Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Unamwonaje Yesu?

Unamwonaje Yesu?

Unamwonaje Yesu?

Je, wewe humwona Yesu kama mtoto ambaye ametoka tu kuzaliwa, mwanamume anayekaribia kufa, au Mfalme aliyekwezwa?

Biblia inafunua kwamba Yesu ni Mfalme mwenye nguvu nyingi. Lakini hilo lina maana gani kwako?

Watu wengi wanaamini kwamba Yesu alikufa kwa ajili yao. Hata hivyo, ni kwa njia gani tunaweza kupata uzima leo kupitia kifo cha mtu mmoja aliyekufa karibu miaka 2,000 iliyopita?

Unaalikwa kwa moyo mkunjufu usikilize majibu ya Kimaandiko ya maswali hayo. Majibu hayo yatatolewa wakati Mashahidi wa Yehova watakapokusanyika kuadhimisha kifo cha Yesu Alhamisi, Aprili 5, baada ya jua kutua.

Tafadhali waulize Mashahidi wa Yehova walio karibu nawe kuhusu saa hususa na mahali pa kukutania.