Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Faharisi ya Habari za Mnara Wa Mlinzi 2001

Faharisi ya Habari za Mnara Wa Mlinzi 2001

Faharisi ya Habari za Mnara Wa Mlinzi 2001

Ikionyesha tarehe ya toleo ambamo makala inapatikana

BIBLIA

Biblia Yafanywa Kuwa Buku Moja, 5/1

Cyril na Methodius—Watafsiri, 3/1

Hati-Kunjo za Bahari ya Chumvi, 2/15

Kuielewa Biblia, 7/1

Kwa Nini Ujifunze, 7/1

Tafsiri ya New World Translation Inathaminiwa, 11/15

MAISHA NA SIFA ZA KIKRISTO

‘Baraka kwa Waadilifu’ (Mit 10), 7/15

“Baraka ya BWANA Hutajirisha,” 11/1

Epuka Ugonjwa wa Moyo wa Mfano, 12/1

‘Heri Mtu Aonaye Hekima’ (Mit 8), 3/15

Imarisha Tumaini Katika Yehova, 6/1

Je, Wewe Ni Mvumilivu Kweli? 7/15

‘Kimbieni kwa Njia Hiyo,’ 1/1

Kufanikiwa Licha ya Malezi, 4/15

Kufanya Maamuzi ya Hekima, 9/1

Kukabiliana na Kivunja-Moyo! 2/1

Kukabiliana na Kuvunjika Moyo, 4/15

‘Kununua Kabisa Wakati Unaofaa,’ 5/1

Kushughulika na Unafiki, 11/15

Kuwasaidia Wajane, 5/1

‘Kwa Hekima Siku Zitazidishwa’ (Mit 9), 5/15

Linda Dhamiri, 11/1

Mazoea, 8/1

Shaka, 7/1

Shinda Vikwazo Vinavyokuzuia Usifanye Maendeleo, 8/1

Sitawisha Wema wa Adili, 1/15

Tembea Katika ‘Njia ya Unyofu’ (Mit 10) 9/15

Timizeni Mahitaji ya Watoto Wenu! 12/15

Uaminifu-Mshikamanifu, 10/1

Unahisi Umeeleweka Vibaya? 4/1

Ungamo, 6/1

Utii—Somo Muhimu Utotoni, 4/1

Watazame Mayatima na Wajane, 6/15

MAKALA KUU ZA MAFUNZO

Abrahamu—Kielelezo cha Imani, 8/15

Amani ya Kristo Inawezaje Kudhibiti Mioyoni Mwetu? 9/1

Baraka za Yehova Hututajirisha, 9/15

Dhihirisha Maendeleo Yako, 8/1

Dumisha Shangwe Yako Katika Utumishi wa Yehova, 5/1

Enda Sambamba na Tengenezo la Yehova, 1/15

Endeleeni Katika Kazi ya Kuvuna! 7/15

Endeleeni Mkiwa Imara Kama Ambao Mnaona Yeye Asiyeonekana! 6/15

Hofu Yehova na Kushika Amri Zake, 12/1

“Ikiwa Mungu Yuko Upande Wetu, Nani Atakayekuwa Dhidi Yetu?” 6/1

Iweni Wavunaji Wenye Furaha! 7/15

Je, Unaweza “Kutofautisha Lililo Sahihi na Lililo Kosa Pia”? 8/1

Je, Utapata Baraka za Yehova? 9/15

Jipatie Moyo Unaompendeza Yehova, 10/15

‘Jivikeni Wenyewe Ustahimilivu,’ 11/1

Kitulizo Kinachofaa cha Mkazo, 12/15

Kujenga Familia Yenye Nguvu Kiroho, 5/15

Kushinda Udhaifu wa Kibinadamu, 3/15

Kusonga Mbele Hadi Ushindi Kamili! 6/1

Linda Moyo Wako, 10/15

Mjengwe na Upendo, 1/1

“Mjifunze Kutoka Kwangu,” 12/15

Msife Moyo Katika Kufanya Lililo Bora, 8/15

Msifuni Yehova kwa Vitendo Vyake Vikubwa! 5/15

Msiwe Wasikiaji Wasahaulifu, 6/15

Mtafuteni Yehova Kabla ya Siku Yake ya Hasira, 2/15

Mwe na Imani kama ya Abrahamu! 8/15

Mwige Yehova Unapowazoeza Watoto Wako, 10/1

Mwongozo wa Mungu Katika Kuchagua Mwenzi wa Ndoa, 5/15

“Neno la Yehova Likaendelea Kukua,” 4/1

Ni Nani Atakayetutenganisha na Upendo wa Mungu? 10/15

Shangilieni kwa Kumjua Yehova, 7/1

Shangilieni Pamoja na Mungu Mwenye Furaha, 5/1

Shiriki Shangwe ya Kutoa! 7/1

Siku ya Hukumu ya Yehova I Karibu! 2/15

Sitawisha Moyo wa Kumhofu Yehova, 12/1

‘Tafuteni Sana Amani na Kuifuatia,’ 9/1

Tazameni Mtekelezaji wa Mambo ya Ajabu! 4/15

Ukristo wa Kweli Washinda! 4/1

Umeifanya Kweli Iwe Mali Yako Mwenyewe? 2/1

Unaishi Kupatana na Wakfu Wako? 2/1

Unaweza Kusaidiaje Mtoto “Mpotevu”? 10/1

Upendo Wako Umepanuka Kadiri Gani? 1/1

Waangalizi na Watumishi wa Huduma Huwekwa Rasmi Kitheokrasi, 1/15

Wale Wanaotembea Katika Nuru Hushangilia, 3/1

Watu wa Yehova Waliorudishwa Wamsifu Duniani Pote, 2/15

Wekeni Akili Juu ya Roho Mkaishi! 3/15

Wokovu kwa Wanaochagua Nuru, 3/1

Yehova Hutujulisha Jinsi ya Kuzihesabu Siku Zetu, 11/15

Yehova Ni Kimbilio Letu, 11/15

Yehova Ni Mungu Mstahimilivu, 11/1

Zingatia Kazi za Mungu za Ajabu, 4/15

MAMBO MENGINE

‘Afya Kitovuni Pako,’ 2/1

‘Dawa ya Macho ya Kusugua Katika Macho,’ 12/15

Enoki Alitembea Pamoja na Mungu, 9/15

Furaha, 3/1

Habari Njema ya Ufalme, 4/1

“Hatari Ambayo Haijatambuliwa Kuhusu Afya ya Umma” (ponografia katika Internet), 4/15

