Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Fahirisi ya Habari za Mnara wa Mlinzi 2007

Fahirisi ya Habari za Mnara wa Mlinzi 2007

Fahirisi ya Habari za Mnara wa Mlinzi 2007

Ikionyesha tarehe ya toleo ambamo makala inapatikana

BIBLIA

Biblia ya Kwanza Katika Kireno, 7/1

Biblia za Lugha za Kiafrika, 1/15

Faida ya “Agano la Kale,” 9/1

Je, Inafaa? 4/1

Kazi Ngumu ya Glück (Tafsiri ya Kilatvia), 6/15

Kitabu cha Kukunjwa Hadi Kodeksi, 6/1

Mambo Makuu Katika Danieli, 9/1

Mambo Makuu Katika Ezekieli, 7/1, 8/1

Mambo Makuu Katika Hagai, Zekaria, 12/1

Mambo Makuu Katika Hosea, 9/15

Mambo Makuu Katika Isaya—II, 1/15

Mambo Makuu Katika Malaki, 12/15

Mambo Makuu Katika Maombolezo, 6/1

Mambo Makuu Katika Nahumu, Habakuki, Sefania, 11/15

Mambo Makuu Katika Obadia, Yona, Mika, 11/1

Mambo Makuu Katika Yeremia, 3/15

Mambo Makuu Katika Yoeli, Amosi, 10/1

Ni Rahisi, Lakini Je, Ni Sahihi? (100-Minute Bible), 2/1

Vigae Vinaunga Mkono, 11/15

Waandishi wa Kale, 3/15

Yesu Alikuwa na Biblia? 12/1

“Zawadi Kubwa” kwa Poland, 8/15

MAISHA NA SIFA ZA KIKRISTO

“Akatushurutisha Kwelikweli,” 3/15

Dhabihu Zinazompendeza Mungu, 4/1

Elekea Ilipo Nuru, 10/15

Furahia Kumngojea Yehova, 3/1

Hali ya Kiroho, 8/1

‘Hekima Ni Ulinzi’ (Met 16), 7/15

Huruma, 12/15

Imani Katika Unabii, 4/1

Kujifunza Kutoka kwa Watoto, 2/1

Kukabiliana na Ukosefu wa Haki, 8/15

Kumsaidia Mtoto Ampende Mungu Kutoka Moyoni, 9/15

Kupanuka Katika Upendo, 1/1

‘Kusitawi Wakati wa Kichwa Chenye Mvi,’ 9/15

Kutahiriwa—Ishara ya Mtu Mzima? 6/1

Kuwajali Wengine, 6/15

Kwa Nini Tukutanike? 5/15

Maadili, 6/15

Maamuzi Yanayoongoza Kwenye Furaha, 10/1

Maisha Yenye Kusudi, 11/15

Matarajio Yanapokosa Kutimizwa, 4/15

Mfundishe Mtoto Awe Mwenye Kufanya Amani, 12/1

‘Mipango Itafanywa Imara’ (Met 16), 5/15

Mtazamo wa Kupita Kiasi, 2/15

Mtoto Anapoasi, 1/15

Mwanamume na Mwanamke—Wajibu Wenye Kuheshimika, 1/15

Nguvu za Ulimi, 6/1

Nuru Ni ya Ajabu! 3/15

Pongezi, 9/1

Tuseme Kweli, 2/1

Uishi kwa Ajili ya Leo? 10/15

Unawaburudisha Wengine? 11/15

‘Unijaribu,’ 8/15

Unyenyekevu, 11/1

Vijana—Mnagusa Mioyo ya Wazazi, 5/1

Wasaidie Watoto Waelimike Kikweli, 5/15

YEHOVA

Jina Katika Muziki wa Kirusi, 9/1

Kwa Nini Anaruhusu Uovu? 9/15

Macho ya Mungu Yako Juu Yako? 8/1

Mbuni, 8/15

MASHAHIDI WA YEHOVA

Dhahabu Ni Yangu na Fedha Ni Yangu (michango), 11/1

Imani ya Mama Inashinda, 8/1

Kielelezo cha Unyoofu, 2/15

Kuhitimu Gileadi, 1/1, 7/1

Kushinda Magumu Ili Kupeleka Habari Njema (Afrika), 10/15

“Mfuateni Kristo!” Makusanyiko, 3/1

“Miujiza” Miwili Katika Kusanyiko Moja (Georgia), 8/1

Mlemavu Lakini Ana Tamaa ya Kutumika, 4/15

Mzee Aliye na Kusudi, 1/15

“Nilivutiwa na Azimio Lake Lenye Kustaajabisha” (Ujerumani), 10/15

