Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Mazungumzo ya Familia

Mazungumzo ya Familia

Mazungumzo ya Familia

Ilitukia Wapi?

1. Tukio hili lilitendeka karibu na jiji gani?

DOKEZO: Soma Matendo 6:7-9; 7:54-60.

Chora mviringo kwenye jibu lako katika ramani.

Damasko

Yerusalemu

Bethlehemu

2. Kwa nini Stefano anapigwa kwa mawe?

․․․․․

3. Stefano anamwomba Mungu awatendee jinsi gani wale wanaompiga kwa mawe?

․․․․․

ZUNGUMZENI PAMOJA:

Una maoni gani kuhusu jinsi Stefano alivyowatendea watu waliompiga kwa mawe? Ikiwa ungekuwa katika hali ya Stefano, ungetenda jinsi gani na kwa nini?

UNAJUA NINI KUHUSU MFALME HEZEKIA?

4. Baba ya Hezekia alikuwa nani?

DOKEZO: Soma 2 Wafalme 18:1.

․․․․․

5. Ingawa baba ya Hezekia alikuwa mbaya sana, Hezekia alijiletea sifa gani?

DOKEZO: Soma 2 Wafalme 18:5.

․․․․․

ZUNGUMZENI PAMOJA:

Ni nini kilichomsaidia Hezekia aendelee kuwa imara?

DOKEZO: Soma 2 Wafalme 18:6.

Mtu katika familia yenu akiacha kumtumikia Mungu, unaweza kumwiga Hezekia kwa njia gani?

WATOTO WATAFUTE PICHA

Je, unaweza kupata picha hizi katika toleo hili? Kwa maneno yako mwenyewe, eleza jambo linalotendeka katika kila picha.

KATIKA TOLEO HILI

Jibu maswali haya, na utaje mistari ya Biblia ambayo haijaonyeshwa.

UKURASA WA 5 Mifumo ya mwili wetu inathibitisha nini? Zaburi 139:________

UKURASA WA 8 Amani ya Mungu inaweza kufanya nini? Wafilipi 4:________

UKURASA WA 13 Konzi moja ya pumziko ni afadhali kuliko nini? Mhubiri 4:________

UKURASA WA 23 Mungu anampenda mtu wa aina gani? 2 Wakorintho 9:________

● Majibu kwenye ukurasa wa 11

MAJIBU YA UKURASA WA 31

1. Yerusalemu.

2. Stefano alikuwa ameshtakiwa kuwa mkufuru.

3. Awasamehe wanaomshambulia.

4. Mfalme Ahazi.

5. Hakukuwa na mfalme mwingine mwenye bidii kwa ajili ya ibada ya kweli kama yeye.