Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Fahirisi ya Habari za Mnara Wa Mlinzi 2004

Fahirisi ya Habari za Mnara Wa Mlinzi 2004

Fahirisi ya Habari za Mnara Wa Mlinzi 2004

Ikionyesha tarehe ya toleo ambalo makala inapatikana

BIBLIA

Hazina ya Chester Beatty, 9/15

Mambo Makuu Katika Hesabu, 8/1

Mambo Makuu Katika Kumbukumbu la Torati, 9/15

Mambo Makuu Katika Kutoka, 3/15

Mambo Makuu Katika Mambo ya Walawi, 5/15

Mambo Makuu Katika Yoshua, 12/1

Mambo Makuu Kutoka Mwanzo—I, 1/1

Mambo Makuu Kutoka Mwanzo—II, 1/15

‘Msafiri Jasiri wa Kueneza Injili’ (G. Barrow), 8/15

Tafsiri “Nzuri Sana” (Tafsiri ya Ulimwengu Mpya), 12/1

Tafsiri ya Complutensian Polyglot, 4/15

KALENDA

“Jinsi Kazi Zako Zilivyo Nyingi!” 11/15

‘Majira ya Kiangazi na Majira ya Baridi Kali Hayatakoma Kamwe,’ 7/15

“Mali Nyingi ya Bahari,” 9/15

“Miti ya Yehova Imeshiba,” 1/15

‘Mito Ipige Makofi,’ 5/15

“Una Utukufu Kuliko Milima,” 3/15

MAISHA NA SIFA ZA KIKRISTO

Abrahamu na Sara—Iga Imani! 5/15

Faraja kwa Wanaoteseka, 2/15

Hali Hutawala Maisha Yako? 6/1

“Hema la Wanyoofu Litasitawi” (Met 14), 11/15

Jinsi ya Kuonyesha Upendo kwa Mungu, 3/1

Kukabiliana na Shaka, 2/1

Kukazia Fikira ile Thawabu, 4/1

Kulea Watoto, 6/15

Kushughulika na Kivunja-Moyo, 9/1

Miradi ya Kiroho, 7/15

Mlo wa Jioni wa Bwana, 3/15

Msimamo wa Kutokuwamo Huzuia Upendo? 5/1

Mtazamo wa Kungojea, 10/1

‘Mtu Aliye Mwerevu Atatenda kwa Ujuzi’ (Met 13), 7/15

“Pigana Pigano Zuri la Imani,” 2/15

Urithi Unaopaswa Kuachiwa Watoto, 9/1

Vijana—Acheni Wazazi Wawasaidie Kulinda Mioyo! 10/15

Yaliyo Sawa na Yaliyo Makosa—Utaamuaje? 12/1

MAKALA ZA MAFUNZO

“Agizo la Yehova” Haliwezi Kushindwa, 7/15

“Bwana, Tufundishe Jinsi ya Kusali” (Sala ya Kielelezo), 2/1

Dumisha Usafi wa Kiadili kwa Kuulinda Moyo Wako, 2/15

“Endeleeni Kujipatia Nguvu Katika Bwana,” 9/15

“Fanya Kazi ya Mweneza-Injili,” 3/15

Hukumu ya Yehova Juu ya Waovu, 11/15

“Iweni na Upendo Mwororo kwa Mtu na Mwenzake,” 10/1

Je, Una Sababu ya Kuamini Kwamba Kutakuwa na Paradiso? 10/15

Jihadhari na “Sauti ya Wageni,” 9/1

Jihadhari na Udanganyifu, 2/15

Kuchoka Lakini Si Kuchoka Kabisa, 8/15

Kujitahidi Kuonyesha Fadhili Katika Ulimwengu Wenye Uadui, 4/15

Kukubali Msaada wa Yehova? 12/15

Kusitawisha Maoni ya Kristo Kuhusu Umashuhuri, 8/1

Lazima Watu wa Mungu Wapende Fadhili, 4/15

Maoni Yaliyosawazika Kuhusu Kileo, 12/1

“Mavazi Kamili ya Silaha Kutoka kwa Mungu,” 9/15

Mtafuteni Yehova, Mchunguzaji wa Mioyo, 11/15

Mtukuzeni Mungu “kwa Kinywa Kimoja,” 9/1

‘Mtumwa Mwaminifu’ Apita Mtihani wa Ukaguzi! 3/1

“Mtumwa” Ambaye Ni Mwaminifu na Mwenye Busara, 3/1

‘Nendeni Mkafanye Wanafunzi,’ 7/1

Ni Daraka la Kikristo Kuwatunza Walio Wazee, 5/15

