Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Fahirisi ya Habari za Mnara wa Mlinzi 2008

Fahirisi ya Habari za Mnara wa Mlinzi 2008

Fahirisi ya Habari za Mnara wa Mlinzi 2008

Ikionyesha tarehe ya toleo ambamo makala inapatikana

BIBLIA

Hati ya “Wimbo wa Baharini,” 11/15

Inabadili Maisha, 8/1

Je, Inatabiri Kuhusu Wakati Ujao, 10/1

Kuchagua Tafsiri Nzuri, 5/1

Maandishi Matakatifu, 9/1

Maandishi ya Kale ya Kikabari na Biblia, 12/15

Mambo Makuu Katika Tito, Filemoni, na Waebrania, 10/15

Mambo Makuu Katika Wagalatia, Waefeso, Wafilipi, na Wakolosai, 8/15

Mambo Makuu Katika Waroma, 6/15

Mambo Makuu Katika Wakorintho wa 1 na wa 2, 7/15

Mambo Makuu Katika Wathesalonike wa 1 na wa 2, na Timotheo wa 1 na wa 2, 9/15

Mambo Makuu Katika ya Yohana wa 1, wa 2, na wa 3, na Yuda, 12/15

Mambo Makuu Katika Yakobo, na Petro wa 1 na wa 2, 11/15

Mambo Makuu Katika Luka, 3/15

Mambo Makuu Katika Marko, 2/15

Mambo Makuu Katika Matendo, 5/15

Mambo Makuu Katika Mathayo, 1/15

Mambo Makuu Katika Yohana, 4/15

Vitabu vya Injili Vinategemeka Kadiri Gani? 10/1

MAISHA NA SIFA ZA KIKRISTO

Alitaka Kusaidia, 6/1

Fikiria “Mwisho Baadaye,” 9/1

Fuata “Utakatifu Katika Kumwogopa Mungu,” 5/15

‘Fuatilia Mambo Yanayofanya Kuwe na Amani,’ 11/15

“Iweni Waigaji wa Mungu,” 10/1

Jenga Familia Yako kwa “Maneno Yenye Kujenga,” 1/1

Jifunze Kutokana na Makosa ya Waisraeli, 2/15

Jinsi ya Kuwa Baba Mzuri, 10/1

Kufanikiwa Ukiwa Mama, 2/1

Kupata Furaha Hata Ukivunjika Moyo, 3/1

Kutatua Matatizo, 5/1

Kuwafariji Watu Wenye Ugonjwa Usioweza Kupona, 5/1

Kuwajibika Sikuzote Katika Ndoa, 11/1

Kuwalea Watoto Katika Ulimwengu Wenye Uendekevu, 4/1

Kuwasiliana na Vijana Wanaobalehe, 8/1

Kwa Nini Uonyeshe Shukrani? 8/1

Mipango Yako Inapatana na Kusudi la Mungu? 7/1

Msaidie Mtoto Wako Akabiliane na Huzuni, 7/1

Mwenye Nguvu Ingawa Dhaifu, 6/15

Mwige Yesu—Mwabudu Mungu kwa Njia Inayokubalika, 9/15

Ndugu za Yosefu Walikuwa na Wivu, 10/1

Ongeza Ujuzi Sahihi, 9/15

Samweli Alifanya Yaliyo Sawa, 8/1

Tunavyopaswa Kuwatendea Wengine, 8/1

Udadisi, 6/1

Unajenga Juu ya Mchanga au Mwamba? 11/1

Unataka Kuwa Mtu wa Aina Gani? 11/15

Usafi—Kwa Nini Ni Muhimu? 12/1

Uwe na Matarajio Yenye Usawaziko, 7/15

Wako Peke Yao Lakini Hawajasahauliwa (makao ya kuwatunzia wazee), 4/15

Waliboresha Maisha Yao, 1/15

Wanapopepetwa Kama Ngano, 1/15

MAKALA ZA FUNZO

Aliazimia Kutoa Ushahidi Kamili, 12/15

Chagua Kumtumikia Yehova Ukiwa Kijana, 5/15

Dumisha “Kamba Yenye Nyuzi Tatu” Katika Ndoa, 9/15

Dumisha “Upendo Uliokuwa Nao Mwanzoni”

