MNARA WA MLINZI—TOLEO LA FUNZO Septemba 2017

Toleo hili lina makala za funzo za Oktoba 23 hadi Novemba 26, 2017.

Sitawisha Sifa ya Kujizuia

Mifano iliyo katika Biblia inaweza kutusaidiaje kusitawisha na kuonyesha sifa hiyo? Kwa nini Wakristo wanapaswa kuisitawisha?

Mwige Yehova Katika Kuonyesha Huruma

Pindi moja, Yehova alijifunua kwa Musa kwa kutangaza jina na sifa Zake. Sifa moja ambayo Mungu alitaja ni huruma. Huruma ni nini, na kwa nini unapaswa kupendezwa nayo?

SIMULIZI LA MAISHA

Nimepata Baraka ya Kufanya Kazi na Ndugu Wakomavu Kiroho

David Sinclair anakumbuka shangwe na pendeleo la kufanya kazi na ndugu na dada washikamanifu kwa miaka 61 aliyotumikia katika Betheli ya Brooklyn.

‘Neno la Mungu Wetu, Litadumu Milele’

Kwa karne nyingi baada ya Biblia kukamilika, bado ndicho kitabu kinachonunuliwa zaidi duniani, licha ya mabadiliko katika lugha, hali za kisiasa, na vipingamizi vya kuitafsiri.

“Neno la Mungu Lina . . . Nguvu”

Watu wengi wamefanya mabadiliko makubwa baada ya kujifunza Neno la Mungu. Tunahitaji kufanya nini ili Neno la Mungu libadili maisha yetu?

“Uwe Hodari . . . Nawe Utende”

Kwa nini tunahitaji sifa ya ujasiri, na tunaweza kuipataje?