MNARA WA MLINZI—TOLEO LA FUNZO Aprili 2020

Toleo hili lina makala za funzo za Juni 1–Julai 5, 2020.

Shambulizi Kutoka Kaskazini!

Makala ya 14: Juni 1-7, 2020. Kuna sababu zipi nne nzuri zinazofanya iwe lazima kubadili uelewaji wetu wa Yoeli sura ya 1 na ya 2?

Unayaonaje Mashamba?

Makala ya 15: Juni 8-14, 2020. Chunguza jinsi tunavyoweza kumwiga Yesu na mtume Paulo kwa kuzingatia imani, mapendezi, na uwezekano wa watu kuwa wanafunzi wa Kristo wa wakati ujao.

Sikiliza, Jifunze, na Uonyeshe Huruma

Makala ya 16: Juni 15-21, 2020. Yehova aliwasaidia kwa upendo Yona, Eliya, Hagari, na Loti. Chunguza jinsi tunavyoweza kumwiga Yehova tunaposhughulika na wengine.

“Nimewaita Rafiki”

Makala ya 17: Juni 22-28, 2020. Tunakabili changamoto mbalimbali inapohusu kusitawisha na kudumisha urafiki wa karibu pamoja na Yesu. Lakini tunaweza kuzishinda changamoto hizo.

“Kimbia Mbio Mpaka Mwisho”

Makala ya 18: Juni 29–Julai 5, 2020. Sisi sote tunaweza kushindaje mbio za uzima licha ya kuteseka kwa sababu ya umri kusonga na magonjwa yenye kudhoofisha?