MNARA WA MLINZI—TOLEO LA FUNZO Julai 2019
Toleo hili lina makala za funzo za Septemba 2-29, 2019
Jitayarishe Sasa kwa Ajili ya Mateso
Tunaweza kufanya nini ili tuwe jasiri zaidi na tukabiliane na wapinzani wetu?
Endelea Kumwabudu Yehova Chini ya Marufuku
Tunapaswa kufanya nini serikali ikipiga marufuku ibada yetu kwa Yehova?
“Nendeni Mkafanye Wanafunzi”
Kwa nini kazi ya kufanya wanafunzi ni muhimu sana, na ni mapendekezo gani yanayofaa yatakayotusaidia kutekeleza kazi hiyo tuliyopewa
Kufikia Mioyo ya Watu Wasio na Dini
Tunaweza kuwasaidiaje watu wasio na dini wajifunze kumpenda Mungu na kuwa wanafunzi wa Kristo?
SIMULIZI LA MAISHA
Baraka za Yehova Zilipita Matarajio Yangu Yote
Mambo ambayo ndugu Manfred Tonak alijionea alipokuwa mmishonari Afrika yamemsaidia kusitawisha sifa ya subira, kuridhika, na sifa nyingine nyingi nzuri.
Je, Kweli Yesu Alikufa kwa Ajili Yangu?
Je, umewahi kuwa na hisia za kujiona kwamba hufai? Ni nini kinachoweza kukusaidia ushinde hisia hizo?