Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Fahirisi ya Habari za Mnara wa Mlinzi 2017

Fahirisi ya Habari za Mnara wa Mlinzi 2017

Inaonyesha tarehe ya toleo ambamo makala inapatikana

BIBLIA

  • Biblia—kwa Nini Ziko Nyingi Na. 6

  • Elias Hutter na Biblia Zake za Kiebrania, Na. 4

  • Jinsi ya Kufaidika Katika Usomaji Wako, Na. 1

  • Kuelewa Maandiko Kimakosa, Na. 1

  • Uthibitisho Mwingine (Tatenai alikuwa mtu halisi), Na. 3

BIBLIA INABADILI MAISHA

  • Niliamini Hakuna Mungu (A. Golec), Na. 5

  • Nilipenda Mchezo wa Besiboli Kuliko Kitu Kingine Chochote! (S. Hamilton), Na. 3

  • Sikutaka Kufa! (Y. Quarrie), Na. 1

MAISHA YA KIKRISTO

  • Faida za Kuwa Mkarimu, Na. 2

  • Je, Krismasi Ni ya Kikristo? Na. 6

  • Je, Useja ni Takwa la Wahudumu Wakristo? Na. 2

  • Je, Utasuluhisha Kutoelewana na Kuendeleza Amani, Juni

  • Mtazamo Unaofaa Kuhusu Makosa, Na. 6

  • Pambana Vikali Ili Kulinda Akili Yako, Julai

  • Upendo—Ni Sifa Yenye Thamani, Ago.

  • Urafiki Unapokuwa Hatarini, Mac.

MAKALA ZA FUNZO

  • “Amani ya Mungu [Ni] Yenye Ubora Unaozidi Fikira Zote,” Ago.

  • Fidia “Tuzo Kamilifu” Kutoka kwa Baba, Feb.

  • Iga Haki na Rehema ya Yehova, Nov.

  • Imba kwa Shangwe na Sauti Kubwa! Nov.

  • Je, Uko Tayari Kungoja kwa Subira? Ago.

  • Je, Una Maoni Kama ya Yehova Kuhusu Haki? Apr.

  • Je, Unamfanya Yehova Kuwa Kimbilio Lako? Nov.

  • “Je, Unanipenda Kuliko Hawa?” Mei

  • Je, Utauelekeza Moyo Wako Kwenye Mambo Yaliyoandikwa? Mac.

  • Jinsi Maono ya Zekaria Yanavyokuhusu, Okt.

  • Jinsi ya Kuvaa Utu Mpya na Kuudumisha, Ago.

  • Jinsi ya Kuvua Utu wa Zamani na Kutourudia Kamwe, Ago.

  • Kataa Maoni ya Ulimwengu, Nov.

  • Kaza Macho Yako Kwenye Suala Kuu, Juni

  • “Kile Unachoweka Nadhiri, Timiza,” Apr.

  • Kusudi la Yehova Litatimizwa! Feb.

  • Kutafuta Utajiri wa Kweli, Julai

  • Kuwasaidia “Wakaaji Wageni” ‘Wamtumikie Yehova kwa Kushangilia,’ Mei

  • Kuwasaidia Watoto wa “Wakaaji Wageni,” Mei

  • Kwa Nini Sifa ya Kiasi Bado Ni Muhimu, Jan.

  • Kweli Huleta, “Si Amani, Bali Upanga,” Okt.

  • “Lieni Pamoja na Watu Wanaolia,” Julai

  • “Mambo Hayo Uwakabidhi Watu Waaminifu,” Jan.

  • Mpe Heshima Yule Anayestahili, Mac.

  • “Msifuni Yah!”—Kwa Nini? Julai

  • “Mtegemee Yehova na Ufanye Mema,” Jan.

  • Mtumikie Yehova kwa Moyo Kamili! Mac.

  • “Mwamuzi wa Dunia Yote” Hufanya Yaliyo Sawa Sikuzote, Apr.

  • Mwige Yehova Katika Kuonyesha Huruma, Sept.

  • “Na Alitimize Kusudi Lako Lote,” Julai

  • “Nami Nina Tumaini kwa Mungu,” Des.

  • “Neno la Mungu Lina . . . Nguvu,” Sept.

  • ‘Neno la Mungu Wetu, Litadumu Milele,’ Sept.

  • “Ninajua Atafufuka,” Des.

  • Ni Nani Anayewaongoza Watu wa Mungu Leo? Feb.

  • Ni Nini Kitakachoondolewa Ufalme wa Mungu Utakapokuja? Apr.

  • Onyesha Imani kwa Kufanya Maamuzi kwa Hekima! Mac.

  • Roho Yako ya Kujitolea na Imletee Yehova Sifa! Apr.

  • Sitawisha Sifa ya Kujizuia, Sept.

  • Thamini Zawadi Yako ya Uhuru wa Kuchagua, Jan.

  • “Tupendane . . . kwa Tendo na Kweli,” Okt.

  • Unalindwa na Magari ya Kukokotwa na Taji, Okt.

  • Unaweza Kudumisha Sifa ya Kiasi Unapojaribiwa, Jan.

  • Unga Mkono Enzi Kuu ya Yehova! Juni

  • Usiruhusu Chochote Kikunyang’anye Tuzo, Nov.

  • Usiruhusu Upendo Wako Upoe, Mei

  • “Uwe Hodari . . . Nawe Utende,” Sept.