Ibilisi, 9/1

Inadumu Kuliko Dhahabu, 8/1

Je, Watu Wanaweza Kuungana Kikweli? 9/15

Jinsi ya Kufanikisha Ujana Wako, 8/15

Kanuni Bora Inafaa, 12/1

‘Katika Nuru Yako Twaona Nuru,’ 12/1

Kuteseka, 5/15

Mababa wa Kanisa—Watetezi wa Kweli? 4/15

Madhara ya Vita, 1/1

Maoni Yaliyosawazika Kuhusu Pesa, 6/15

“Mimi Nakata Rufani kwa Kaisari!” 12/15

Miti Inayodumu Muda Mrefu, 7/1

Msingi wa Imani, 8/1

Ni Kitu Gani Chenye Thamani ya Kweli? 9/15

Noa Auhukumu Ulimwengu kwa Imani Yake, 11/15

Origen—Jinsi Mafundisho Yake Yalivyoathiri Kanisa, 7/15

Paradiso ya Kiroho, 3/1

Paulo Apanga Kukusanywa kwa Michango ya Kusaidia, 3/15

Roho Isiyoweza Kufa? 7/15

Somo Kutokana na Mtende, 10/1

‘Tazama! Umati Mkubwa!’ 5/15

Uhai Baada ya Kifo? 7/15

Unaweza Kufanya Ulimwengu Uwe Mahali Bora? 10/15

Unaweza Kutumaini Viwango vya Nani? 6/1

Unaweza Kuwa na Imani ya Kweli, 10/1

Upasuaji Bila Damu, 3/1

Usalama Katika Ulimwengu Wenye Hatari Nyingi, 2/1

Uwasiliani-Roho, 5/1

Uwe Mwenye Shukrani, Furaha, 9/1

Wahasmonia, 6/15

Wanaoharibu Miti, 11/1

Wasikithe, 11/15

MASHAHIDI WA YEHOVA

Baraza Linaloongoza na Shirika la Kisheria, 1/15

Cheti cha Huduma Bora (Kongo [Kinshasa]), 8/15

Fundi wa Miwani Apanda Mbegu (Ukrainia, Israel), 2/1

Hawakuwa Peke Yao Imani Ilipojaribiwa (damu), 4/15

“Kazi Iliyofanywa kwa Ustadi Mkubwa Sana” (Photo-Drama), 1/15

Kenya, 2/15

Kuhitimu kwa Wanafunzi wa Gileadi 6/15, 12/15

Kusaidiana (wakimbizi wa vita), 4/15

Kuwasaidia Vijana, 7/15

Maji ya Uhai Katika Milima ya Andes, 10/15

Mikusanyiko—Shangwe ya Udugu, 9/15

Mikusanyiko ya “Walimu wa Neno la Mungu,” 2/15

Mikusanyiko ya “Watekelezaji wa Neno la Mungu,” 1/15

Mkutano wa Kila Mwaka 2000, 1/15

Ndiyo Kazi-Maisha Inayokufaa Zaidi? (utumishi wa Betheli), 3/15

“Siku ya Uvumiliano wa Kidini” (shule ya Poland), 11/1

Tunafanya Yote Tuwezayo! (mishonari), 10/15

“Tutaonana Katika Ufalme wa Mungu” (F. Drozg), 11/15

Ufaransa, 8/15, 9/1

