Yaliyomo
Yaliyomo
Mei 15, 2008
Toleo la Funzo
MAKALA ZA FUNZO ZA MAJUMA YA:
Juni (Mwezi wa 6) 30–Julai (Mwezi wa 7) 6
Tunapaswa Kuwatendea Wengine Jinsi Gani?
UKURASA WA 3
NYIMBO ZA KUTUMIWA: 35, 62
Julai 7-13
UKURASA WA 7
NYIMBO ZA KUTUMIWA: 95, 145
Julai 14-20
Ukombozi Kupitia Ufalme wa Mungu Uko Karibu!
UKURASA WA 12
NYIMBO ZA KUTUMIWA: 181, 130
Julai 21-27
Chagua Kumtumikia Yehova Ukiwa Kijana
UKURASA WA 17
NYIMBO ZA KUTUMIWA: 157, 221
Julai 28–Agosti (Mwezi wa 8) 3
Fanya Maendeleo ya Kiroho kwa Kufuata Mfano wa Paulo
UKURASA WA 21
NYIMBO ZA KUTUMIWA: 123, 129
Kusudi la Makala za Funzo
Makala ya Funzo ya 1 na ya 2 UKURASA 3-11
Katika Mahubiri yake ya Mlimani yanayojulikana sana, Yesu alikazia umuhimu wa kuwa mwenye tabia-pole, mwenye rehema, na mwenye kufanya amani. Aliwahimiza wafuasi wake ‘waache nuru yao iangaze’ na akaonyesha jinsi tunavyopaswa kuwatendea adui zetu na wengine.
Makala ya Funzo ya 3 UKURASA 12-16
Fikiria jinsi unavyoweza kueleza kwa nini kuna uhitaji mkubwa zaidi leo wa ukombozi kuliko wakati mwingine wowote. Ona jinsi unavyoweza kumtambua Yehova kuwa Mkombozi Mkuu na kuwaonyesha wengine jinsi Ufalme wa Mungu utakavyowakomboa wanadamu hivi karibuni.
Makala ya Funzo ya 4 na ya 5 UKURASA 17-25
Kwa nini vijana wanapaswa kumtumikia Mungu? Je, wanaweza kufanikiwa kuishi kulingana na wakfu wao kwa Yehova bila kujali jinsi wengine wanavyowaona? Ni nafasi gani za utumishi zilizo mbele yao? Mfano wa mtume Paulo unaweza kuwasaidia jinsi gani wote katika kutaniko wafanye maendeleo ya kiroho? Maswali ya maana kama hayo yanazungumziwa katika makala hizi mbili.
PIA KATIKA TOLEO HILI:
Fuatia “Utakatifu Katika Kumwogopa Mungu”
UKURASA WA 26
Jinsi Ambavyo Baraza Linaloongoza Limepangwa
UKURASA WA 29
Neno la Yehova Liko Hai—Mambo Makuu Katika Kitabu cha Matendo
UKURASA WA 30