MNARA WA MLINZI—TOLEO LA FUNZO Desemba 2017
Toleo hili lina makala za funzo za Januari 29 hadi Februari 25, 2018.
“Ninajua Atafufuka”
Kwa nini tunaweza kuwa na uhakika kwamba kutakuwa na ufufuo wakati ujao?
“Nina Tumaini kwa Mungu”
Kwa nini fundisho la ufufuo ni miongoni mwa mafundisho ya msingi ya imani ya Kikristo?
Je, Unakumbuka?
Je, umesoma kwa makini matoleo ya hivi karibuni ya Mnara wa Mlinzi? Ona ni maswali mangapi ya Biblia unayoweza kujibu.
Maswali Kutoka kwa Wasomaji
Je, wazaliwa wa kwanza katika Israeli la kale ndio tu waliokuwa na haki ya kufanyiza ukoo ambao ungemtokeza Masihi?
Maswali Kutoka kwa Wasomaji
Je, Wakristo waliofunga ndoa wanaweza kuiona njia ya kupanga uzazi kwa kutumia kitanzi (IUD) kuwa njia inayopatana na Maandiko?
Wazazi—Wasaidieni Watoto Wenu Wawe ‘Wenye Hekima kwa Ajili ya Wokovu’
Wazazi wengi Wakristo huwa na wasiwasi wakati mwana au binti yao anapotaka kuchukua hatua ya kujiweka wakfu na kubatizwa. Wanaweza kufanya nini ili kumsaidia mtoto wao afanikiwe kukomaa ili apate wokovu?
Vijana—“Endeleeni Kuufanyia Kazi Wokovu Wenu Wenyewe”
Ubatizo ni hatua muhimu, lakini vijana hawapaswi kuogopa au kuepuka kuchukua hatua hiyo.
SIMULIZI LA MAISHA
Niliacha Vitu Vyote Ili Kumfuata Bwana
Felix Fajardo alikuwa na umri wa miaka 16 tu alipoamua kuwa Mkristo. Zaidi ya miaka 70 baadaye, hajuti kamwe kwamba alimfuata Bwana popote alipomwongoza.
Fahirisi ya Habari za Mnara wa Mlinzi 2017
Orodha hii itakusaidia kupata makala mbalimbali za Mnara wa Mlinzi zilizochapishwa mwaka wa 2017.