Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Msaada Ili Ufanikiwe Shuleni

Msaada Ili Ufanikiwe Shuleni

● Ninaweza kukabiliana jinsi gani na mikazo darasani?

● Naweza kufanyaje maksi zangu ziwe nzuri?

● Ninaweza kufanya nini ili nielewane na mwalimu mgumu?

● Ninaweza kufikia miradi yangu jinsi gani?

Hizo ni baadhi tu ya habari zinazozungumziwa katika vitabu Maswali Ambayo Vijana Huuliza​—Majibu Yafanyayo Kazi, Buku la 1 na la 2.

Katika vitabu hivyo utapata pia ushauri unaotegemea Biblia kuhusu marafiki, hisia zako, na uhusiano wako pamoja na watu wa jinsi tofauti.