Faharisi ya Habari za Mnara Wa Mlinzi 2001
Faharisi ya Habari za Mnara Wa Mlinzi 2001
Ikionyesha tarehe ya toleo ambamo makala inapatikana
BIBLIA
Biblia Yafanywa Kuwa Buku Moja, 5/1
Cyril na Methodius—Watafsiri, 3/1
Hati-Kunjo za Bahari ya Chumvi, 2/15
Kuielewa Biblia, 7/1
Kwa Nini Ujifunze, 7/1
Tafsiri ya New World Translation Inathaminiwa, 11/15
MAISHA NA SIFA ZA KIKRISTO
‘Baraka kwa Waadilifu’ (Mit 10), 7/15
“Baraka ya BWANA Hutajirisha,” 11/1
Epuka Ugonjwa wa Moyo wa Mfano, 12/1
‘Heri Mtu Aonaye Hekima’ (Mit 8), 3/15
Imarisha Tumaini Katika Yehova, 6/1
Je, Wewe Ni Mvumilivu Kweli? 7/15
‘Kimbieni kwa Njia Hiyo,’ 1/1
Kufanikiwa Licha ya Malezi, 4/15
Kufanya Maamuzi ya Hekima, 9/1
Kukabiliana na Kivunja-Moyo! 2/1
Kukabiliana na Kuvunjika Moyo, 4/15
‘Kununua Kabisa Wakati Unaofaa,’ 5/1
Kushughulika na Unafiki, 11/15
Kuwasaidia Wajane, 5/1
‘Kwa Hekima Siku Zitazidishwa’ (Mit 9), 5/15
Linda Dhamiri, 11/1
Mazoea, 8/1
Shaka, 7/1
Shinda Vikwazo Vinavyokuzuia Usifanye Maendeleo, 8/1
Sitawisha Wema wa Adili, 1/15
Tembea Katika ‘Njia ya Unyofu’ (Mit 10) 9/15
Timizeni Mahitaji ya Watoto Wenu! 12/15
Uaminifu-Mshikamanifu, 10/1
Unahisi Umeeleweka Vibaya? 4/1
Ungamo, 6/1
Utii—Somo Muhimu Utotoni, 4/1
Watazame Mayatima na Wajane, 6/15
MAKALA KUU ZA MAFUNZO
Abrahamu—Kielelezo cha Imani, 8/15
Amani ya Kristo Inawezaje Kudhibiti Mioyoni Mwetu? 9/1
Baraka za Yehova Hututajirisha, 9/15
Dhihirisha Maendeleo Yako, 8/1
Dumisha Shangwe Yako Katika Utumishi wa Yehova, 5/1
Enda Sambamba na Tengenezo la Yehova, 1/15
Endeleeni Katika Kazi ya Kuvuna! 7/15
Endeleeni Mkiwa Imara Kama Ambao Mnaona Yeye Asiyeonekana! 6/15
Hofu Yehova na Kushika Amri Zake, 12/1
“Ikiwa Mungu Yuko Upande Wetu, Nani Atakayekuwa Dhidi Yetu?” 6/1
Iweni Wavunaji Wenye Furaha! 7/15
Je, Unaweza “Kutofautisha Lililo Sahihi na Lililo Kosa Pia”? 8/1
Je, Utapata Baraka za Yehova? 9/15
Jipatie Moyo Unaompendeza Yehova, 10/15
‘Jivikeni Wenyewe Ustahimilivu,’ 11/1
Kitulizo Kinachofaa cha Mkazo, 12/15
Kujenga Familia Yenye Nguvu Kiroho, 5/15
Kushinda Udhaifu wa Kibinadamu, 3/15
Kusonga Mbele Hadi Ushindi Kamili! 6/1
Linda Moyo Wako, 10/15
Mjengwe na Upendo, 1/1
“Mjifunze Kutoka Kwangu,” 12/15
Msife Moyo Katika Kufanya Lililo Bora, 8/15
Msifuni Yehova kwa Vitendo Vyake Vikubwa! 5/15
Msiwe Wasikiaji Wasahaulifu, 6/15
Mtafuteni Yehova Kabla ya Siku Yake ya Hasira, 2/15
Mwe na Imani kama ya Abrahamu! 8/15
Mwige Yehova Unapowazoeza Watoto Wako, 10/1
Mwongozo wa Mungu Katika Kuchagua Mwenzi wa Ndoa, 5/15
