MNARA WA MLINZI—TOLEO LA FUNZO Novemba 2024

Toleo hili lina makala za funzo za Januari 6–​Februari 2, 2025.

MAKALA YA 44

Jinsi ya Kukabiliana na Ukosefu wa Haki

Tutajifunza makala hii katika juma la Januari 6-12, 2025.

MAKALA YA 45

Jifunze Kutokana na Maneno ya Mwisho ya Wanaume Waaminifu

Tutajifunza makala hii katika juma la Januari 13-19, 2025.

MAKALA YA 46

Akina Ndugu—Je, Mnajitahidi Kustahili Kuwa Watumishi wa Huduma?

Tutajifunza makala hii katika juma la Januari 20-26, 2025.

MAKALA YA 47

Akina Ndugu—Je, Mnajitahidi Kustahili Kutumikia Mkiwa Wazee wa Kutaniko?

Tutajifunza makala hii katika juma la Januari 27–Februari 2, 2025.

SIMULIZI LA MAISHA

Yehova Alituimarisha Katika Kipindi cha Vita na cha Amani

Paul na Anne Crudass wanasimulia jinsi Yehova alivyowategemeza na kuwaimarisha wakati wa vita na majaribu makali.

Ni Mambo Gani Yanayoweza Kukusaidia Kujifunza kwa Ukawaida?

Mapendekezo manne ambayo yanaweza kukusaidia kuendelea kufanya funzo lako la Biblia la kibinafsi kwa ukawaida na kulifurahia.

Tafuta Mahali Pazuri pa Kujifunzia

Fikiria madokezo matatu ambayo yanaweza kukusaidia kukaza fikira vizuri zaidi unapojifunza.