MNARA WA MLINZI—TOLEO LA FUNZO Aprili 2016

Toleo hili lina makala za funzo za Mei 30 hadi Juni 26, 2016.

Je, Huduma Yako Ni Kama Umande?

Huduma yako inawezaje kuwa kama umande mwanana, unaoburudisha, na unaoendeleza uhai?

Uaminifu Hutuwezesha Kupata Kibali cha Mungu

Wakristo wanajifunza nini kutokana na simulizi la Yeftha na binti yake?

Je, Unatumia kwa Hekima Uwezo Wako wa Kuwazia?

Unaweza kukudhuru au kukunufaisha.

“Acheni Uvumilivu Ukamilishe Kazi Yake”

Ni nini kinachohusika tunapokabili majaribu ya uvumilivu? Na ni mifano gani bora ya watu waliovumilia inayoweza kutuimarisha?

Kwa Nini Tunapaswa Kukutanika Pamoja kwa Ajili ya Ibada?

Kuhudhuria mikutano kunatunufaishaje? Wengine wananufaikaje tunapohudhuria mikutano, na Yehova anahisije?

SIMULIZI LA MAISHA

Walikuwa Watawa, Sasa Ni Dada Kiroho

Ni nini kilichowafanya waache makao ya watawa na kuacha dini ya Katoliki?

Dumisha Msimamo wa Kikristo Katika Ulimwengu Uliogawanyika

Mambo manne yatakayokusaidia ukabiliane na changamoto za kudumisha msimamo wako wa kutounga mkono upande wowote.

Maswali kutoka kwa wasomaji

‘Rehani’ na ‘muhuri’ ambao kila Mkristo mtiwa mafuta anapokea kutoka kwa Mungu ni nini?