Ushindi Dhidi ya Mnyanyaso wa Nazi, 3/15

Ushindi Kwenye Mahakama ya Jimbo (Ujerumani), 8/15

Walikuwa Mbwa-Mwitu—Sasa Ni Kondoo! 9/1

‘Washukuruni Mashahidi kwa Uhuru wa Kidini,’ 5/15

MASIMULIZI YA MAISHA

‘Alivumilia Hadi Mwisho’ (L. Swingle), 7/1

Kuendelea Kufuata Njia ya Yehova (L. Valentino), 5/1

Kukubali Mialiko ya Yehova (M. Zanardi), 12/1

Kushukuru kwa Kumbukumbu Yenye Thamani! (D. Caine), 8/1

Kutumikia kwa Moyo Wote Licha ya Majaribu (R. Lozano), 1/1

Kutumikia Popote Nilipohitajiwa (J. Berry), 2/1

Maisha Yenye Kuthawabisha Katika Utumishi wa Yehova (R. Kurzen), 11/1

Maisha Yenye Mambo Yasiyotazamiwa (E.&H. Beveridge), 10/1

Mwenye Furaha na Shukrani Licha ya Kufiwa (N. Porter), 6/1

Nimetegemezwa na Yehova (F. Lee), 3/1

Nuru Yang’aa Mashariki ya Kati (N. Salem), 9/1

Tulimjaribu Yehova (P. Scribner), 7/1

Tulishirikiana (M. Barry), 4/1

“Yehova Amekuwa Mwema Sana Kwangu!” (K. Klein), 5/1

MASWALI KUTOKA KWA WASOMAJI

Agano la Abrahamu—Lilifanywa Uru au Harani? 11/1

Danieli alikuwa wapi wakati wa jaribu la sanamu ya dhahabu? (Dan 3) 8/1

“Ibada haramu za sanamu” (1 Pet 4:3), 7/15

Kinachomaanishwa na “kuabudu katika roho” (Yn 4:24), 9/15

Kuingia Katika Pumziko la Yehova (Ebr 4:9-11), 10/1

Kwa nini uungame kwa wazee? 6/1

“Mahali Patakatifu Kabisa” palitiwa mafuta lini? (Dan 9:24), 5/15

“Mbingu” [kwa wingi] (2 Pet 3:13) na “mbingu” [kwa umoja] (Ufu 21:1), 6/15

Miti ya sanduku la agano (1 Fal 8:8), 10/15

Mke Mkristo na sherehe za sikukuu, 12/15

Nakala za programu za kompyuta, 2/15

Nyoka aliwasilianaje? 11/15

Tusali kwa ajili ya watu waliotengwa na ushirika? (Yer 7:16), 12/1

Vitu Vyote Viliumbwa “kwa Ajili” ya Yesu? (Kol 1:16), 9/1

Yobu aliteseka muda mrefu kadiri gani? 8/15

RIPOTI YA WATANGAZAJI WA UFALME

2/1, 4/1, 5/1, 6/1, 8/1, 10/1, 12/1

YEHOVA

‘Baraka ya, Hutajirisha,’ 11/1

Kuimarisha Tumaini Katika, 6/1

YESU KRISTO

Ufufuo, 3/15

Yesu Huokoa—Jinsi Gani? 11/15

Yule Yesu Halisi, 12/15