Fahirisi ya Habari za Mnara wa Mlinzi 2007
Fahirisi ya Habari za Mnara wa Mlinzi 2007
Ikionyesha tarehe ya toleo ambamo makala inapatikana
BIBLIA
Biblia ya Kwanza Katika Kireno, 7/1
Biblia za Lugha za Kiafrika, 1/15
Faida ya “Agano la Kale,” 9/1
Je, Inafaa? 4/1
Kazi Ngumu ya Glück (Tafsiri ya Kilatvia), 6/15
Kitabu cha Kukunjwa Hadi Kodeksi, 6/1
Mambo Makuu Katika Danieli, 9/1
Mambo Makuu Katika Ezekieli, 7/1, 8/1
Mambo Makuu Katika Hagai, Zekaria, 12/1
Mambo Makuu Katika Hosea, 9/15
Mambo Makuu Katika Isaya—II, 1/15
Mambo Makuu Katika Malaki, 12/15
Mambo Makuu Katika Maombolezo, 6/1
Mambo Makuu Katika Nahumu, Habakuki, Sefania, 11/15
Mambo Makuu Katika Obadia, Yona, Mika, 11/1
Mambo Makuu Katika Yeremia, 3/15
Mambo Makuu Katika Yoeli, Amosi, 10/1
Ni Rahisi, Lakini Je, Ni Sahihi? (100-Minute Bible), 2/1
Vigae Vinaunga Mkono, 11/15
Waandishi wa Kale, 3/15
Yesu Alikuwa na Biblia? 12/1
“Zawadi Kubwa” kwa Poland, 8/15
MAISHA NA SIFA ZA KIKRISTO
“Akatushurutisha Kwelikweli,” 3/15
Dhabihu Zinazompendeza Mungu, 4/1
Elekea Ilipo Nuru, 10/15
Furahia Kumngojea Yehova, 3/1
Hali ya Kiroho, 8/1
‘Hekima Ni Ulinzi’ (Met 16), 7/15
Huruma, 12/15
Imani Katika Unabii, 4/1
Kujifunza Kutoka kwa Watoto, 2/1
Kukabiliana na Ukosefu wa Haki, 8/15
Kumsaidia Mtoto Ampende Mungu Kutoka Moyoni, 9/15
Kupanuka Katika Upendo, 1/1
‘Kusitawi Wakati wa Kichwa Chenye Mvi,’ 9/15
Kutahiriwa—Ishara ya Mtu Mzima? 6/1
Kuwajali Wengine, 6/15
Kwa Nini Tukutanike? 5/15
Maadili, 6/15
Maamuzi Yanayoongoza Kwenye Furaha, 10/1
Maisha Yenye Kusudi, 11/15
Matarajio Yanapokosa Kutimizwa, 4/15
Mfundishe Mtoto Awe Mwenye Kufanya Amani, 12/1
‘Mipango Itafanywa Imara’ (Met 16), 5/15
Mtazamo wa Kupita Kiasi, 2/15
Mtoto Anapoasi, 1/15
Mwanamume na Mwanamke—Wajibu Wenye Kuheshimika, 1/15
Nguvu za Ulimi, 6/1
Nuru Ni ya Ajabu! 3/15
Pongezi, 9/1
Tuseme Kweli, 2/1
Uishi kwa Ajili ya Leo? 10/15
Unawaburudisha Wengine? 11/15
‘Unijaribu,’ 8/15
Unyenyekevu, 11/1
Vijana—Mnagusa Mioyo ya Wazazi, 5/1
Wasaidie Watoto Waelimike Kikweli, 5/15
YEHOVA
Jina Katika Muziki wa Kirusi, 9/1
Kwa Nini Anaruhusu Uovu? 9/15
Macho ya Mungu Yako Juu Yako? 8/1
Mbuni, 8/15
MASHAHIDI WA YEHOVA
Dhahabu Ni Yangu na Fedha Ni Yangu (michango), 11/1
Imani ya Mama Inashinda, 8/1
Kielelezo cha Unyoofu, 2/15
Kuhitimu Gileadi, 1/1, 7/1
Kushinda Magumu Ili Kupeleka Habari Njema (Afrika), 10/15
“Mfuateni Kristo!” Makusanyiko, 3/1
“Miujiza” Miwili Katika Kusanyiko Moja (Georgia), 8/1
Mlemavu Lakini Ana Tamaa ya Kutumika, 4/15
Mzee Aliye na Kusudi, 1/15
“Nilivutiwa na Azimio Lake Lenye Kustaajabisha” (Ujerumani), 10/15
“Nyumba ya Mawe” (Zimbabwe), 2/15
