MNARA WA MLINZI—TOLEO LA FUNZO Desemba 2024

Toleo hili lina makala za funzo za Februari 3–​Machi 2, 2025.

MAKALA YA 48

Mambo Tunayojifunza Kutokana na Muujiza wa Yesu wa Kuandaa Mikate

Tutajifunza makala hii katika juma la Februari 3-9, 2025.

MAKALA YA 49

Unahitaji Kufanya Nini Ili Uishi Milele?

Tutajifunza makala hii katika juma la Februari 10-16, 2025.

MAKALA YA 50

Wazazi​—⁠Wasaidieni Watoto Wenu Waimarishe Imani Yao

Tutajifunza makala hii katika juma la Februari 17-23, 2025.

MAKALA YA 51

Machozi Yako Yana Thamani kwa Yehova

Tutajifunza makala hii katika juma la Februari 24–​Machi 2, 2025.

SIMULIZI LA MAISHA

Sijaacha Kamwe Kujifunza

Joel Adams anasimulia mambo yaliyomsaidia kuendelea na utumishi wa Yehova kwa shangwe kwa zaidi ya miaka 80.

Maswali Kutoka kwa Wasomaji

“Malaika waliochaguliwa” wanaotajwa kwenye 1 Timotheo 5:21 ni nani?

Je, Unakumbuka?

Je, umesoma kwa makini matoleo ya Mnara wa Mlinzi ya hivi karibuni? Ona ikiwa unakumbuka.

Watu Waaminifu Hutimiza Nadhiri Zao

Tunaweza kujifunza nini kutokana na simulizi la Yeftha na binti yake?