Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Fahirisi ya Habari za Mnara wa Mlinzi 2005

Fahirisi ya Habari za Mnara wa Mlinzi 2005

Fahirisi ya Habari za Mnara wa Mlinzi 2005

Ikionyesha tarehe ya toleo ambalo makala inapatikana

BIBLIA

Bahari ya Galilaya (mashua ya kale), 8/15

Biblia Inaweza Kukusaidia Upate Shangwe, 8/1

Biblia ya Berleburg, 2/15

Historia ya Biblia Ni Sahihi Kadiri Gani? 4/15

Jina la Mungu Katika Biblia ya Kale ya Kijerumani, 9/1

Kipimo cha “Pimu” Chathibitisha Kwamba Biblia Ni Sahihi Kihistoria, 3/15

Mafundisho ya Kweli, 7/15

“Mambo Kwisha” (Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo katika Lingala), 7/1

Mambo Makuu Katika Kitabu cha Kwanza cha Mambo ya Nyakati, 10/1

Mambo Makuu Katika Kitabu cha Kwanza cha Samweli, 3/15

Mambo Makuu Katika Kitabu cha Kwanza cha Wafalme, 7/1

Mambo Makuu Katika Kitabu cha Pili cha Mambo ya Nyakati, 12/1

Mambo Makuu Katika Kitabu cha Pili cha Samweli, 5/15

Mambo Makuu Katika Kitabu cha Pili cha Wafalme, 8/1

Mambo Makuu Katika Kitabu cha Ruthu, 3/1

Mambo Makuu Katika Kitabu cha Waamuzi, 1/15

Matatizo ya Kutafsiri Biblia ya Kiitaliano, 12/15

Msaada wa Kutafsiri, 4/15

Royal Bible, 8/15

Sayansi na Biblia—Je, Zinapingana? 4/1

Usahihi wa Biblia Unathibitishwa na Maktaba ya Kale ya Urusi, 7/15

KALENDA

Kujidhabihu, 11/15

Kumjua Mungu Huimarisha Familia, 5/15

Umati wa Watu Unaanza Kumwabudu Yehova, 9/15

Uzee Unapokuwa “Taji la Uzuri,” 1/15

Vijana Wanaomsifu Yehova, 3/15

Waseja, 7/15

MAISHA NA SIFA ZA KIKRISTO

Desturi Zisizompendeza Mungu, 1/1

Haki ya Kuudhika, 8/1

Je, Dhamiri Yako Imezoezwa Vizuri? 10/1

Je, Imani Yako Inakuchochea Kutenda? 4/15

Je, Kweli Inazaa Matunda Katika Wale Unaofundisha? 2/1

Je, Tunapaswa Kujali Jinsi Wengine Wanavyotuona? 9/15

Je, Wewe Hujilinganisha na Wengine? 2/15

Je, Wewe Huzungumza na Wapendwa Wako? 6/1

Je, Wewe Ni “Tajiri kwa Mungu”? 10/1

Kataa Mawazo Yasiyofaa! 9/15

Kufanya Amani, 3/1

‘Kumwogopa Yehova Ndiyo Hekima’ (Met 14), 9/15

Kusikiliza kwa Upendo, 11/15

Kutumia Akili, 5/15

Kutumia Kila Siku kwa Hekima, 5/1

Kuwalinda Watoto Kupitia Hekima ya Mungu, 1/1

Mfanye Yehova Awe Mungu Wako, 4/1

“Mkaribishane,” 1/15

“Mtu Mwerevu Huzifikiria Njia Zake” (Met 14), 7/15

Mume na Mke Wasipoelewana, 6/1

Tunaweza Kuvumilia Jaribu Lolote Lile! 6/15

Ujasiri Licha ya Upinzani, 5/1

Unajenga Juu ya Msingi Gani? 5/15

Ushikamanifu, 9/1

Usife Moyo Katika Kufanya Mema, 6/1

Wakati wa Chakula, 1/1

MAKALA KUU ZA FUNZO

Acha Neno la Mungu Liangaze Barabara Yako, 4/15

‘Endelea Kujizuia Chini ya Uovu,’ 5/15

Endelea Kutembea Kama Vile Yesu Kristo Alivyotembea, 9/15

“Endeleeni Kukesha”—Saa ya Hukumu Imefika! 10/1

“Endeleeni Kuthibitisha Ninyi Wenyewe Jinsi Mlivyo,” 7/15

Enyi Vijana, Msifuni Yehova! 6/15

Fuateni Kielelezo Kilichowekwa na Yesu, 1/1

Fundisho la Ufufuo Linakuhusu, 5/1

Habari Njema kwa Watu wa Mataifa Yote, 7/1

Je, Utatembea Pamoja na Mungu? 11/1

Je, Utatoa Mrudisho wa Utukufu wa Mungu? 8/15