“Nyumba ya Mawe” (Zimbabwe), 2/15

“Pokeeni Zawadi Yangu Ndogo” (Urusi), 11/15

Shamba “Jeupe kwa Ajili ya Kuvunwa” (Rasi ya Guajira), 4/15

Tamaa ya Adryana, 4/15

“Ukombozi Umekaribia!” Makusanyiko ya Wilaya ya (2006), 7/1

Unatumia Kila Nafasi Kuzungumzia Imani Yako? (wanashule-wenzi), 11/1

Ushindi Katika Mahakama ya Ulaya ya Haki za Kibinadamu (Urusi), 5/15

“Zawadi Yako Yenye Thamani Sana” (Ubelgiji), 12/15

YESU KRISTO

Kuja, 3/15

MASIMULIZI YA MAISHA

Kufanya Wanafunzi Kumefinyanga Maisha Yangu (L. Peters), 4/1

Kumtumikia Yehova—Ni Heshima na Pendeleo (Z. Stigers), 8/1

Kushangilia “Ushindi Pamoja na Mwana-Kondoo” (C. Barber), 10/15

Kusonga Kuelekea Ulimwengu Mpya (J. Pramberg), 12/1

Kutafuta Hazina Kulituletea Utajiri wa Kudumu (D. Smith na D. Ward), 5/1

Kuungojea Ufalme Ambao “Si Sehemu ya Ulimwengu” (N. Gutsulyak), 3/1

Kwa Nini Ninafurahia Kufanya Wanafunzi (P. Moseley), 2/1

Maamuzi Mazuri, Baraka za Kudumu (P. Kushnir), 1/1

Mtu Aliyependa Uhai na Watu (D. Sydlik), 1/1

Tulijifunza Kumtegemea Yehova (A. Baxter), 11/1

Tuliokoka Serikali za Kimabavu (H. Dornik), 9/1

Tunaazimia Kutimiza Huduma Yetu (L. Davison), 6/1

MAMBO MENGINE

Amani Kati ya Jamii, 7/1

Amosi—Mkusanyaji au Mminyaji wa Tini? 2/1

Barzilai, 7/15

Beroya, 4/15

“Bwana, Mbona Ulikaa Kimya?” (Papa huko Auschwitz), 5/15

Chanzo cha Uovu, 6/1

Dada ‘Waliojenga Israeli’ (Lea, Raheli), 10/1

Dimbwi la Siloamu, 7/15

Dunia Inafaa Kabisa, 2/15

Faraja kwa Wazazi Wanaoomboleza, 5/1

Haidhuru Dini Gani? 3/1

Hana, 3/15

John Milton, 9/15

Kuandika Katika Israeli la Kale, 8/15

Kuitambua Ibada ya Kweli, 3/1

“Kweli Ni Nini?” 10/1

Luka—Mfanyakazi Mwenzi Mpendwa, 11/15

Mafanikio, 1/1

“Meli za Kitimu,” 10/15

Mwaka Katika “Nchi Nzuri,” 6/15

Nafsi Isiyoweza Kufa? 7/15

Samweli, 1/15

Sauli Akutana na Marafiki, Maadui, 6/15

“Shahidi Mwaminifu Angani,” 7/15

Sikukuu ya Kipagani Yageuzwa Iwe ya Kikristo? 12/15

Sirakusa—Safari ya Paulo, 10/15

Ukatili Utakwisha? 4/15

Ukristo Unaingia Asia Ndogo, 8/15

Ulimwengu Wenye Umoja Ni Ndoto? 12/1

Una Mshauri wa Kiroho? 12/15

Unatazamia Wakati Ujao kwa Woga au Tumaini? 5/15

Wessel Gansfort—Mrekebishaji, 3/1

Yeftha, 5/15

Yonathani, 9/15

MASWALI KUTOKA KWA WASOMAJI

Kuinua bilauri, 2/15

Kutiwa Muhuri (Ufu 7:3), 1/1

Kuwinda na Kuvua, 12/1

Kwa nini Sauli aliuliza Daudi ni mwana wa nani? (1Sa 17:58), 8/1

Kwa nini Yesu alitumia kitu chenye chachu (divai) katika Ukumbusho? 9/15

“Mke wa mume mmoja” (1Ti 5:9), 4/1

Mtumwa mwaminifu mwenye “busara”? (Mt 24:45), 9/1

“Mwanamume mmoja kati ya elfu moja” (Mhu 7:28), 1/15

Mwito wa tumaini la kimbingu wakoma 5/1

Ni nani aliyevuna shayiri iliyotolewa Nisani 16? 7/15

