Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Fahirisi ya Habari za Mnara wa Mlinzi 2006

Fahirisi ya Habari za Mnara wa Mlinzi 2006

Fahirisi ya Habari za Mnara wa Mlinzi 2006

Ikionyesha tarehe ya toleo ambamo makala inapatikana

BIBLIA

Christophe Plantin—Mtangulizi wa Uchapishaji wa Biblia, 11/15

Ina Sheria Nyingi Mno? 10/1

“Jinsi Ninavyoipenda Sheria Yako!” 9/15

Jitihada Kabambe za Kuwahimiza (Seraphim), 5/15

Kuielewa, 4/1

Mambo Makuu Katika Kitabu cha Ayubu, 3/15

Mambo Makuu Katika Kitabu cha Esta, 3/1

Mambo Makuu Katika Kitabu cha Ezra, 1/15

Mambo Makuu Katika Kitabu cha Isaya—I, 12/1

Mambo Makuu Katika Kitabu cha Methali, 9/15

Mambo Makuu Katika Kitabu cha Mhubiri, 11/1

Mambo Makuu Katika Kitabu cha Nehemia, 2/1

Mambo Makuu Katika Kitabu cha Wimbo wa Sulemani, 11/15

Mambo Makuu Katika Zaburi, Kitabu cha Kwanza, 5/15

Mambo Makuu Katika Zaburi, Kitabu cha Pili, 6/1

Mambo Makuu Katika Zaburi, Kitabu cha Tano, 9/1

Mambo Makuu Katika Zaburi, Kitabu cha Tatu, cha Nne, 7/15

“Manukuu ya Awali Zaidi,” 1/15

“Tulinganishe Andiko na Andiko,” 8/15

Vitabu vya Biblia Vinavyokubalika (Hati ya Muratori), 2/15

KALENDA

‘Hatuwezi Kuacha Kusema,’ 9/15

Kukombolewa na “Damu Yenye Thamani” 3/15

Kutoa Ushahidi Kamili kwa ‘Kujipa Moyo,’11/15

‘Mungu Wetu Anaweza Kutuokoa’ (Waebrania watatu), 7/15

“Vita Ni vya Yehova,” 5/15

‘Yah Ndiye Wokovu Wangu,’ 1/15

MAISHA NA SIFA ZA KIKRISTO

Faraja kwa Waliozeeka, 6/1

Kufanya Maamuzi Kupatana na Mapenzi ya Mungu, 4/15

Kulea Watoto, 11/1

Kumwogopa Mungu Ni “Nidhamu” (Met 15), 8/1

Kuna Faida ya Kuwa Mnyoofu, 12/1

Kutafakari Kupendeze, 1/1

Kutumikia Katika Kutaniko la Lugha ya Kigeni, 3/15

Kuufikia Moyo wa Mtoto, 5/1

Kuwahangaikia Maskini, 5/1

Kuwasiliana na Mwenzi Wako, 4/15

Kwa Nini Ufanye Lililo Sawa? 11/15

Maisha Yenye Kuridhisha, 2/1

Mpendwa Anapomwacha Yehova, 9/1

Msiogope, 5/1

Mwige Kristo Unapokuwa na Mamlaka, 4/1

“Neno Linalosemwa Wakati Unaofaa,” 1/1

Siku ya Arusi, 10/15

Somo Kuhusu Kiburi na Unyenyekevu, 6/15

Suala Linalokuhusu, 11/15

Thamani ya “Chombo Dhaifu,” 5/15

Tumia Wakati Vizuri, Huwezi Kuuhifadhi, 8/1

“Uhuru wa Kusema,” 5/15

Uradhi kwa Kutumia Kanuni za Maandiko, 6/1

Wazazi—Iweni Vielelezo Bora, 4/1

“Yeyote Anayejali Karipio Ni Mwerevu” (Met 15), 7/1

MAKALA ZA FUNZO

Arusi Zenye Kuheshimika Machoni Pa Mungu na Wanadamu, 10/15

Ayubu—Mtu Mvumilivu na Mtimilifu, 8/15

‘Chagua Uzima Ili Uendelee Kuwa Hai,’ 6/1

Epuka Ibada ya Uwongo! 3/15

Epukeni Manung’uniko, 7/15

Iga Subira ya Yehova, 2/1

Je, Uko Tayari kwa Wokovu? 5/15

Je, Unayaona Mambo Matakatifu Kama Yehova Anavyoyaona? 11/1

“Jinsi Ninavyoipenda Sheria Yako!” 6/15

Jinsi ya Kumkaribia “Msikiaji Wa Sala,” 9/1

Jitunzeni Katika Upendo Wa Mungu, 11/15