Je, Wewe Ni Mwaminifu Katika Mambo Yote? 7/15

Jihadhari Usisitawishe Moyo wa Majivuno, 10/15

Jivunieni Kuwa Wakristo, 2/15

Kufuatilia ‘Lulu ya Thamani Kubwa’ Leo, 2/1

Kuishi Si kwa Ajili Yetu Wenyewe Tena, 3/15

‘Kuleta Habari Njema za Jambo Bora,’ 7/1

Kulinda Utambulisho Wetu wa Kikristo, 2/15

“Kupata Lulu Moja ya Thamani Kubwa,” 2/1

Kuwa Wahudumu Wenye Ubunifu, Wanaobadilika Kulingana na Hali, 12/1

Kuzijua Njia za Yehova, 5/15

Maono ya Kimbele Kuhusu Ufalme wa Mungu Yatimizwa, 1/15

“Mlinunuliwa kwa Bei,” 3/15

Mwongozo Wenye Hekima kwa Wenzi wa Ndoa, 3/1

Ndoa Inaweza Kufanikiwa Katika Ulimwengu wa Leo, 3/1

Ni Nani Watakaofufuliwa? 5/1

“Njia za Yehova Zimenyooka,” 11/15

Sasa Ndio Wakati wa Kuchukua Hatua, 12/15

Sehemu Kuu ya Unabii Ilielekezwa kwa Kristo, 1/15

Sheria ya Upendo Katika Mioyo, 8/15

Sitawisha Unyenyekevu wa Kweli, 10/15

Tegemea Neno la Yehova, 4/15

Tembea kwa Imani, Si kwa Kuona! 9/15

Tembea Pamoja na Mungu Nyakati Hizi za Misukosuko, 9/1

Tembea Pamoja na Mungu, Ukavune Mema, 11/15

Tumaini la Ufufuo Linamaanisha Nini Kwako? 5/1

Tumeokolewa, Si Kupitia Matendo Tu, Bali Kupitia Fadhili Zisizostahiliwa, 6/1

Tutatembea Katika Jina la Yehova Mungu Wetu, 9/1

Twazoezwa Kutoa Ushahidi Kamili, 1/1

Unabii wa Hosea Hutusaidia Kutembea Pamoja na Mungu, 11/15

Wakristo Hutoa Mrudisho wa Utukufu wa Yehova, 8/15

Watoto Wetu Ni Urithi Wenye Thamani, 4/1

Watu “Kutoka Katika Lugha Zote” Wanasikia Habari Njema, 12/1

Wazazi, Mnataka Watoto Wenu Wawe na Maisha ya Aina Gani Wakati Ujao? 10/1

Wazazi, Ulindeni Urithi Wenu Wenye Thamani, 4/1

Wazazi, Waandalieni Mahitaji Watu wa Familia Zenu, 6/15

Wewe Humtii Nani—Mungu au Wanadamu? 12/15

Yehova Amehesabu “Nywele Zenyewe za Kichwa Chenu,” 8/1

Yehova Huwalinda Wale Wanaomtumainia, 6/1

Yehova Ni Mchungaji Wetu, 11/1

Yehova Ni “Mthawabishaji wa Wale Wanaomtafuta kwa Bidii,” 8/1

MAMBO MENGINE

Elimu Bora Zaidi, 10/15

Fidia Hutukuza Uadilifu wa Mungu, 11/1

Har–Magedoni, 12/1

Ishara ya Kuwapo kwa Yesu, 10/1

Je, Dini Inaweza Kuwaunganisha Wanadamu? 1/1

Je, Kazi Ni Baraka au Ni Laana? 6/15

Je, Kuna Mtu Anayeweza Kuubadili Ulimwengu? 11/1

Je, Kweli Kuna Ibilisi? 11/15

Je, Unaweza Kuamua Wakati Wako Ujao Utakuwaje? 1/15

Jitihada za Kutafuta Amani ya Akili, 7/1

‘Jiwe Jekundu la Thamani’ (Ufu 4:3), 3/15

Kifo, 8/15

Kupata Ujuzi Sasa na Milele, 4/15

Maajabu ya Uumbaji Humtukuza Yehova, 11/15

Mafundisho ya Kweli, 7/15

Mahubiri ya Sauli Yachochea Uadui, 1/15

Majira ya Sikukuu, 12/15

Mari—Jiji Maarufu la Kale la Jangwani, 5/15

Miujiza, 2/15

Philo wa Aleksandria, 6/15

Pontio Pilato, 9/15

Samsoni Ashinda, 3/15

Ufufuo, 5/1

Uhai Wako Ni Wenye Thamani Kadiri Gani? 2/1

‘Ukilazimishwa Uingie Katika Utumishi’ (Mt 5:41), 2/15

Ukristo Waenea Miongoni mwa Wayahudi wa Karne ya Kwanza, 10/15

Ulimwengu Wenye Umoja, 6/1

Umaskini, 5/15

“Upanga wa Yehova na wa Gideoni!” 7/15

Wakati wa Krismasi, 12/15

“Wale Wanaoshuka Baharini kwa Meli,” 10/15

MASHAHIDI WA YEHOVA

