MNARA WA MLINZI—TOLEO LA FUNZO Novemba 2016

Toleo hili lina makala za funzo za Desemba 26, 2016 hadi Januari 29, 2017.

Neno Lililogusa Moyo Sana!

Yesu alitumia neno gani lililoonwa kuwa la heshima sana?

Endeleeni Kutiana Moyo Kila Siku

Kwa nini ni muhimu kuwatia moyo wengine? Tunajifunza nini kutokana na jinsi Yehova, Yesu, na Paulo walivyowatia moyo wengine? Tunaweza kuwatiaje moyo wengine kwa njia ambayo itawagusa moyo?

Tumepangwa Kitengenezo Kulingana na Kitabu cha Mungu

Hakuna aliye na utaratibu kama Yehova. Je, hatupaswi kutazamia waabudu wake wawe wenye utaratibu?

Je, Unaheshimu Sana Kitabu cha Yehova?

Watu wa Mungu wanapata baraka nyingi wanapojitahidi kutumia shauri la Biblia na kuunga mkono tengenezo lake kwa ushikamanifu.

“Kazi Ni Kubwa”

Una pendeleo la kutegemeza kazi hiyo.

Wameitwa Kutoka Gizani

Ni katika maana gani watu wa Mungu waliingia gizani katika karne ya pili W.K.? Walianza kupata nuru lini na jinsi gani?

Waliwekwa Huru Kutoka Katika Dini za Uwongo

Watu wa Mungu waliwekwa huru lini kutokana na utumwa wa Babiloni?

“Amkeni, Enyi Wahubiri wa Ufalme Nchini Uingereza!”

Hakukuwa na ongezeko kubwa katika idadi ya wahubiri kwa miaka kumi nchini Uingereza! Mambo yalibadilika jinsi gani?