Ni Nani Wanaomtukuza Mungu Leo? 10/1

Ni Wenye Furaha Ingawa Wanateswa, 11/1

“Ondoka, Zunguka Katika Nchi,” 10/15

Ongozwa na Mungu Aliye Hai, 6/15

Pingeni Roho ya Ulimwengu Unaobadilika, 4/1

“Sauti Yao Ilifika Katika Dunia Yote,” 1/1

Sema Neno la Mungu kwa Ujasiri, 11/15

‘Tamasha ya Ulimwengu Inabadilika,’ 2/1

Tegemea Roho ya Mungu Unaposhughulika na Mabadiliko ya Maisha, 4/1

Tembea Katika Njia ya Utimilifu, 12/1

Thamini Ifaavyo Zawadi ya Uhai, 6/15

Tianeni Nguvu, 5/1

“Timiza kwa Ukamili Huduma Yako,” 3/15

Ukuu wa Yehova Hauchunguziki, 1/15

Unapendezwa na “Sheria ya Yehova”? 7/15

Uumbaji Hutangaza Utukufu wa Mungu! 6/1

Uwe Jasiri Kama Yeremia, 5/1

Vijana, Je, Mnajitayarisha kwa Ajili ya Wakati Ujao? 5/1

‘Wafundisheni Kushika Mambo Yote Ambayo Nimewaamuru Ninyi,’ 7/1

Walio Wazee Ni Washiriki Wenye Thamani wa Undugu Wetu, 5/15

Wanachukiwa Bila Sababu, 8/15

Wanaomtukuza Mungu Hubarikiwa, 6/1

Watumishi wa Yehova Wenye Furaha, 11/1

Wote na Wautangaze Utukufu wa Yehova, 1/1

Yehova Huandaa Mahitaji ya Kila Siku (Sala ya Kielelezo), 2/1

Yehova Huwafunulia Wanyenyekevu Utukufu Wake, 8/1

Yehova Ni Mkuu Katika Upendo Mshikamanifu, 1/15

Yehova Ni Msaidizi Wetu, 12/15

Yehova, ‘Ngome Yetu Wakati wa Taabu,’ 8/15

MAMBO MENGINE

666—Si Fumbo Tu, 4/1

Barua kwa Noa, 7/1

Dini Ndiyo Chanzo cha Matatizo? 2/15

Ehudi, 3/15

Furaha, 9/1

Hali ya Kiroho na Hali Njema, 2/1

Ibada ya Kweli na Upagani Ilitofautiana (Efeso), 12/15

Je, Makanisa Yanaweza Kuokolewa? 3/1

Je, Makasisi Wanapaswa Kujiingiza Katika Siasa? 5/1

Kanuni za Kiroho, 10/15

Kapadokia, 7/15

Kupata Shauri Lenye Manufaa, 8/15

“Kweli Itawaweka Ninyi Huru,” 3/1

Mahitaji ya Kiroho, 2/1

Michezo ya Zamani, 5/1

Mkataba wa Amani wa Westphalia, 3/15

Mnyama-Mwitu na Alama, 4/1

“Mojawapo ya Kazi Kuu Zaidi za Uhandisi” (Bahari ya Kuyeyushwa), 1/15

“Mungu wa Kweli na Uzima wa Milele” (1Yo 5:20), 10/15

Ni Lazima Uwe Mfuasi wa Kanisa Fulani? 6/1

Ni Nini Hufanya Maisha Yawe na Kusudi Halisi? 8/1

Rebeka, 4/15

Sala ya Bwana, 9/15

Sala Zinaweza Kubadili Hali? 6/15

Serikali Nzuri, 8/1

Serikali ya Ufalme Ni Halisi, 8/1

Tumaini la Amani, 1/1

Tusali kwa Malaika Watusaidie? 4/1

Unataka Kuishi Milele? 11/15

Unaweza Kutumaini Ahadi za Nani? 1/15

Viongozi Wazuri, 11/1

Visagio Vilivyofanya Chakula Kipatikane, 9/15

‘Walisafiri kwa Mashua Kwenda Kipro,’ 7/1

Wanabaptisti, 6/15

Watumishi wa Mungu Wanafanana na Miti, 3/1

“Wenye Upole Watairithi Nchi,” 10/1

MASHAHIDI WA YEHOVA

‘Alitufundisha Kuheshimu Dini Yake’ (Italia), 6/15

Aliwaeleza Wanadarasa Wenzake Imani Yake (Poland), 10/1

Barua Kutoka kwa Alejandra (Mexico), 10/1

Dhamiri Nyoofu (simu ya mkononi iliyorudishwa), 2/1

Furaha Inayotokana na Kutoa (michango), 11/1