  • Vijana—“Endeleeni Kuufanyia Kazi Wokovu Wenu Wenyewe,” Des.

  • Wazazi Wasaidieni Watoto Wenu Wawe ‘Wenye Hekima kwa Ajili ya Wokovu,’ Des.

  • Weka Moyo Wako Juu ya Hazina za Kiroho, Juni

  • Yehova Anawaongoza Watu Wake, Feb.

  • Yehova Huandaa Faraja Katika Dhiki Zetu Zote, Juni

MAMBO MENGINE

  • ‘Alimpendeza Mungu Vema’ (Enoko), Na. 1

  • “Busara Yako na Ibarikiwe!” (Abigaili), Juni

  • Herufi Ndogo Zaidi ya Kiebrania, Na. 4

  • Je, Amani Itapatikana Duniani? Na. 5

  • Je, Malaika Ni Viumbe Halisi? Na. 5

  • Je, Tunaishi Katika “Siku za Mwisho”? Na. 2

  • Je, Wanabiashara Waliouza Mifugo Katika Hekalu Walikuwa “Wanyang’anyi”? Juni

  • Jina la Kibiblia Katika Mtungi wa Kale, Mac.

  • Jinsi Gayo Alivyowasaidia Ndugu Zake, Mei

  • Kuteseka, Na. 1

  • Kutoka Utumwani, Na. 2

  • Mahangaiko, Na. 4

  • Maoni ya Biblia Kuhusu Uhai na Kifo, Na. 4

  • Moto Ulisafirishwaje Katika Nyakati za Kale? Jan.

  • Mpendwa Wako Anapokuwa na Ugonjwa Usiotibika, Na. 4

  • Mungu Alimwita “Binti ya Mfalme” (Sara), Na. 5

  • Ni Desturi Gani Iliyofanya Yesu Ashutumu Zoea la Wayahudi la Kuapa? Okt.

  • Paradiso Duniani—Je, Ni Jambo Halisi au la Kuwaziwa Tu? Na. 4

  • Ushauri wa Paulo wa Kusitisha Safari Yao ya Baharini (Mdo 27), Na. 5

  • Usiangalie Sura ya Nje Tu!, Juni

  • Wapanda Farasi Wanne, Na. 3

  • “Wewe Ni Mwanamke Mwenye Sura Nzuri” (Sara), Na. 3

  • Yosefu wa Arimathea, Okt.

  • Zawadi Gani Bora Kuliko Zote, Na. 6

MASHAHIDI WA YEHOVA

  • “Hakuna Barabara Isiyopitika au Ndefu Kupita Kiasi” (Australia), Feb.

  • Jinsi ya Kuzoea Kutaniko Jipya, Nov.

  • ‘Mwenye Ukarimu Atabarikiwa’ (michango), Nov.

  • Shangwe ya Kuishi Maisha Rahisi, Mei

  • Tendo Moja la Fadhili za Kikristo Okt.

  • “Tukiwa na Bidii na Upendo Mwingi Moyoni Kuliko Wakati Mwingine Wowote” (kusanyiko la 1922), Mei

  • “Tutakuwa na Kusanyiko Lingine Lini?” (Mexico), Ago.

  • Walijitoa Wenyewe kwa Hiari (dada waseja), Jan.

  • Walijitoa Wenyewe Nchini Uturuki, Julai

MASIMULIZI YA MAISHA

  • Kufanya Yale Ambayo Yehova Anataka Huleta Baraka (O. Matthews), Okt.

  • Kuvumilia Majaribu Huleta Baraka (P. Sivulsky), Ago.

  • Kuwa Kiziwi Hakujanizuia Kuwafundisha Wengine (W. Markin), Mei

  • Niliacha Vitu Vyote Ili Kumfuata Bwana (F. Fajardo), Des.

  • Nimeazimia Kuwa Askari-Jeshi wa Kristo (D. Psarras), Apr.

  • Nimefaidika kwa Kutembea na Watu Wenye Hekima (W. Samuelson), Mac.

  • Nimepata Baraka ya Kufanya Kazi na Ndugu Wakomavu Kiroho (D. Sinclair), Sept.

  • Tumejionea Fadhili Zisizostahiliwa za Mungu Katika Njia Nyingi (D. Guest), Feb.

MASWALI KUTOKA KWA WASOMAJI

  • Kuwa na silaha kama vile bastola au bunduki ili kujilinda na wanadamu wengine? Julai

  • Kwa nini masimulizi ya Mathayo na Luka kuhusu maisha ya awali ya Yesu yanatofautiana? Ago.

  • Wakristo waliofunga ndoa wanaweza kuona kitanzi (IUD) kuwa njia inayopatana na Maandiko? Des.

  • Wazaliwa wa kwanza ndio tu waliokuwa na haki ya kufanyiza ukoo ambao ungemtokeza Masihi? Des.

  • Yehova “hatawaacha ninyi mjaribiwe kupita mnavyoweza kuhimili” (1Ko 10:13), Feb.

YEHOVA

  • Ni Nani Husababisha Kuteseka? Na. 1

  • Utakubali Zawadi Bora Zaidi ya Mungu? Na. 2

YESU KRISTO

  • Je, mfano wa Yesu kuhusu “mbwa wadogo” ulionyesha dharau? Na. 5

  • Mwonekano Halisi wa Yesu Ulikuwaje? Na. 6