Kazia Fikira Mema ya Tengenezo la Yehova, 7/15

“Kila Mmoja Ataubeba Mzigo Wake Mwenyewe,” 3/15

Kubali Wakati Wote Nidhamu ya Yehova, 11/15

Kuheshimu Makusanyiko Yetu Matakatifu, 11/1

Kukusanya Vitu Vilivyo Mbinguni na Vitu Vilivyo Duniani, 2/15

Kumpenda Jirani Kunamaanisha Nini? 12/1

Kumtumikia Kristo Mfalme kwa Ushikamanifu, 5/1

Kutafuta Uadilifu Kutatulinda, 1/1

Kutembea Katika Njia ya Nuru Inayoongezeka, 2/15

Kutimiza Matakwa ya Ubatizo wa Kikristo, 4/1

Kuwa Hodari Kupitia Imani na Kumwogopa Mungu, 10/1

“Maombi Yenu na Yajulishwe Mungu,” 9/1

Mikono Yenu na Iwe na Nguvu, 4/15

“Mimi Nipo Pamoja Nanyi,” 4/15

“Mmesikia Juu ya Uvumilivu wa Ayubu,” 8/15

Mpende Mungu Anayekupenda, 12/1

Mpinge Shetani, Naye Atakukimbia! 1/15

Mtumaini Yehova, na Uwe Mwenye Ujasiri, 10/1

Mwogope Yehova, Uwe Mwenye Furaha! 8/1

‘Nendeni Mkafanye Wanafunzi, Mkiwabatiza,’ 4/1

“Ninavipenda Vikumbusho Vyako,” 6/15

Onyesha Upendo na Hekima kwa Kudhibiti Ulimi Wako, 9/15

“Shangilia Pamoja na Mke wa Ujana Wako,” 9/15

Shangwe za Kutembea kwa Utimilifu, 5/15

“Siku Kuu ya Yehova Iko Karibu,” 12/15

Tafrija Zinazofaa na Zinazoburudisha, 3/1

Thibitisha Imani Yako Kupitia Maisha Yako, 10/15

“Tunzeni Akili Zenu kwa Ukamili,” 3/1

Uhodari Waimarishwa kwa Upendo, 10/1

Unamtegemea Mungu Kadiri Gani? 1/1

“Ushahidi kwa Mataifa Yote,” 2/1

Usimamizi wa Kutimiza Kusudi la Mungu, 2/15

Usimpe Ibilisi Nafasi, 1/15

Uwe Mwenye Hekima—Mwogope Mungu! 8/1

Vijana, Chagueni Kumtumikia Yehova, 7/1

Wachungaji Ambao Ni “Vielelezo kwa Kundi,” 5/1

Walizaliwa Katika Taifa Teule la Mungu, 7/1

Yehova ‘Atasababisha Haki Ifanywe,’ 12/15

Yehova Anawapa “Roho Takatifu Wale Wanaomwomba,” 12/15

Yehova Humkomboa Anayeteseka, 7/15

Yehova Hutangaza “Tangu Mwanzo Ule Mwisho,” 6/1

Yehova Huwazoeza Wachungaji kwa Ajili ya Kundi Lake, 5/1

MAMBO MENGINE

Amani Duniani—Ni Ndoto? 12/15

Barabara za Roma, 10/15

Baruku—Mwandishi wa Yeremia, 8/15

Dini Ina Faida Gani? 9/1

Ebla Lililosahauliwa Lainuka, 12/15

Furaha, 6/15

Haki ya Binadamu, 8/1

Ibada Inayokufaa, 9/1

Je, Wema Utashinda Uovu? 1/1

Krismasi, 12/15

Kuishi “Siku za Mwisho”? 9/15

Kuishi Milele, 10/1

Kuoga Kidesturi, Wayahudi, 10/15

Kusafiri Baharini, 10/1

“Kwa Nini Tupo Hapa?” 10/15

Malaika, 1/15

Melito wa Sardi, 4/15

Mpinga-Kristo, 12/1

Mti wa Lagani Auna, 2/1

Muhuri ‘wa Yukali,’ 9/15

Ni Nani Watakaorithi Dunia? 8/15

“Pambo la Galilaya” (Sefori), 6/1

Pesa na Maadili, 2/1

Sanhedrini, 9/15

Shati la Manyoya, 8/1

Suluhisho la Kifo, 3/15

“Tukio la Mfano,” 3/15

TV Ni Mlezi Bora wa Mtoto? 6/15

Ufalme wa Mungu, 7/15

Ujuzi, 7/1

Umaskini, 5/1

Unataka Marafiki Wazuri? 3/1

Uthibitisho Usio wa Kimaandiko Kuhusu Israeli, 7/15

“Utunze Mzabibu Huu”! 6/15

Wanyama Humtukuza Yehova, 1/15

