MNARA WA MLINZI—TOLEO LA FUNZO Machi 2018

Toleo hili lina makala za funzo za Aprili 30 hadi Juni 3, 2018.

Ubatizo​—Takwa kwa Wakristo

Biblia inafundisha nini kuhusu ubatizo? Ni hatua zipi ambazo mtu anapaswa kuchukua kabla ya kubatizwa? Kwa nini mwalimu wa Biblia anapaswa kuzingatia akilini mwake umuhimu wa ubatizo anapowafundisha watoto wake au wanafunzi wengine wa Biblia?

Wazazi, Je, Mnawasaidia Watoto Wenu Wafikie Hatua ya Ubatizo?

Wazazi Wakristo wangependa kuhakikisha nini kabla ya watoto wao kubatizwa?

MASWALI KUTOKA KWA WASOMAJI

Maswali Kutoka kwa Wasomaji

Kwa nini michoro ya Mashahidi wa Yehova humwonyesha mtume Paulo akiwa na upara au na nywele chache?

Ukaribishaji Wageni​—Sifa Inayovutia na Inayohitajika Sana!

Kwa nini Maandiko yanatuhimiza tuwe wakaribishaji wageni? Tuna fursa zipi za kuonyeshana ukaribishaji wageni? Tunaweza kufanya nini ili kushinda mambo yanayoweza kutuzuia kuwa wakaribishaji wageni?

SIMULIZI LA MAISHA

Yehova Hajawahi Kamwe Kuniacha!

Erika Nöhrer Bright amewahi kutumikia akiwa painia wa kawaida, painia wa pekee, na mmishonari. Anasimulia jinsi ambavyo Mungu amemtegemeza, amemwimarisha, na kuushika kwelikweli mkono wake kwa miaka yote ambapo amekuwa akimtumikia kwa uaminifu.

Nidhamu​—Uthibitisho wa Upendo wa Mungu

Tunaweza kujifunza nini kutoka kwa watu ambao Mungu aliwatia nidhamu zamani? Tunapohitaji kutoa nidhamu, tunaweza kuigaje mfano wa Yehova?

‘Sikiliza Nidhamu Uwe na Hekima’

Ni katika njia zipi Yehova anatufundisha jinsi ya kujitia nidhamu? Na tunaweza kufaidikaje na nidhamu yoyote tunayopata katika kutaniko la Kikristo?