Dumisha Ushikamanifu Ukiwa na Moyo Kamili, 8/15

“Endelea Kuangalia Huduma Ambayo Uliikubali Katika Bwana,” 1/15

Endelea Kumweka Yehova Mbele Yako Daima, 2/15

Endeleeni Kutenda Mema, 5/15

Fanya Maendeleo ya Kiroho kwa Kufuata Mfano wa Paulo, 5/15

Hujui Ni Wapi Itafanikiwa! 7/15

Ipinge “Roho ya Ulimwengu,” 9/15

Je, Utashikilia Kabisa Utimilifu Wako, 12/15

Jibu la Yehova kwa Sala ya Kutoka Moyoni, 10/15

Kataa Kabisa “Vitu Visivyo na Thamani,” 4/15

Kazia Uangalifu ‘Ufundi Wako wa Kufundisha,’ 1/15

Kubali Mamlaka ya Yehova, 6/15

Kubali Maoni ya Wengine na Uwe Mwenye Usawaziko, 3/15

Kushinda Magumu ya Huduma ya Nyumba kwa Nyumba, 7/15

Kuwapo kwa Kristo—Kunamaanisha Nini Kwako? 2/15

Kwa Nini Huduma ya Nyumba kwa Nyumba Ni ya Maana? 7/15

Kwa Nini Uendelee Kuwa Mtimilifu? 12/15

‘Macho ya Yehova Yanayong’aa’ Yanawachunguza Wote, 10/15

Mheshimu Yehova kwa Kuonyesha Heshima, 8/15

‘Mpinge Ibilisi’ Kama Yesu Alivyofanya, 11/15

‘Mungu Ndiye Anayeikuza’! 7/15

Mwige Yule Mmishonari Mkuu Zaidi, 2/15

Ndoa na Kuwa Mzazi Katika Wakati Huu wa Mwisho, 4/15

“Ni Nani Aliye na Hekima na Mwenye Uelewaji Kati Yenu?” 3/15

Ni Nini Kinachofanya Maisha Yawe Yenye Kusudi? 4/15

Pata Shangwe Katika Ndoa Yako, 3/15

Sifa Ambazo Ni Lazima Tufuatilie, 6/15

Tafuta Mwongozo wa Mungu Katika Kila Jambo, 4/15

Tembea Katika Njia za Yehova, 2/15

Thamini Daraka la Pekee la Yesu Katika Kusudi la Mungu, 12/15

Tunapaswa Kuwatendea Wengine Jinsi Gani? 5/15

Ukombozi Kupitia Ufalme wa Mungu Uko Karibu! 5/15

Unawaona Wengine Kama Yehova Anavyowaona? 3/15

Unazungumza ile “Lugha Safi” kwa Ufasaha? 8/15

Utatoa Nini Ili Uendelee Kuishi? 10/15

Uwe na Maoni Yanayopatana na Maandiko Kuhusiana na Matibabu, 11/15

Vijana, Mkumbukeni Muumba Wenu Mkuu Sasa, 4/15

Vitu Ambavyo Ni Lazima Tuvikimbie, 6/15

Wamehesabiwa Kuwa Wanastahili Kuongozwa Kwenye Chemchemi za Maji ya Uzima, 1/15

Wamehesabiwa Kuwa Wanastahili Kuupokea Ufalme, 1/15

Wasaidieni Kondoo Waliopotea, 11/15

Wasaidieni Warudi Haraka! 11/15

Watu Wenye “Mwelekeo Unaofaa” Wanaitikia, 1/15

Wewe Ni wa Kwanza Katika Kuonyesha Heshima? 10/15

Yehova Alikuwa “Mwokoaji” Nyakati za Biblia, 9/15

Yehova Anasikia Vilio Vyetu vya Kuomba Msaada, 3/15

Yehova Anatutazama kwa Faida Yetu, 10/15

Yehova Anawatunza kwa Upendo Watumishi Wake Waliozeeka, 8/15

Yehova Hatawaacha Washikamanifu Wake, 8/15

Yehova Ni “Mwokoaji” Wetu, 9/15

Yesu Kristo—Yule Mmishonari Mkuu Zaidi, 2/15

MAMBO MENGINE

Adamu Angeweza Jinsi Gani Kutenda Dhambi? 10/1

Alikata “Kauli Moyoni Mwake” (Maria), 10/1

Alitazama na Kungoja (Eliya), 4/1

Alitetea Ibada Safi (Eliya), 1/1

Amani ya Akili, 2/1

“Cheti cha Talaka,” 9/1

Daudi—Kwa Nini Hakuogopa

Dunia Ina “Homa,” 9/1

Dunia Itaokoka? 8/1

Dunia Yetu Itaharibiwa? 4/1

Ekaristi, 4/1

Fundisho la Mageuzi Linapatana na Biblia? 1/1

Hali Zitakuwa Nzuri? 8/1

Har–Magedoni, 4/1

Hasira ya Ndugu (Kaini), 7/1

Kizuizi Halisi? (Efe. 2:11-15), 7/1

Kupatanisha Andiko Linalosema, ‘Mle Vitu Vinono’ (Neh. 8:10) na Linalosema, “Msile Mafuta Yoyote” (Law. 3:17), 12/15

