MNARA WA MLINZI—TOLEO LA FUNZO Oktoba 2018
Toleo hili lina makala za funzo za Desemba 3-30, 2018.
1918—Miaka Mia Moja Iliyopita
Vile Vita Vikuu vilikuwa vikiendelea barani Ulaya, lakini matukio fulani yaliyotendeka mwanzoni mwa mwaka huo yaliashiria mambo mema kwa Wanafunzi wa Biblia na ulimwengu kwa ujumla.
Semeni Ukweli
Kwa nini watu husema uwongo, na matokeo huwa nini? Tunawezaje kuwa watu wanaowaambia wengine ukweli?
Fundisha Kweli
Katika kipindi kifupi kilichobaki cha kuhubiri, tunapaswa kukazia hasa kuwafundisha watu kweli. Sanduku letu la Vifaa vya Kufundishia linaweza kutusaidiaje?
SIMULIZI LA MAISHA
Yehova Alibariki Sana Uamuzi Wangu
Alipokuwa kijana, Charles Molohan alipanua huduma yake kwa kujaza ombi la kutumikia Betheli. Yehova amekuwa akimbariki kwa miaka mingi tangu alipofanya uamuzi huo.
Mtumaini Kiongozi Wetu—Kristo
Tengenezo la Mungu linapozidi kusonga mbele kwa kasi, tuna sababu zipi za kumtumaini Kristo, kiongozi wetu?
Dumisha Amani ya Akili Licha ya Mabadiliko
Maisha yanapobadilika bila kutarajia, changamoto tutakazolazimika kukabili zinaweza kusababisha tupatwe na mkazo wa kihisia. “Amani ya Mungu” inaweza kutusaidiaje?
Je, Wajua?
Stefano alikuwa Mkristo wa kwanza anayetajwa katika Maandiko aliyefia imani yake. Stefano alifanikiwaje kuendelea kuwa mtulivu alipokuwa akiteswa?