“Neno la Yehova Likaendelea Kukua,” 4/1
Ni Nani Atakayetutenganisha na Upendo wa Mungu? 10/15
Shangilieni kwa Kumjua Yehova, 7/1
Shangilieni Pamoja na Mungu Mwenye Furaha, 5/1
Shiriki Shangwe ya Kutoa! 7/1
Siku ya Hukumu ya Yehova I Karibu! 2/15
Sitawisha Moyo wa Kumhofu Yehova, 12/1
‘Tafuteni Sana Amani na Kuifuatia,’ 9/1
Tazameni Mtekelezaji wa Mambo ya Ajabu! 4/15
Ukristo wa Kweli Washinda! 4/1
Umeifanya Kweli Iwe Mali Yako Mwenyewe? 2/1
Unaishi Kupatana na Wakfu Wako? 2/1
Unaweza Kusaidiaje Mtoto “Mpotevu”? 10/1
Upendo Wako Umepanuka Kadiri Gani? 1/1
Waangalizi na Watumishi wa Huduma Huwekwa Rasmi Kitheokrasi, 1/15
Wale Wanaotembea Katika Nuru Hushangilia, 3/1
Watu wa Yehova Waliorudishwa Wamsifu Duniani Pote, 2/15
Wekeni Akili Juu ya Roho Mkaishi! 3/15
Wokovu kwa Wanaochagua Nuru, 3/1
Yehova Hutujulisha Jinsi ya Kuzihesabu Siku Zetu, 11/15
Yehova Ni Kimbilio Letu, 11/15
Yehova Ni Mungu Mstahimilivu, 11/1
Zingatia Kazi za Mungu za Ajabu, 4/15
MAMBO MENGINE
‘Afya Kitovuni Pako,’ 2/1
‘Dawa ya Macho ya Kusugua Katika Macho,’ 12/15
Enoki Alitembea Pamoja na Mungu, 9/15
Furaha, 3/1
Habari Njema ya Ufalme, 4/1
“Hatari Ambayo Haijatambuliwa Kuhusu Afya ya Umma” (ponografia katika Internet), 4/15
Ibilisi, 9/1
Inadumu Kuliko Dhahabu, 8/1
Je, Watu Wanaweza Kuungana Kikweli? 9/15
Jinsi ya Kufanikisha Ujana Wako, 8/15
Kanuni Bora Inafaa, 12/1
‘Katika Nuru Yako Twaona Nuru,’ 12/1
Kuteseka, 5/15
Mababa wa Kanisa—Watetezi wa Kweli? 4/15
Madhara ya Vita, 1/1
Maoni Yaliyosawazika Kuhusu Pesa, 6/15
“Mimi Nakata Rufani kwa Kaisari!” 12/15
Miti Inayodumu Muda Mrefu, 7/1
Msingi wa Imani, 8/1
Ni Kitu Gani Chenye Thamani ya Kweli? 9/15
Noa Auhukumu Ulimwengu kwa Imani Yake, 11/15
Origen—Jinsi Mafundisho Yake Yalivyoathiri Kanisa, 7/15
Paradiso ya Kiroho, 3/1
Paulo Apanga Kukusanywa kwa Michango ya Kusaidia, 3/15
Roho Isiyoweza Kufa? 7/15
Somo Kutokana na Mtende, 10/1
‘Tazama! Umati Mkubwa!’ 5/15
Uhai Baada ya Kifo? 7/15
Unaweza Kufanya Ulimwengu Uwe Mahali Bora? 10/15
Unaweza Kutumaini Viwango vya Nani? 6/1
Unaweza Kuwa na Imani ya Kweli, 10/1
Upasuaji Bila Damu, 3/1
Usalama Katika Ulimwengu Wenye Hatari Nyingi, 2/1
Uwasiliani-Roho, 5/1
Uwe Mwenye Shukrani, Furaha, 9/1
Wahasmonia, 6/15
Wanaoharibu Miti, 11/1
Wasikithe, 11/15
MASHAHIDI WA YEHOVA
Baraza Linaloongoza na Shirika la Kisheria, 1/15
Cheti cha Huduma Bora (Kongo [Kinshasa]), 8/15
Fundi wa Miwani Apanda Mbegu (Ukrainia, Israel), 2/1
Hawakuwa Peke Yao Imani Ilipojaribiwa (damu), 4/15
“Kazi Iliyofanywa kwa Ustadi Mkubwa Sana” (Photo-Drama), 1/15