Kisiwa cha Tonga, 12/15

Kucheza Si Kupisha Wakati Tu, (watoto), 10/1

Kuhitimu kwa Wanafunzi wa Gileadi, 6/15, 12/15

Kukusanyika Kwenye “Kitovu cha Ulimwengu” (Kisiwa cha Easter), 2/15

Kusitawi, 3/1

Kutenda Mema Nyakati za Uhitaji, 6/1

Kuwahubiria Watu Mahali Pao pa Kazi, 4/1

Liberia, 4/1

Mahubiri Yasiyo Rasmi Katika Eneo Wanakozungumza Kiingereza Huko Mexico, 4/15

“Mtukuze Mungu” Makusanyiko ya Wilaya, 1/15

“Tembea Pamoja na Mungu” Makusanyiko ya Wilaya, 3/1

‘Vuka Uingie Utusaidie’ (Bolivia), 6/1

“Waathiriwa Waliosahauliwa” Wakumbukwa, 9/1

Washikamanifu na Imara (Poland), 10/15

Wenyeji wa Mexico, 8/15

MASIMULIZI YA MAISHA

Elimu Iliendelea Maisha Yote (H. Gluyas), 10/1

Ingawa Nilikuwa Kipofu, Niliweza Kuona! (E. Hauser), 5/1

Kujidhabihu Katika Mambo Madogo, Kubarikiwa Sana (G. na A. Aljian), 4/1

Kupata Fadhili Zenye Upendo za Yehova (F. King), 2/1

Kutumaini Utunzaji Wenye Upendo wa Yehova (A. Denz Turpin), 12/1

Magereza Yenye Giza Hadi Milima ya Alps ya Uswisi (L. Walther), 6/1

Maisha Yenye Kuridhisha Licha ya Maumivu ya Moyoni (A. Hyde), 7/1

Maisha Yenye Kuridhisha ya Kujidhabihu kwa Kupenda (M. na R. Szumiga), 9/1

Nimebarikiwa Sana kwa Roho ya Umishonari (T. Cooke), 1/1

Tulitegemea Nguvu za Yehova (E. Haffner), 8/1

Uamuzi Thabiti wa Kuunga Mkono Utawala wa Mungu (M. Žobrák), 11/1

Uradhi wa Kimungu Ulinitegemeza (I. Osueke), 3/1

MASWALI KUTOKA KWA WASOMAJI

144,000 ni halisi? 9/1

Hanameli angewezaje kumuuzia Yeremia shamba? (Yer 32:7), 3/1

Kilichoonyeshwa kimbele na Yubile, 7/15

‘Kopesha, bila kutumainia kurudishiwa chochote’ (Lu 6:35), 10/15

Kwa nini Mikali alikuwa na terafimu? (1 Sam 19:13), 6/1

Kwa nini wanaume Waisraeli wangeweza kuoa mateka, 9/15

Kwa nini Yesu alimruhusu Tomasi bali si Maria Magdalene amguse 12/1

Kwa nini Yuda alifanya ngono na mwanamke ambaye alifikiri ni kahaba? (Mwa 38:15), 1/15

Ni nini kilichotokea, ni nani aliyekuwa hatarini? (Kut 4:24-26), 3/15

Ni Waisraeli 23,000 au 24,000 walioanguka? (1Ko 10:8; Hes 25:9), 4//1

Njiwa alipata wapi jani la mzeituni? (Mwa 8:11), 2/15

Paulo alivunjikiwa meli huko Malta? 8/15

Roho waovu wakati wa Miaka Elfu, 11/15

‘Shetani akiwa tayari ameanguka kutoka mbinguni’ (Lu 10:18), 8/1

Sindano na ngamia halisi? (Mt 19:24; Mr 10:25; Lu 18:25), 5/15

Tunawezaje kuihuzunisha roho takatifu? (Efe 4:30), 5/15

Ulafi, 11/1

“Upendo Mkamilifu” (1 Yo 4:18), 10/1

Visehemu vya damu, 6/15

“Wasio Waamini” (2Ko 6:14), 7/1

YEHOVA

Anakujali, 7/1

Anatujali? 1/1

“Jinsi Kazi Zako Zilivyo Nyingi!” 11/15

Kumfanya Mungu Ashangilie? 5/15

‘Mapenzi Yako Yafanywe Duniani,’ 4/15

Unyenyekevu, 11/1

YESU KRISTO

Kuzaliwa Kunakokumbukwa, 12/15

Miujiza—Je, Kweli Ilitukia? 7/15