Kusoma Kitabu cha Kukunjwa, 4/1

Kusudi la Maisha, 2/1

“Kuwekewa Mikono” (Ebr. 6:2), 9/15

Kwa Nini Wayahudi Walianza Maadhimisho ya Sabato Jioni? 10/1

Kwa Nini Wayahudi Walitawanyika Katika Siku za Yesu? 11/1

Kwa Nini Zekaria Alitabiri Kuanguka kwa Tiro Baada ya Uharibifu? 6/1

Lidia Unatuhusu Leo, 4/1

Machozi Katika Kiriba, 10/1

Mafuta Yenye Marashi Yaliyotumiwa na Maria, 5/1

Maji Yanayobubujika Ili Kutokeza Uhai, 6/1

Makabila ya Israeli Yalikuwa 12 au 13? 7/1

Marko Hakukata Tamaa, 2/1

Mawe ya Hekalu, 8/1

“Merikebu za Tarshishi,” 11/1

Mpendwa Anapokufa, 7/1

Noa na Gharika, 6/1

“Safari ya Siku ya Sabato,” 10/1

Sarafu Mbili za Mjane, 3/1

“Sheria Imekuwa Mtunzaji Wetu,” 3/1

Sulemani Alikuwa na Dhahabu Nyingi Kadiri Gani? 11/1

“Tazama! Kijakazi wa Yehova!” (Maria), 7/1

Tel Aradi, 7/1

Timotheo, 4/1

Tumaini la Wafu, 11/1

Ufalme wa Mungu, 1/1, 5/1

Uharibifu wa Sodoma na Gomora, 3/1

Ukubwa wa Bahari ya Kuyeyushwa, 2/1

Unaogopa Moto wa Mateso? 11/1

‘Uponyaji wa Kimuujiza’ Leo Unatoka kwa Mungu? 12/1

Vita vya Har–Magedoni Vitapiganwa Wapi? 4/1

Wakati Ambapo Sauli Alianza Kuitwa Paulo, 3/1

Wakristo wa Mapema Katika Utamaduni wa Ugiriki, 12/1

Waliopanga Njama ya Kuua Wauawa! (Danieli), 11/1

Wayahudi Wote Watageuka na Kuwa Wakristo? (Ro 11:26), 6/15

Yeriko Lilikuwa Jiji Moja au Majiji Mawili? 5/1

Yesu na Petro Watumia Sarafu Moja Kulipa Kodi ya Hekalu, 2/1

MASHAHIDI WA YEHOVA

Ahadi ya Maana Sana, 3/15

Alikuwa Tayari Kuitetea Imani Yake (msichana wa shule), 6/15

Biblia Inabadili Maisha, 8/1

Jinsi Ambavyo Baraza Linaloongoza Limepangwa, 5/15

Kueneza Habari Njema Katika Milima ya Andes, 3/15

Kuhitimu Gileadi, 2/15, 8/15

Kuhubiri Sokoni, 9/15

Kumtumikia Mungu kwa “Moyo na Nafsi Moja” (michango), 11/15

“Kuongozwa na Roho ya Mungu,” Makusanyiko, 3/1

Kwa Nini Hawaendi Vitani? 7/1

Kwa Nini Hawatumii Msalaba Katika Ibada? 3/1

Kwa Wasomaji Wetu (mambo mapya katika Mnara wa Mlinzi), 1/1

Mshipi Mweusi Ulipofunguliwa, 12/1

Msiba Wakumba Visiwa vya Solomon, 5/1

“Msichana Mwisraeli wa Kisasa,” 6/1

Ni Wao Tu Watakaookolewa? 11/1

Nilijifunza Thamani ya Uhai, 9/1

‘Nitakisoma Kando ya Moto Leo Usiku,’ 6/1

“Sijawahi Kamwe Kuhisi Upendo Kama Huu” (Jamhuri ya Dominika), 3/1

Siku ya Wageni Yenye Kusudi (Afrika Kusini), 11/1

Suluhisho la Hekima (kuhudhuria kusanyiko), 6/15

Toleo la Funzo la Mnara wa Mlinzi, 1/15

Uhuru wa Kweli kwa Wamaya, 12/1

Ujenzi Unaomletea Yehova Sifa (Majumba ya Ufalme Nchini Mexico na Belize), 2/1

