MNARA WA MLINZI—TOLEO LA FUNZO Juni 2016

Toleo hili lina makala za funzo za Agosti 1 Hadi 28, 2016.

Yehova ‘Anakujali’

Unawezaje kuwa na uhakika kwamba Mungu anapendezwa nawe? Fikiria uthibitisho.

Kumthamini Yehova Akiwa Mfinyanzi Wetu

Mungu anawachaguaje wale atakaowafinyanga? Kwa nini anawafinyanga? Na anawafinyanga jinsi gani?

Je, Unamruhusu Mfinyanzi Mkuu Akufinyange?

Ni sifa gani zitakazokufanya uendelee kuwa kama udongo laini mikononi mwa Mungu?

Maswali Kutoka kwa Wasomaji

Mwanamume mwenye kidau cha wino na wanaume sita wenye silaha za kuponda katika maono ya Ezekieli wanafananisha nini?

“Yehova Mungu Wetu Ni Yehova Mmoja”

Mungu ni “mmoja” katika maana gani, na tunawezaje kumwabudu Mungu huyo?

Usiruhusu Makosa ya Wengine Yakukwaze

Katika nyakati za kale, watumishi washikamanifu wa Mungu walisema au kufanya mambo yaliyowaumiza wengine. Tunaweza kujifunza nini kutokana na mifano hiyo iliyopo kwenye Biblia?

Je, Unakumbuka?

Je, umesoma kwa makini matoleo ya hivi karibuni ya Mnara wa Mlinzi? Ona kile unachokumbuka.