Nyoka wa Edeni alikuwa na miguu? (Mwa 3:14), 6/15

Uepuke kafeni? 4/15

Uhudhurie arusi ya mtu asiye Shahidi? 11/15

‘Vita kwenye Har–Magedoni’ ni nini? (Ufu 16:14, 16), 2/1

Wanyama wangapi safi ndani ya safina? 3/15

Watoto wakizoezwa ifaavyo hawatamwacha Yehova? (Met 22:6), 6/1

Yakobo alikosea alipojifanya kuwa Esau? (Mwa 27:18, 19), 10/1

MAKALA ZA FUNZO

Acha Neno la Mungu Liongoze Hatua Zako, 5/1

“Baba Yenu Ni Mwenye Rehema,” 9/15

“Endelea Kuushinda Ubaya kwa Wema,” 7/1

Enzi Kuu ya Yehova na Ufalme wa Mungu, 12/1

Fundisha Yale Ambayo Biblia Inafundisha Hasa, 1/15

Furahia Maisha Katika Kumwogopa Yehova, 3/1

Hakuna Silaha Itakayofanywa Juu Yako Itakayofanikiwa, 12/15

Isikie Sauti Inayotoka Ndani, 10/15

Iikilize Dhamiri Yako, 10/15

Je, ‘Utaendelea Kutembea kwa Roho’? 7/15

Je, Ufufuo Ni Halisi Kwako? 5/15

Je, Uko Tayari kwa Ajili ya Siku ya Yehova? 12/15

Je, Umeitendea Dhambi Roho Takatifu? 7/15

Je, Unaitegemeza Enzi Kuu ya Yehova? 12/1

Je, Wewe Ni “Tajiri kwa Mungu”? 8/1

‘Jilinde na Kila Namna ya Tamaa,’ 8/1

Jinsi Malaika Wanavyohusika Katika Maisha ya Wanadamu, 3/15

Kuchunguza Ndani ya Mambo Mazito ya Mungu, 11/1

Kufuatia Kusudi la Mungu Leo, 10/1

Kufuatia Kusudi Lenye Maana Maishani, 10/1

Kuingojea Siku ya Yehova kwa Uvumilivu, 7/15

Kujitiisha kwa Unyenyekevu Chini ya Wachungaji Wenye Upendo, 4/1

Kukombolewa Kutoka Katika Mitego ya Mwindaji wa Ndege, 10/1

Kusitawi Kiroho Wakati wa Kichwa Chenye Mvi, 6/1

Kutaniko na Lijengwe, 4/15

Kutaniko na Limsifu Yehova, 4/15

Mshikamanifu kwa Kristo na kwa Mtumwa Wake Mwaminifu, 4/1

“Msimlipe Yeyote Uovu kwa Uovu,” 7/1

Mwige Mfanya-Wanafunzi Mkuu, 11/15

Na Tulikweze Jina la Yehova Pamoja, 3/1

Neno la Yehova Halikosi Kamwe Kutimia, 11/1

Sababu Kwa Nini Mateso Yote Yatakwisha Karibuni, 5/15

“Simameni Imara Muuone Wokovu wa Yehova,” 12/15

Sitawisha Sifa Zinazoweza Kukusaidia Kufanya Wanafunzi, 11/15

‘Tumeumbwa kwa Njia ya Ajabu,’ 6/15

Tunaweza Jinsi Gani Kutenda kwa Rehema? 9/15

Tunaweza Kufaidika kwa Kuvumilia Mateso, 8/15

Tunaweza Kuwapinga Roho Waovu Jinsi Gani? 3/15

“Ufufuo wa Kwanza”—Unaendelea Sasa! 1/1

Usiache Kamwe Kukuza Uthamini Wako, 2/1

Usitenganishe Kile Ambacho Mungu Ameunganisha, 5/1

“Utakuwa na Shangwe Kwelikweli,” 1/1

Vijana—Fuatieni Miradi Inayomletea Mungu Heshima, 5/1

Wafundishe Watoto Wako Kumpenda Yehova, 9/1

Wake, Waheshimuni Sana Waume Wenu, 2/15

Waliozeeka Ni Baraka kwa Vijana, 6/1

Wasaidie Wengine Watii Mambo Ambayo Biblia Inafundisha, 1/15

“Watoto, Watiini Wazazi Wenu,” 2/15

Waume, Tambueni Ukichwa wa Kristo, 2/15

Wazazi—Wazoezeni Watoto Wenu kwa Upendo, 9/1

Yehova Anathamini Utii Wako, 6/15

Yehova Ni Mpenda-Haki, 8/15

Yehova Ni Mungu Anayethamini, 2/1