“Ukifika Kwenye Mto Coco, Nenda Upande wa Kulia,” 9/1

Walioshambuliwa Watetewa (Jamhuri ya Georgia), 3/1

Wanakubali Agano la Kale? 12/1

Wanavunja Ndoa za Watu? 11/1

MASIMULIZI YA MAISHA

“Ananiongoza Katika Mapito ya Uadilifu”(O. Campbell), 3/1

Hatukuogopa—Yehova Alikuwa Pamoja Nasi (E. Petridou), 7/15

Imani Ilivyonisaidia Kukabiliana na Misiba (S. Castillo), 10/1

Kupata Faraja Baada ya Kukosa Tumaini Ujanani (E. Morcillo), 1/1

Mungu Amenionyesha Rehema (B. Močnik), 7/1

Nilitafuta Makosa Nikapata Kweli (R. S. Marshall), 12/1

Nimeona Kundi la Mungu Likikua Nchini Korea, (M. Hamilton), 12/15

Shangwe Maishani kwa Kufanya Mapenzi ya Yehova (B. Yaremchuk), 6/1

“Usisahau Kamwe Kuhubiri Nyumba kwa Nyumba” (J. Neufeld), 9/1

“Yehova Ni Nguvu Zangu” (J. Coville), 10/15

YEHOVA

Anaelewa Maumivu Yetu, 5/1

Anarudisha Uhai, 3/1

Anatuona Kuwa Wenye Thamani, 4/1

Baba Asiye na Kifani, 1/1

Chochote ‘Kitutenganishe na Upendo wa Mungu’? 8/1

“Hayuko Mbali Sana,” 7/1

“Iweni Waigaji wa Mungu,” 10/1

Jina la Mungu Liko Katika Agano Jipya? 8/1

Kuna Njia Fulani Hususa Tunayopaswa Kumtumikia Mungu? 6/1

Kuwa Watoto wa Mungu, 3/1

“Kwa Kweli Hilo Ni Jina la Mungu Ambalo Ni Takatifu na Kuu Zaidi,” 10/15

Kwa Nini Anaruhusu Mateso? 2/1

Mchungaji Anayejali, 2/1

Misiba ya Asili ni Adhabu Kutoka Mungu? 5/1

“Mungu wa Faraja Yote,” 9/1

Muumba Anayestahili Sifa Zetu, 12/1

Ni “Jina Lisilopaswa Kutamkwa”? 6/1

Ni Mpenda Haki, 11/1

Ni Vibaya Kutumia Jina la Mungu, 7/1

Tayari Kusamehe, 6/1

Tulitumie Jina la Mungu Ikiwa Hatujui Linavyopaswa Kutamkwa? 9/1

Tunayojifunza Kutoka kwa Yesu, 2/1

Unamfahamu Baba Yako wa Mbinguni? 9/1

Uumbaji Unafunua Nini Kumhusu Mungu, 5/1

Yale Anayotabiri Yehova, 1/1

YESU KRISTO

Alifanya Kazi ya Useremala, 12/1

Alimaanisha Moto wa Mateso? (Marko 9:48), 6/15

Alizungumza Lugha Gani? 8/1

Amponya Kipofu Hatua kwa Hatua, 4/1

Ana Uvutano Gani Maishani Mwako? 12/1

Aponya Kimuujiza, 5/1

Awashangaza Wasikilizaji Wake, 9/1

Jinsi Kifo cha Yesu Kinavyoweza Kukuokoa, 3/1

Kutabiri Kuhusu Masihi, 10/1

Kwa Nini Ilimchukua Siku Nne Kufika Kwenye Kaburi la Lazaro? 1/1

Kwa Nini Pilato Aliogopa Kwamba Yesu “Alijifanya Mwenyewe Kuwa Mwana wa Mungu”? 6/1

Kwa Nini Tusali Katika Jina la Yesu? 2/1

Kwa Nini Yudasi Alipewa Vipande 30 vya Fedha? 9/1

“Mungu” au “mungu”? 11/1

Petro Amkana Yesu, 1/1

Tunavyopaswa Kuwatendea Wengine, 8/1

Wanajimu Walienda Kumwona Wakati Gani? 1/1

“Wenye Kutunza Akiba” Watajwa, 12/1