kwenye jibu lako katika ramani.

Roma

Korintho

Efeso

Tarso

▪ Watu hawa watatu wanafanya nini?

․․․․․

▪ Wenzi hao wa ndoa wanaitwaje, na rafiki yao anaitwa nani?

․․․․․

ZUNGUMZENI PAMOJA:

Ni mtu gani mwingine ambaye wenzi hao wa ndoa walimsaidia?

DOKEZO: Soma Matendo 18:24-26.

Unafikiria wenzi hao walifurahia zaidi kufanya kazi gani, na kwa nini?

Watoto Watafute Picha

Je, unaweza kupata picha hizi katika toleo hili? Kwa maneno yako mwenyewe, eleza jambo linalotendeka katika kila picha.

Katika Toleo Hili

Jibu maswali haya, na utaje mistari ya Biblia ambayo haijaonyeshwa.

UKURASA WA 3 Mtu ambaye hawaandalii mahitaji watu wa familia yake ni mbaya kuliko nani? 1 Timotheo 5:________

UKURASA WA 5 Kwa nini wawili ni afadhali kuliko mmoja? Mhubiri 4:________

UKURASA WA 11 Hekima inaweza kupatikana katikati ya nani? Ayubu 12:________

UKURASA WA 29 Mtu anapaswa kujiepusha na nini? 1 Wathesalonike 4:________

Unajua Nini Kuhusu Mwamuzi Gideoni?

Soma Waamuzi 6:1–7:25. Sasa jibu maswali yafuatayo.

2. ․․․․․

Alitoka katika kabila gani?

3. ․․․․․

Aliwakomboa Waisraeli dhidi ya taifa gani?

4. ․․․․․

Kweli au si kweli? Aliishi kabla ya Musa.

ZUNGUMZENI PAMOJA:

Alipowekwa rasmi na Yehova kwa mara ya kwanza, Gideoni alionyesha sifa gani?

DOKEZO: Soma Waamuzi 6:14-16.

Je, unafikiri kwamba hiyo ni sifa nzuri? Eleza kwa nini unajibu hivyo.

▪ Majibu kwenye ukurasa wa 27

MAJIBU YA UKURASA WA 31

1. Korintho.

▪ Kutengeneza hema.

▪ Akila, Prisila, na Paulo.

2. Manase.—Waamuzi 6:15.

3. Midiani.—Waamuzi 6:6.

4. Si kweli.