MNARA WA MLINZI—TOLEO LA FUNZO Septemba 2018

Toleo hili lina makala za funzo za Oktoba 29 hadi Desemba 2, 2018

“Ikiwa Mnajua Mambo Haya, Mtakuwa Wenye Furaha Mkiyatenda”

Tunaweza kudumishaje sifa ya unyenyekevu, na kwa nini ni muhimu kufanya hivyo?

Enyi Wakristo Wenye Umri Mkubwa​—Yehova Anathamini Sana Ushikamanifu Wenu

Katika nyakati zetu, ndugu wenye umri mkubwa wameonyeshaje sifa ya kiasi?

Endeleeni Kuonyeshana Upendo​—Unajenga

Jifunze jinsi tunavyoweza kujengana katika upendo katika siku hizi za mwisho zilizo ngumu.

Wenye Furaha Ni Watu Wanaomtumikia “Mungu Mwenye Furaha”

Tunawezaje kuwa wenye furaha licha ya changamoto na matatizo?

Unajua Ni Saa Ngapi?

Watu walitumia mfumo gani kujua saa katika nyakati za Biblia?

Mweza Yote, Lakini Mwenye Ufikirio

Yehova ametuwekeaje kielelezo bora cha kuwaonyesha wengine ufikirio?

Mwige Yehova kwa Kuwaonyesha Wengine Ufikirio na Fadhili

Jifunze jinsi unavyoweza kuwaonyesha wengine ufikirio katika familia, kutanikoni, na katika huduma ya shambani.