Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Utangulizi

Utangulizi

BIBLIA—KITABU KISICHOPITWA NA WAKATI!

Je, ushauri wa Biblia umepitwa na wakati, hasa ukifikiria jinsi ilivyo rahisi leo kupata habari kwa uharaka kutokana na maendeleo makubwa ya teknolojia? Biblia inasema:

“Kila Andiko limeongozwa na roho ya Mungu nalo ni lenye faida.”—2 Timotheo 3:16.

Toleo hili la Mnara wa Mlinzi linachanganua madai ya Biblia kwamba inaweza kutuongoza katika kila nyanja ya maisha yetu.