“Aliteswa kwa Sababu ya Imani Yake” (N. Riet), 6/15

“Good News for People of All Nations” (kijitabu), 12/1

“Hawakubadili Msimamo Wao,” 7/15

‘Hubiri Kuachiliwa Huru kwa Mateka’ (kuhubiri gerezani), 12/15

Kuhitimu Gileadi, 7/1

Kuhubiri Mahali Ambapo Ukristo Ulisitawi Zamani (Italia), 6/15

Kumsifu Yehova Shuleni, 6/15

Kupanda Kwenye Kijiji cha Bottom Huko Saba, 2/15

Kusanyiko Katika Kambi ya Wakimbizi (Kenya), 4/15

Kuwasaidia Wachina Huko Mexico, 12/15

Makedonia, 4/15

Makusanyiko ya “Utii wa Kimungu,” 3/1

Michango, 11/1

“Mojawapo ya Siku Bora Maishani Mwangu” (Australia), 11/1

Mwenendo Mwema Huleta Matokeo Mazuri (Japani), 11/1

“Nchi ya Tai” (Albania), 10/15

Nguvu za Neno la Mungu, 2/15

Sehemu ya Mashambani ya Australia, 4/1

“Uaminifu Chini ya Majaribu” (video), 3/1

‘Upendo wa Kila Mmoja Wenu Unaongezeka’ (Japani), 11/15

Uthibitisho wa Imani, Upendo, na Utii (kiwanda cha uchapishaji cha Watchtower Farms), 12/1

Wafuasi wa Menno (Bolivia), 9/1

Wanawahubiria Viziwi Habari Njema (Hispania), 11/1

“Wangeweza Kuachiliwa,” 8/15

Watu Wanyoofu, 6/1

MASIMULIZI YA MAISHA

Alipata Ushindi wa Pekee (E. Ludolph), 5/1

Ingawa Mimi Ni Dhaifu, Nina Nguvu (L. Engleitner), 5/1

Kufurahia “Uzima wa Sasa” Kikamili (T. Buckingham), 6/1

Kuvumilia Nikiwa Askari-Jeshi wa Kristo (Y. Kaptola), 9/1

Mfano wa Wazazi Wangu Uliniimarisha (J. Rekelj), 10/1

Nafurahia Sehemu Yangu ya Kufundisha Biblia Duniani Kote (A. Matheakis), 7/1

Nilipata ‘Maombi ya Moyo Wangu’ (D. Morgou), 11/1

Nimeazimia Kuendelea Kumtumikia Muumba Wangu (C. Benanti), 12/1

Tulijifunza Kumtegemea Yehova Kikamili (N. Holtorf), 1/1

Tulitumia Hali Zetu Zenye Kubadilika Kuhubiri Maeneo ya Mbali (R. Malicsi), 3/1

Yatima Aliyeachwa Ampata Baba Mwenye Upendo (D. Sidiropoulos), 4/1

Yehova Huwapa Thawabu Kubwa Wale Wanaoishika Njia Yake (R. Stawski), 8/1

MASWALI KUTOKA KWA WASOMAJI

Daudi na wanaume wake walikula mikate ya toleo, 3/15

Je, Daudi aliwatendea kikatili mateka wake? 2/15

Je, maandiko kuhusu kula mzoga yanapingana? (Law 11:40; Kum 14:21), 7/1

Je, maneno “yeye peke yake asiyeweza kufa” na yule “ambaye hakuna hata mmoja kati ya wanadamu amemwona au anaweza kumwona” yanamhusu Yesu? (1Ti 6:15, 16), 9/1

Je, ni sawa kumpa mfanyakazi wa serikali bakshishi? 4/1

Je, Paulo alikana imani yake aliposema: “Mimi ni Farisayo”? (Mdo 23:6), 4/15

Je, Stefano alisali kwa Yesu? 1/1

Je, Sulemani atafufuliwa? 7/15

Kazi Inayohusisha Kuwa na Silaha, 11/1

Kwa nini Daudi na Bath-sheba hawakuuawa? 5/15

Maana ya Shekina, 8/15

“Malaika” wa Petro? (Mdo 12:15), 6/1

Michezo ya kompyuta yenye jeuri, 9/15

Neno “huenda” (Sef 2:3), 8/1

Samsoni alimpasuaje simba kama mwana-mbuzi? 1/15

Samsoni angewezaje kugusa maiti na bado abaki Mnadhiri? 1/15

Wanawake wanaweza kubakije salama “kupitia kuzaa watoto”? (1Ti 2:15), 5/1

YEHOVA

“Neno” la Yehova Likulinde, 9/1

Sikuzote Yehova Hufanya Yaliyo Sawa, 2/1

Yehova Hatakuacha, 10/15

YESU KRISTO

Yesu Kristo Ana Uvutano Gani Juu Yako? 3/15

Yesu Kristo Ni Nani? 9/15