MNARA WA MLINZI—TOLEO LA FUNZO Septemba 2016

Toleo hili lina makala za funzo za Oktoba 24 hadi Novemba 27, 2016.

“Mikono Yako Isilegee”

Yehova anawaimarishaje na kuwatia nguvu watumishi wake? Unawezaje kumwiga?

Endelea Kushindania Baraka za Yehova

Watu wa Mungu wanakabili vikwazo vingi wanapojitahidi kupata kibali chake. Hata hivyo, wanaweza kushinda!

Maswali Kutoka kwa Wasomaji

“Neno la Mungu” linalotajwa katika Waebrania 4:12 ambalo “liko hai nalo lina nguvu,” ni nini?

Kutetea Habari Njema Mbele ya Maofisa Wakuu

Tunaweza kujifunza kutokana na jinsi mtume Paulo alivyoshughulika na mfumo wa kisheria wa siku zake.

Je, Mtindo Wako wa Mavazi Unamtukuza Mungu?

Kanuni za Biblia zinaweza kutuongoza.

Nufaika na Mwongozo wa Yehova Leo

Mashahidi nchini Poland na Fiji walifanya maamuzi ya hekima.

Vijana, Imarisheni Imani Yenu

Je, unahisi kwamba unashinikizwa kuamini mambo ambayo watu wengi wanaamini, kama vile mageuzi badala ya kuamini uumbaji? Ikiwa ndivyo, makala hii itakufaa.

Wazazi, Wasaidieni Watoto Wenu Wasitawishe Imani

Je, umewahi kuhisi kulemewa na daraka la kulea watoto? Soma uone mambo manne yanayoweza kukusaidia.