Fahirisi ya habari za Mnara wa Mlinzi na Amkeni!
Inaonyesha toleo ambamo kila makala inapatikana
MAKALA ZA FUNZO ZA MNARA WA MLINZI
BIBLIA
Kitabu cha Kukunjwa cha Zamani “Chakunjuliwa,” Juni
MAISHA YA KIKRISTO
Imani—Sifa Inayotuimarisha, Ago.
Mfano Mzuri wa Kudumisha Shangwe (Yohana Mbatizaji), Ago.
“Toeni Shukrani Kuhusu Kila Jambo,” Des.
Wema—Unaweza Kuusitawishaje, Mac.
MAKALA ZA FUNZO
Boresha Mazoea Yako ya Kujifunza! Mei
Dumisha Utimilifu Wako! Feb.
Endelea Kumwabudu Yehova Chini ya Marufuku, Julai
Endelea Kuwa Mwaminifu Wakati wa “Dhiki Kuu,” Okt.
Faraja kwa Watu Waliotendewa Vibaya Kingono, Mei
Har–Magedoni Ni Habari Njema! Sept.
“Hatufi Moyo”! Ago.
Imarisha Urafiki Wako Pamoja na Wengine Kabla ya Mwisho Kufika, Nov.
Je, Unadumisha “Ngao Kubwa ya Imani”? Nov.
Je, Unatimiza Huduma Yako Kikamili? Apr.
“Jihadharini Ili Mtu Yeyote Asiwachukue Mateka”! Juni
Jinsi Roho Takatifu Inavyotusaidia, Nov.
Jitayarishe Sasa kwa Ajili ya Mateso, Julai
Jitiishe kwa Yehova kwa Hiari—Kwa Nini na Jinsi Gani? Sept.
Kubali Msaada wa Yehova wa Kuwapinga Roho Waovu, Apr.
Kufikia Mioyo ya Watu Wasio na Dini, Julai
Kukabiliana na Mabadiliko Unapopata Mgawo Mpya, Ago.
“Kuna Wakati Uliowekwa” wa Kufanya Kazi na Kupumzika, Des.
Kwa Nini Uonyeshe Uthamini? Feb.
‘Malizeni Kile Mlichoanza Kufanya,’ Nov.
Mambo Tunayojifunza Katika Kitabu cha Mambo ya Walawi, Nov.
Mlo Usiohusisha Mengi Unatufundisha Nini Kuhusu Mfalme Wetu wa Mbinguni?, Jan.
Msifu Yehova Katika Kutaniko, Jan.
Mtegemee Yehova Unapopatwa na Mkazo, Juni
Mwabudu Yehova Peke Yake, Okt.
Mwige Yesu Udumu Ukiwa na Amani, Apr.
“Nendeni Mkafanye Wanafunzi,” Julai
Ni Nini Kinachonizuia Kubatizwa? Mac.
“Njooni Kwangu, . . . Nami Nitawaburudisha,” Sept.
Onyesha Hisia-Mwenzi Katika Huduma, Mac.
Onyesha Kwamba Unajali Hisia za Wengine, Mac.
Pindua Kila Wazo Ambalo Ni Kinyume cha Ujuzi wa Mungu! Juni
Sikiliza Sauti ya Yehova, Mac.
Tafuta Upole Umpendeze Yehova, Feb.
“Tazama! Umati Mkubwa,” Sept.
Tetea Ukweli Kuhusu Kifo, Apr.
Uhudhuriaji Wetu wa Mikutano Unafunua Nini Kutuhusu?, Jan.
Unamjua Yehova Vizuri Kadiri Gani? Des.
Unaweza Kulindaje Moyo Wako? Jan.
Upendo na Haki Katika Kutaniko la Kikristo, Mei
Upendo na Haki Katika Taifa la Kale la Israeli, Feb.
Upendo na Haki Katika Ulimwengu Mwovu, Mei
Upendo Wenu na Uwe Mwingi, Ago.
Usidanganywe na “Hekima ya Ulimwengu Huu,” Mei
“Usihangaike, kwa Maana Mimi Ni Mungu Wako,” Jan.
Uwe na Mengi ya Kufanya Katika Kipindi cha Mwisho cha “Siku za Mwisho,” Okt.
“Wale Wanaokusikiliza” Wataokolewa, Ago.
Wasaidie Wengine Kukabiliana na Mkazo, Juni
Wazazi—Wafundisheni Watoto Wenu Kumpenda Yehova, Des.
Yehova Ameandaa Njia ya Kukuweka Huru, Des.
Yehova Anawathamini Watumishi Wake Wanyenyekevu, Sept.
Yehova Anaweza Kukutumiaje? Okt.
MAMBO MENGINE
Jilinde Usinaswe na Mtego Huu wa Shetani (ponografia), Juni
Jukumu la Wasimamizi Katika Nyakati za Biblia, Nov.
Masinagogi Yalitoka Wapi, Feb.
Safari za Baharini Katika Nyakati za Zamani, Apr.
MASHAHIDI WA YEHOVA
MASIMULIZI YA MAISHA
Baraka za Yehova Zilipita Matarajio Yangu Yote (M. Tonak), Julai
Tulipata ‘Lulu Yenye Thamani Kubwa’ (W. na P. Payne), Apr.
Urithi Mkubwa wa Kiroho Ulinisaidia Kusitawi (W. Mills), Feb.
MASWALI KUTOKA KWA WASOMAJI
Je, fundisho la kutokufa kwa nafsi lilianzia Edeni? (Mwa 3:4), Des.
Kwa nini msichana aliyebakwa “uwanjani” alihukumiwa kuwa hana hatia bila kuwa na mashahidi wawili? (Kum 22:25-27), Des.
YEHOVA
YESU KRISTO
Kweli Alikufa kwa Ajili Yangu? Julai
TOLEO LA WATU WOTE LA MNARA WA MLINZI