Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Mazungumzo ya Familia

Mazungumzo ya Familia

Mazungumzo ya Familia

Kuna Tofauti Gani?

Je, unaweza kutambua tofauti tatu kati ya picha A na picha B? Andika majibu yako kwenye mistari iliyo hapa chini, na ukamilishe picha hizo kwa kuzipaka rangi.

DOKEZO: Soma Isaya 6:1-8.

1. ․․․․․

2. ․․․․․

3. ․․․․․

4. Ni picha gani iliyo sahihi, picha A au picha B?

ZUNGUMZIENI PAMOJA:

Isaya alikuwa na mtazamo gani mzuri? Unawezaje kuonyesha kwamba wewe ni mnyenyekevu na mwenye utayari?

DOKEZO: Soma Zaburi 110:3; Mathayo 28:19, 20.

UTENDAJI WA FAMILIA:

Kila mtu katika familia afanye utafiti wa habari zinazohusu wajibu mbalimbali wa malaika. Kisha mkutane na kueleza mambo mliyojifunza. Kwa mfano, ni nini baadhi ya madaraka ya malaika?

DOKEZO: Soma Zaburi 34:7; Waebrania 1:14; Ufunuo 14:6, 7.

Je, malaika wana vyeo mbalimbali na kazi hususa?

DOKEZO: Soma Zaburi 103:19-21.

Je, malaika ni wanyenyekevu na wako tayari kuwasaidia wengine?

DOKEZO: Soma Waamuzi 13:17, 18; Luka 22:43; Ufunuo 22:8, 9.

Kusanya na Ujifunze

Kata, kunja katikati, na uhifadhi

KADI YA BIBLIA 12 ISAYA

MASWALI

A. Ni nani aliyeandamana na Isaya alipoenda kumpa Mfalme Ahazi ujumbe?

B. Yehova alipouliza, “Nitamtuma nani?” Isaya alijibuje?

C. Isaya alitabiri hivi: “Dunia hakika itajawa . . . ”

[Chati]

4026 K.W.K. 1 W.K. 98 W.K.

Adamu aumbwa Aliishi miaka ya Kitabu cha mwisho

700 K.W.K. cha Biblia kinaandikwa

[Ramani]

Aliishi Yerusalemu

Yerusalemu

ISAYA

MAMBO MACHACHE KUMHUSU

Nabii mwaminifu, aliyehakikisha kwamba familia yote inamwabudu Mungu. Aliwawekea mfano mzuri kwa jinsi alivyotimiza huduma yake. Mke wake aliitwa “yule nabii wa kike.” (Isaya 7:3; 8:3, 18) Isaya alimtumikia Mungu kwa angalau miaka 46. Jina lake linamaanisha “Wokovu wa Yehova.”

MAJIBU

A. Mwana wake, Shear-yashubu.—Isaya 7:3.

B. “Mimi hapa! Nitume mimi.”—Isaya 6:8.

C. “. . . na kumjua Yehova.”—Isaya 11:9.

Watu na Nchi

5. Majina yetu ni Abigail na Jeriah, nina umri wa miaka 9, na Jeriah ana umri wa miaka 7. Tunaishi nchini India. Kuna Mashahidi wa Yehova wangapi nchini India? Je, ni 31,500,  59,600, au 86,000?

6. Ni alama gani inayoonyesha eneo tunamoishi? Chora duara kuizunguka na utie alama kuonyesha eneo unaloishi kisha uone kwenu ni umbali gani kutoka India.

A

B

C

D

Watoto Watafute Picha

Je, unaweza kupata picha hizi katika toleo hili? Kwa maneno yako mwenyewe, eleza jambo linalotendeka katika kila picha.

Ili kuchapisha nakala zaidi za “Mazungumzo ya Familia,” tembelea Tovuti ya www.pr418.com/sw

● Majibu ya “MAZUNGUMZO YA FAMILIA” kwenye ukurasa wa 20

MAJIBU YA UKURASA WA 30 NA 31

1. Malaika ana mabawa sita katika picha moja na mabawa manne kwenye ile picha nyingine.

2. Malaika ameshikilia koleo kwenye picha moja lakini ameshikilia upanga kwenye ile picha nyingine.

3. Kaa linagusa midomo ya Isaya kwenye picha moja na kwenye ile picha nyingine, linagusa mikono yake.

4. B.

5. 31,500.

6. B.

[Hisani ya Picha katika ukurasa wa 31]

La Voz de Galicia/Fotógrafo: Víctor Mejuto