“Pokeeni Zawadi Yangu Ndogo” (Urusi), 11/15
Shamba “Jeupe kwa Ajili ya Kuvunwa” (Rasi ya Guajira), 4/15
Tamaa ya Adryana, 4/15
“Ukombozi Umekaribia!” Makusanyiko ya Wilaya ya (2006), 7/1
Unatumia Kila Nafasi Kuzungumzia Imani Yako? (wanashule-wenzi), 11/1
Ushindi Katika Mahakama ya Ulaya ya Haki za Kibinadamu (Urusi), 5/15
“Zawadi Yako Yenye Thamani Sana” (Ubelgiji), 12/15
YESU KRISTO
Kuja, 3/15
MASIMULIZI YA MAISHA
Kufanya Wanafunzi Kumefinyanga Maisha Yangu (L. Peters), 4/1
Kumtumikia Yehova—Ni Heshima na Pendeleo (Z. Stigers), 8/1
Kushangilia “Ushindi Pamoja na Mwana-Kondoo” (C. Barber), 10/15
Kusonga Kuelekea Ulimwengu Mpya (J. Pramberg), 12/1
Kutafuta Hazina Kulituletea Utajiri wa Kudumu (D. Smith na D. Ward), 5/1
Kuungojea Ufalme Ambao “Si Sehemu ya Ulimwengu” (N. Gutsulyak), 3/1
Kwa Nini Ninafurahia Kufanya Wanafunzi (P. Moseley), 2/1
Maamuzi Mazuri, Baraka za Kudumu (P. Kushnir), 1/1
Mtu Aliyependa Uhai na Watu (D. Sydlik), 1/1
Tulijifunza Kumtegemea Yehova (A. Baxter), 11/1
Tuliokoka Serikali za Kimabavu (H. Dornik), 9/1
Tunaazimia Kutimiza Huduma Yetu (L. Davison), 6/1
MAMBO MENGINE
Amani Kati ya Jamii, 7/1
Amosi—Mkusanyaji au Mminyaji wa Tini? 2/1
Barzilai, 7/15
Beroya, 4/15
“Bwana, Mbona Ulikaa Kimya?” (Papa huko Auschwitz), 5/15
Chanzo cha Uovu, 6/1
Dada ‘Waliojenga Israeli’ (Lea, Raheli), 10/1
Dimbwi la Siloamu, 7/15
Dunia Inafaa Kabisa, 2/15
Faraja kwa Wazazi Wanaoomboleza, 5/1
Haidhuru Dini Gani? 3/1
Hana, 3/15
John Milton, 9/15
Kuandika Katika Israeli la Kale, 8/15
Kuitambua Ibada ya Kweli, 3/1
“Kweli Ni Nini?” 10/1
Luka—Mfanyakazi Mwenzi Mpendwa, 11/15
Mafanikio, 1/1
“Meli za Kitimu,” 10/15
Mwaka Katika “Nchi Nzuri,” 6/15
Nafsi Isiyoweza Kufa? 7/15
Samweli, 1/15
Sauli Akutana na Marafiki, Maadui, 6/15
“Shahidi Mwaminifu Angani,” 7/15
Sikukuu ya Kipagani Yageuzwa Iwe ya Kikristo? 12/15
Sirakusa—Safari ya Paulo, 10/15
Ukatili Utakwisha? 4/15
Ukristo Unaingia Asia Ndogo, 8/15
Ulimwengu Wenye Umoja Ni Ndoto? 12/1
Una Mshauri wa Kiroho? 12/15
Unatazamia Wakati Ujao kwa Woga au Tumaini? 5/15
Wessel Gansfort—Mrekebishaji, 3/1
Yeftha, 5/15
Yonathani, 9/15
MASWALI KUTOKA KWA WASOMAJI
Kuinua bilauri, 2/15
Kutiwa Muhuri (Ufu 7:3), 1/1
Kuwinda na Kuvua, 12/1
Kwa nini Sauli aliuliza Daudi ni mwana wa nani? (1Sa 17:58), 8/1
Kwa nini Yesu alitumia kitu chenye chachu (divai) katika Ukumbusho? 9/15
“Mke wa mume mmoja” (1Ti 5:9), 4/1
Mtumwa mwaminifu mwenye “busara”? (Mt 24:45), 9/1
“Mwanamume mmoja kati ya elfu moja” (Mhu 7:28), 1/15
Mwito wa tumaini la kimbingu wakoma 5/1
Ni nani aliyevuna shayiri iliyotolewa Nisani 16? 7/15
Nyoka wa Edeni alikuwa na miguu? (Mwa 3:14), 6/15