Kenya, 2/15
Kuhitimu kwa Wanafunzi wa Gileadi 6/15, 12/15
Kusaidiana (wakimbizi wa vita), 4/15
Kuwasaidia Vijana, 7/15
Maji ya Uhai Katika Milima ya Andes, 10/15
Mikusanyiko—Shangwe ya Udugu, 9/15
Mikusanyiko ya “Walimu wa Neno la Mungu,” 2/15
Mikusanyiko ya “Watekelezaji wa Neno la Mungu,” 1/15
Mkutano wa Kila Mwaka 2000, 1/15
Ndiyo Kazi-Maisha Inayokufaa Zaidi? (utumishi wa Betheli), 3/15
“Siku ya Uvumiliano wa Kidini” (shule ya Poland), 11/1
Tunafanya Yote Tuwezayo! (mishonari), 10/15
“Tutaonana Katika Ufalme wa Mungu” (F. Drozg), 11/15
Ufaransa, 8/15, 9/1
Ushindi Dhidi ya Mnyanyaso wa Nazi, 3/15
Ushindi Kwenye Mahakama ya Jimbo (Ujerumani), 8/15
Walikuwa Mbwa-Mwitu—Sasa Ni Kondoo! 9/1
‘Washukuruni Mashahidi kwa Uhuru wa Kidini,’ 5/15
MASIMULIZI YA MAISHA
‘Alivumilia Hadi Mwisho’ (L. Swingle), 7/1
Kuendelea Kufuata Njia ya Yehova (L. Valentino), 5/1
Kukubali Mialiko ya Yehova (M. Zanardi), 12/1
Kushukuru kwa Kumbukumbu Yenye Thamani! (D. Caine), 8/1
Kutumikia kwa Moyo Wote Licha ya Majaribu (R. Lozano), 1/1
Kutumikia Popote Nilipohitajiwa (J. Berry), 2/1
Maisha Yenye Kuthawabisha Katika Utumishi wa Yehova (R. Kurzen), 11/1
Maisha Yenye Mambo Yasiyotazamiwa (E.&H. Beveridge), 10/1
Mwenye Furaha na Shukrani Licha ya Kufiwa (N. Porter), 6/1
Nimetegemezwa na Yehova (F. Lee), 3/1
Nuru Yang’aa Mashariki ya Kati (N. Salem), 9/1
Tulimjaribu Yehova (P. Scribner), 7/1
Tulishirikiana (M. Barry), 4/1
“Yehova Amekuwa Mwema Sana Kwangu!” (K. Klein), 5/1
MASWALI KUTOKA KWA WASOMAJI
Agano la Abrahamu—Lilifanywa Uru au Harani? 11/1
Danieli alikuwa wapi wakati wa jaribu la sanamu ya dhahabu? (Dan 3) 8/1
“Ibada haramu za sanamu” (1 Pet 4:3), 7/15
Kinachomaanishwa na “kuabudu katika roho” (Yn 4:24), 9/15
Kuingia Katika Pumziko la Yehova (Ebr 4:9-11), 10/1
Kwa nini uungame kwa wazee? 6/1
“Mahali Patakatifu Kabisa” palitiwa mafuta lini? (Dan 9:24), 5/15
“Mbingu” [kwa wingi] (2 Pet 3:13) na “mbingu” [kwa umoja] (Ufu 21:1), 6/15
Miti ya sanduku la agano (1 Fal 8:8), 10/15
Mke Mkristo na sherehe za sikukuu, 12/15
Nakala za programu za kompyuta, 2/15
Nyoka aliwasilianaje? 11/15
Tusali kwa ajili ya watu waliotengwa na ushirika? (Yer 7:16), 12/1
Vitu Vyote Viliumbwa “kwa Ajili” ya Yesu? (Kol 1:16), 9/1
Yobu aliteseka muda mrefu kadiri gani? 8/15
RIPOTI YA WATANGAZAJI WA UFALME
2/1, 4/1, 5/1, 6/1, 8/1, 10/1, 12/1
YEHOVA
‘Baraka ya, Hutajirisha,’ 11/1
Kuimarisha Tumaini Katika, 6/1
YESU KRISTO
Ufufuo, 3/15
Yesu Huokoa—Jinsi Gani? 11/15
Yule Yesu Halisi, 12/15