MNARA WA MLINZI—TOLEO LA FUNZO Aprili 2018

Toleo hili lina makala za funzo za Juni 4 hadi Julai 8, 2018.

Jinsi ya Kupata Uhuru wa Kweli

Baadhi ya watu wanatamani kuwa huru kutokana na ukandamizaji, ubaguzi, na umaskini na wengine hudai haki ya kuwa na uhuru wa kusema au uhuru wa kujiamulia watakavyo. Je, kweli watu wanaweza kupata uhuru wa kweli?

Mtumikie Yehova, Mungu wa Uhuru

Roho ya Yehova imetuweka huru jinsi gani? Tunaweza kufanya nini ili tusitumie vibaya uhuru tuliopewa na Mungu?

Wanaume Mliowekwa Rasmi—Jifunzeni Kutoka kwa Timotheo

Inaonekana kwamba Timotheo alikosa ujasiri alipoanza kufanya kazi pamoja na mtume Paulo. Wazee wa makutaniko na watumishi wa huduma wanaweza kujifunza nini kutokana na mfano wa Timotheo?

Mwige Yehova—Mungu Ambaye Hututia Moyo

Sikuzote, watu wa Yehova wamehitaji kutiwa moyo.

Endeleeni Kutiana Moyo “na Kufanya Hivyo Zaidi”

Kwa kuwa siku ya Yehova iko karibu sana, tunahitaji kupendezwa kibinafsi na ndugu zetu ili tuwaimarishe kunapokuwa na uhitaji.

Vijana, Je, Mnatanguliza Malengo ya Kiroho Maishani?

Vijana wanaweza kulemewa na fursa zinazowakabili na maamuzi wanayohitaji kufanya. Wanaweza kufanyaje maamuzi hayo yanayohusu wakati wao ujao kwa hekima?

Maswali Kutoka kwa Wasomaji

Kwa nini hairuhusiwi kuweka machapisho ya Mashahidi wa Yehova kwenye tovuti za kibinafsi au kwenye mitandao ya kijamii?

Maswali Kutoka kwa Wasomaji

Kwa nini mpangilio wa maneno ya Zaburi 144 kwenye Tafsiri ya Ulimwengu Mpya umerekebishwa?