MNARA WA MLINZI—TOLEO LA FUNZO Januari 2020

Toleo hili lina makala za funzo za Machi 2 hadi Aprili 5, 2020.

“Basi, Nendeni Mkafanye Wanafunzi”

Andiko letu la mwaka wa 2020 litatusaidia tukazie uangalifu jinsi tunavyoweza kuboresha kazi yetu ya kufanya wanafunzi.

Unaweza Kuwa “Chanzo cha Faraja Nyingi”

Fikiria sifa tatu zinazoweza kukusaidia uwe chanzo cha faraja nyingi na uwategemeze wengine.

Yehova Mungu Wako Anakuthamini!

Tunapohisi kwamba tumelemewa na ugonjwa, hali ngumu za kiuchumi, au uzee, acheni tukumbuke kwamba hakuna kitu chochote kinachoweza kututenga na upendo wa Baba yetu aliye mbinguni.

“Roho Yenyewe Hutoa Ushahidi”

Ndugu au dada anaweza kujuaje kwamba ametiwa mafuta kwa roho takatifu? Ni nini ambacho hutokea mtu anapochaguliwa na Mungu?

Tutaenda Pamoja Nanyi

Tunapaswa kuwa na maoni gani kuhusu wale wanaoshiriki mifano kwenye Ukumbusho? Je, tuhangaishwe ikiwa idadi ya wanaoshiriki mifano inazidi kuongezeka?