MNARA WA MLINZI—TOLEO LA FUNZO Machi 2016

Toleo hili lina makala za funzo za Mei 2 hadi Mei 29, 2016.

Vijana—Je, Mko Tayari Kubatizwa?

Maswali matatu yanayoweza kukusaidia ufanye uamuzi.

Vijana​—Mnaweza Kujitayarishaje kwa Ajili ya Ubatizo?

Vipi ikiwa hauna uhakika kama uko tayari kubatizwa? Au namna gani kama unataka kubatizwa lakini wazazi wako wanahisi kwamba unahitaji kusubiri?

Unaweza Kuchangiaje Kuimarisha Umoja Wetu wa Kikristo?

Maono yaliyoandikwa kwenye Ufunuo sura ya 9 yanakazia umuhimu wa umoja wetu.

Yehova Anawaongoza Watu Wake Katika Njia ya Uzima

Tunawezaje kuonyesha kwamba tunategemea mwongozo wa Yehova?

Je, Unaweza Kusaidia Katika Kutaniko Lenu?

Je, unaweza kuonyesha roho ya umishonari hata katika kutaniko lenu?

Igeni Mtazamo wa Manabii

Mfano wa Ezekieli, Yeremia, na Hosea unaweza kutusaidia tunapochoka, kuvunjika moyo, au tunapopokea mgawo mgumu.

Maswali Kutoka kwa Wasomaji

Ni wakati gani watu wa Mungu walichukuliwa mateka na Babiloni Mkubwa? Je, Shetani alimchukua Yesu kihalisi na kumpeleka hekaluni alipokuwa akimshawishi?