MNARA WA MLINZI—TOLEO LA FUNZO Desemba 2019

Toleo hili lina makala za funzo za Februari 3–Machi 1, 2020.

“Kuna Wakati Uliowekwa” wa Kufanya Kazi na Kupumzika

Makala hii itatumia mfano wa Sabato ya kila juma waliyopewa Waisraeli, kutusaidia kuchunguza mtazamo wetu kuhusu kazi na kupumzika.

Yehova Ameandaa Njia ya Kukuweka Huru

Mwadhimisho wa Miaka 50 unatukumbusha maandalizi ambayo Yehova amefanya kwa ajili yetu.

Maswali Kutoka kwa Wasomaji

Chini ya Sheria, ikiwa mwanamume angembaka “uwanjani” msichana aliyechumbiwa, na msichana akapiga mayowe, msichana hangekuwa na hatia ya uzinzi lakini mwanamume angekuwa na hatia. Kwa nini?

Maswali Kutoka kwa Wasomaji

Shetani alipomwambia Hawa kwamba hatakufa ikiwa atakula matunda ya mti wa ujuzi wa mema na mabaya, je, alikuwa akianzisha wazo la kutokufa kwa nafsi lililoenea leo?

Unamjua Yehova Vizuri Kadiri Gani?

Kumjua Yehova kunamaanisha nini? Na tunaweza kujifunza nini kutoka kwa Musa na Mfalme Daudi kuhusu jinsi ya kujenga urafiki wa karibu pamoja na Yehova?

Wazazi—Wafundisheni Watoto Wenu Kumpenda Yehova

Wazazi wanaweza kuwafundisha watoto wao kumpenda na kumtumikia Yehova jinsi gani?

“Toeni Shukrani Kuhusu Kila Jambo”

Kuna sababu kadhaa kwa nini kusitawisha roho ya shukrani ni jambo lenye manufaa kwetu.

Je, Unakumbuka?

Je, umefurahia kusoma matoleo ya karibuni ya Mnara wa Mlinzi? Ona ikiwa unaweza kujibu maswali yafuatayo.

Fahirisi ya habari za Mnara wa Mlinzi na Amkeni!

Fahirisi ya makala zote za mwaka wa 2019 za Mnara wa Mlinzi na Amkeni! zikiwa zimeorodheshwa kulingana na vichwa.