Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Jinsi ya Kuwa Rafiki ya Mungu

Jinsi ya Kuwa Rafiki ya Mungu

Jinsi ya Kuwa Rafiki ya Mungu

● Hilo ndilo jambo ambalo broshua Wewe Unaweza Kuwa Rafiki ya Mungu! yenye kurasa 32 inavyotufundisha. Baadhi ya masomo yake ni “Mungu Anataka Uwe Rafiki Yake” na “Mungu Ndiye Rafiki Bora Uwezaye Kuwa Naye.” Broshua hiyo imechapishwa ili imsaidie msomaji ajifunze mafundisho ya msingi ya Biblia.

Katika somo “Rafiki za Mungu Wataishi Katika Paradiso,” broshua hiyo inaeleza wazi kuhusu kusudi la Mungu kwa dunia. Lakini, ili tufurahie Paradiso ambayo Biblia inaahidi, tunahitaji kujifunza jinsi ambavyo Mungu anataka tumtumikie. Masomo kama vile “Jinsi ya Kupata Dini ya Kweli” na “Ikatae Dini Isiyo ya Kweli!” yatakusaidia uwe rafiki ya Mungu na upate kibali chake. Tuna hakika kuwa utafurahia kusoma broshua hiyo.

Unaweza kuomba funzo la Biblia, pamoja na nakala ya broshua hiyo, kwa kujaza sehemu iliyoonyeshwa hapa chini na kuituma kwa anwani iliyoonyeshwa au anwani ifaayo kati ya zile zilizoorodheshwa kwenye ukurasa wa 5 wa gazeti hili.

□ Bila masharti, ningependa kupokea nakala ya broshua hiyo iliyoonyeshwa hapa chini.

□ Ningependa kujifunza Biblia bila malipo.