Yuda Iliachwa Ukiwa? 11/15

MASHAHIDI WA YEHOVA

Daniel na Beji Yake ya Kusanyiko, 11/1

Guinea, 10/15

Haiti, 12/15

Imani Huwatia Wengine Moyo (Visiwa vya Canary), 7/1

Je, Hakimu Anaweza Kurekebishwa? 12/1

Kuhitimu kwa Wanafunzi wa Gileadi, 1/1, 7/1

‘Kuanzia Leo, Naamini Kuna Mungu’ (Jamhuri ya Cheki), 7/15

Kujenga kwa Umoja, 11/1

“Kwa Sababu ya Mvulana Mwenye Miaka Tisa,” 9/1

Makusanyiko ya “Ukombozi Unakaribia!” 3/1

Miji ya Mbali ya Bolivia, 2/15

Mzee Lakini Hakuwa Mpweke (F. Rivarol), 8/15

“Nimemaliza Vizuri Sana” (Hispania), 7/1

Ongezeko Lenye Kutia Moyo (Taiwan), 8/15

Panama, 4/15

Pembe Tatu ya Zambarau, 2/15

Shule ya Mazoezi ya Kihuduma, 11/15

“Tueleze Zaidi!” (wanafunzi Urusi), 3/1

Uganda, 6/15

Wafundishe Watoto Wako Kutoa Maelezo, 11/15

Walifukuzwa, Kisha Wakakaribishwa (Peru), 1/1

Washiriki Wapya wa Baraza Linaloongoza, 3/15

Ziara Iliyobadili Mtazamo, 7/1

MASIMULIZI YA MAISHA

Alipendezwa na Sheria ya Yehova (A. Schroeder), 9/15

Hatimaye Familia yetu Yaungana! (S. Hirano), 8/1

Kufaidika na Ushikamanifu wa Wapendwa Wangu (K. Cooke), 9/1

Kujua kwa Nini Mungu Huruhusu Kuteseka (H. Peloyan), 5/1

Kujua Yaliyo Sawa na Kuyatenda (H. Sanderson), 3/1

Kutumikia kwa Shangwe Licha ya Magonjwa (V. Spetsiotis), 6/1

Kuwalea Watoto Wanane (J. Valentine), 1/1

Pigano la Kubaki Wenye Nguvu Kiroho (R. Brüggemeier), 12/1

Tuliazimia Kumtumikia Yehova (R. Kuokkanen), 4/1

Uvumilivu Huleta Shangwe (M. Rocha de Souza), 7/1

Yehova Alinisaidia Kukabiliana na Matatizo ya Maisha (D. Irwin), 10/1

Yehova Alinisaidia Nimpate (F. Clark), 2/1

Yehova Alithawabisha Tamaa Yangu ya Kuwa Mmishonari (S. Winfield da Conceição), 11/1

MASWALI KUTOKA KWA WASOMAJI

Dhambi na Kifo Baada ya Jaribu la Mwisho, 8/15

“Hakuna mtu ambaye amepanda kuingia mbinguni ila yule aliyeshuka” (Yoh 3:13), 6/15

Je, Dunia Itaharibiwa? (Zb 102:26), 1/1

Je, “Hekima” ni Yesu kabla hajawa mwanadamu? (Met 8), 8/1

Je, Wanawake “wakae kimya” kutanikoni? (1Ko 14:34), 3/1

Je, Yesu Alimdharau Mama Yake? (Yoh 2:4), 12/1

Je, Yusufu Alisoma Ishara za Bahati? (Mwa 44:5), 2/1

Kusumbuliwa na Roho Waovu, 4/15

Kutengwa na Ushirika kwa Sababu ya Uchafu, 7/15

Mabamba Katika Sanduku la Agano, 1/15

Msiba wa Barabarani Unaosababisha Kifo, 9/15

Musa “hangeruhusiwa tena kutoka nje”? (Kum 31:2), 10/1

Ngono ilimfanya mtu asiwe safi, Sheria, 6/1

Ni nini kinachosababisha “vitu vyenye kutamanika” viingie? (Hag 2:7), 5/15

“Usimtokose mwana-mbuzi katika maziwa ya mama” (Kut 23:19), 4/1

Yesu alitoa onyo kuhusu mambo gani matatu? (Mt 5:22), 2/15

YEHOVA

Haki ya Kuwa na Jina, 4/15

Je, Tunaweza Kumjua Mungu? 10/15

Kusudi Kuelekea Dunia, 5/15

YESU KRISTO

Kuhani Mkuu Aliyemhukumu, 1/15

Kuja kwa Masihi, 2/15

Wanaofuata Mafundisho ya Kristo, 3/1