Wewe Ungebadili Nini?
Wewe Ungebadili Nini?
Ni jambo gani kuhusu ulimwengu wetu linalokuhangaisha wewe zaidi?
NJAA
UMASKINI
MAGONJWA
UHALIFU
UKOSEFU WA HAKI
VITA
UCHAFUZI
UBAGUZI
Kati ya mambo yafuatayo, ni jambo gani ambalo wewe ungependa sana kuona?
AMANI KATI YA MATAIFA
HUDUMA BORA ZA KITIBA ZINAZOWEZA KUPATIKANA KWA WOTE
KUKOMESHWA KWA UBAGUZI
CHAKULA NA MAJI YA KUNYWA YA KUTOSHA
MITAA SALAMA
MAZINGIRA SAFI
KILA MTU AKITENDEWA KWA HAKI
Je, mabadiliko unayotaka kuyaona yatawahi kutokea? Watu fulani wanasema kwamba tunahitaji kuwa na serikali bora ili tupate mabadiliko hayo. Je, viongozi wa ulimwengu wanaweza kuubadili ulimwengu wetu? Mambo hakika yanaonyesha nini?