MNARA WA MLINZI—TOLEO LA FUNZO Oktoba 2019

Toleo hili lina makala za funzo za Desemba 2-29, 2019.

1919​—Miaka Mia Moja Iliyopita

Mwaka wa 1919, Yehova aliwatia nguvu watu wake ili wahubiri kuliko wakati mwingine wowote uliopita. Lakini kwanza, Wanafunzi wa Biblia walihitaji kupitia mabadiliko makubwa sana.

Hukumu za Mungu​—Je, Sikuzote Anatoa Onyo Mapema vya Kutosha?

Yehova anawaonya wakaaji wa dunia kuhusu “dhoruba” ambayo ni hatari zaidi kuliko dhoruba yoyote ambayo imewahi kutabiriwa. Anafanyaje hivyo?

Uwe na Mengi ya Kufanya Katika Kipindi cha Mwisho cha “Siku za Mwisho”

Ni matukio gani yatakayotendeka mwishoni kabisa mwa “siku za mwisho”? Na Yehova anatarajia tufanye nini tunaposubiri matukio hayo?

Endelea Kuwa Mwaminifu Wakati wa “Dhiki Kuu”

Yehova anatarajia nini kutoka kwetu wakati wa “dhiki kuu”? Tunaweza kujitayarishaje sasa ili tuendelee kuwa waaminifu wakati wa dhiki kuu?

Yehova Anaweza Kukutumiaje?

Katika nyakati za zamani, Yehova aliwapa watumishi wake hamu na uwezo wa kutenda. Leo, Yehova anatupatiaje kile tunachohitaji ili kumtumikia?

Mwabudu Yehova Peke Yake

Fikiria mambo mawili maishani mwetu yanayofunua ni kwa kadiri gani tumejitoa ili kumwabudu Yehova.