Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Mashahidi wa Yehova Hutumia Njia Gani Kufundisha Biblia?

Mashahidi wa Yehova Hutumia Njia Gani Kufundisha Biblia?

Mashahidi wa Yehova Hutumia Njia Gani Kufundisha Biblia?

Wao hufundisha habari mbalimbali kwa kutumia kitabu Biblia Inafundisha Nini Hasa? Kitabu hicho kina sura 19 zinazotia ndani:

“Ukweli Kumhusu Mungu”

“Yesu Kristo Ni Nani?”

“Wafu Wako Wapi?”

“Je, Tunaishi Katika ‘Siku za Mwisho’?”

“Kwa Nini Mungu Anawaacha Watu Wateseke?”

“Jinsi ya Kufanya Maisha ya Familia Yako Yawe Yenye Furaha”

Wanafunzi wanaweza kuuliza maswali na kujisomea wenyewe majibu kutoka katika Biblia. Kisha, kwa kutegemea yale ambayo wamejifunza kutoka katika Biblia, wanafunzi hao wanaweza kuamua dini watakayofuata.

Unaweza kuomba kupata funzo la Biblia, pamoja na nakala ya kitabu hicho, kwa kujaza sehemu iliyoonyeshwa hapa chini na kuituma kwa anwani iliyoonyeshwa au anwani ifaayo kati ya zile zilizoorodheshwa kwenye ukurasa wa 5 wa gazeti hili.

Bila masharti, ningependa kupokea nakala ya kitabu kilichoonyeshwa hapa chini.

Ningependa kujifunza Biblia bila malipo.