Uepuke kafeni? 4/15
Uhudhurie arusi ya mtu asiye Shahidi? 11/15
‘Vita kwenye Har–Magedoni’ ni nini? (Ufu 16:14, 16), 2/1
Wanyama wangapi safi ndani ya safina? 3/15
Watoto wakizoezwa ifaavyo hawatamwacha Yehova? (Met 22:6), 6/1
Yakobo alikosea alipojifanya kuwa Esau? (Mwa 27:18, 19), 10/1
MAKALA ZA FUNZO
Acha Neno la Mungu Liongoze Hatua Zako, 5/1
“Baba Yenu Ni Mwenye Rehema,” 9/15
“Endelea Kuushinda Ubaya kwa Wema,” 7/1
Enzi Kuu ya Yehova na Ufalme wa Mungu, 12/1
Fundisha Yale Ambayo Biblia Inafundisha Hasa, 1/15
Furahia Maisha Katika Kumwogopa Yehova, 3/1
Hakuna Silaha Itakayofanywa Juu Yako Itakayofanikiwa, 12/15
Isikie Sauti Inayotoka Ndani, 10/15
Iikilize Dhamiri Yako, 10/15
Je, ‘Utaendelea Kutembea kwa Roho’? 7/15
Je, Ufufuo Ni Halisi Kwako? 5/15
Je, Uko Tayari kwa Ajili ya Siku ya Yehova? 12/15
Je, Umeitendea Dhambi Roho Takatifu? 7/15
Je, Unaitegemeza Enzi Kuu ya Yehova? 12/1
Je, Wewe Ni “Tajiri kwa Mungu”? 8/1
‘Jilinde na Kila Namna ya Tamaa,’ 8/1
Jinsi Malaika Wanavyohusika Katika Maisha ya Wanadamu, 3/15
Kuchunguza Ndani ya Mambo Mazito ya Mungu, 11/1
Kufuatia Kusudi la Mungu Leo, 10/1
Kufuatia Kusudi Lenye Maana Maishani, 10/1
Kuingojea Siku ya Yehova kwa Uvumilivu, 7/15
Kujitiisha kwa Unyenyekevu Chini ya Wachungaji Wenye Upendo, 4/1
Kukombolewa Kutoka Katika Mitego ya Mwindaji wa Ndege, 10/1
Kusitawi Kiroho Wakati wa Kichwa Chenye Mvi, 6/1
Kutaniko na Lijengwe, 4/15
Kutaniko na Limsifu Yehova, 4/15
Mshikamanifu kwa Kristo na kwa Mtumwa Wake Mwaminifu, 4/1
“Msimlipe Yeyote Uovu kwa Uovu,” 7/1
Mwige Mfanya-Wanafunzi Mkuu, 11/15
Na Tulikweze Jina la Yehova Pamoja, 3/1
Neno la Yehova Halikosi Kamwe Kutimia, 11/1
Sababu Kwa Nini Mateso Yote Yatakwisha Karibuni, 5/15
“Simameni Imara Muuone Wokovu wa Yehova,” 12/15
Sitawisha Sifa Zinazoweza Kukusaidia Kufanya Wanafunzi, 11/15
‘Tumeumbwa kwa Njia ya Ajabu,’ 6/15
Tunaweza Jinsi Gani Kutenda kwa Rehema? 9/15
Tunaweza Kufaidika kwa Kuvumilia Mateso, 8/15
Tunaweza Kuwapinga Roho Waovu Jinsi Gani? 3/15
“Ufufuo wa Kwanza”—Unaendelea Sasa! 1/1
Usiache Kamwe Kukuza Uthamini Wako, 2/1
Usitenganishe Kile Ambacho Mungu Ameunganisha, 5/1
“Utakuwa na Shangwe Kwelikweli,” 1/1
Vijana—Fuatieni Miradi Inayomletea Mungu Heshima, 5/1
Wafundishe Watoto Wako Kumpenda Yehova, 9/1
Wake, Waheshimuni Sana Waume Wenu, 2/15
Waliozeeka Ni Baraka kwa Vijana, 6/1
Wasaidie Wengine Watii Mambo Ambayo Biblia Inafundisha, 1/15
“Watoto, Watiini Wazazi Wenu,” 2/15
Waume, Tambueni Ukichwa wa Kristo, 2/15
Wazazi—Wazoezeni Watoto Wenu kwa Upendo, 9/1
Yehova Anathamini Utii Wako, 6/15
Yehova Ni Mpenda-Haki, 8/15
Yehova Ni Mungu Anayethamini, 2/1