Yaliyomo
Yaliyomo
Desemba 15, 2008
Toleo la Makala
MAKALA ZA FUNZO ZA MAJUMA YA:
Februari (Mwezi wa 2) 2-8
Kwa Nini Uendelee Kuwa Mtimilifu?
UKURASA WA 3
NYIMBO ZA KUTUMIWA: 10, 160
Februari 9-15
Je, Utashikilia Kabisa Utimilifu Wako?
UKURASA WA 7
NYIMBO ZA KUTUMIWA: 26, 29
Februari 16-22
Thamini Daraka la Pekee la Yesu Katika Kusudi la Mungu
UKURASA WA 12
NYIMBO ZA KUTUMIWA: 205, 105
Februari 23–Machi (Mwezi wa 3) 1
Aliazimia Kutoa Ushahidi Kamili
UKURASA WA 16
NYIMBO ZA KUTUMIWA: 6, 193
Kusudi la Makala za Funzo
Makala ya Funzo ya 1 na 2 UKURASA WA 3-11
Utimilifu ni nini? Kwa nini ni sifa ya maana sana? Tunaweza kufanya nini ili tuwe na sifa ya utimilifu na kuidumisha? Je, tukipoteza sifa hiyo tunaweza kuipata tena? Utapata majibu ya maswali hayo katika makala hizi mbili.
Makala ya Funzo ya 3 UKURASA WA 12-16
Yesu ana daraka la pekee katika kutimizwa kwa kusudi la Mungu. Makala hii inazungumzia majina sita ya cheo ya Yesu. Majina hayo yanaonyesha jinsi ambavyo Yesu ni wa pekee. Pia, tutaona jinsi tunavyoweza kumwiga Yesu kupitia njia aliyotimiza daraka lake la pekee.
Makala ya Funzo ya 4 UKURASA WA 16-20
Tunapochunguza mambo ambayo mtume Paulo aliwaambia wazee Waefeso, ambayo yamerekodiwa katika Matendo sura ya 20, tunaweza kuona jinsi alivyoweza kutoa ushahidi kamili. Nasi tutajifunza jinsi na kwa nini tunaweza kutoa ushahidi kamili kuhusu habari njema.
PIA KATIKA TOLEO HILI:
Maandishi ya Kale ya Kikabari na Biblia
UKURASA WA 21
Nimeona Kundi la Mungu Likikua Nchini Korea
UKURASA WA 23
Neno la Yehova Liko Hai—Mambo Makuu Katika Barua za Yohana na ya Yuda
UKURASA WA 27
UKURASA WA 30
Fahirisi ya Habari za Mnara wa Mlinzi 2008
UKURASA WA 31
UKURASA WA 32