MNARA WA MLINZI—TOLEO LA FUNZO Novemba 2018

Toleo hili lina makala za funzo za Desemba 31, 2018 hadi Februari 3, 2019.

“Inunue Kweli Wala Usiiuze Kamwe”

Kununua kweli kunamaanisha nini? Baada ya kuipata, tunashikamana nayo jinsi gani?

“Nitatembea Katika Kweli Yako”

Tunaweza kufanya nini ili tuimarishe azimio letu la kuendelea kushikamana na kweli zenye thamani ambazo Yehova ametufundisha?

Mtumaini Yehova Uishi!

Kitabu cha Habakuki kinaweza kutusaidia kuwa na utulivu licha ya matatizo tunayokabili.

Ni Nani Ambaye Hufinyanga Njia Yako ya Kufikiri?

Unaweza kufanya nini ili njia ya Yehova ya kufikiri ikufinyange na si ile ya ulimwengu?

Je, Unafanya Mawazo ya Yehova Kuwa Mawazo Yako?

Inamaanisha nini ‘kufanya upya akili yetu,’ na tunaweza kufanyaje hivyo?

Fadhili​—Sifa Inayoonyeshwa kwa Maneno na Matendo

Sifa ya fadhili ni sehemu ya tunda la roho takatifu ya Mungu. Tunaweza kusitawishaje sifa hiyo yenye kuvutia?

Maswali Kutoka kwa Wasomaji

Wafadhili ambao Yesu alizungumza kuwahusu katika usiku wa mwisho kabla ya kifo chake walikuwa nani, na kwa nini waliitwa hivyo?

Tunaweza Kumpa Yehova Zawadi Gani?

‘Vitu vyetu vyenye thamani’ vinavyotajwa kwenye andiko la Methali 3:9 vinatia ndani nini, na tunaweza kutumiaje vitu hivyo kuendeleza ibada ya kweli?