Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Yaliyomo

Yaliyomo

Yaliyomo

Desemba 15, 2008

Toleo la Makala

MAKALA ZA FUNZO ZA MAJUMA YA:

Februari (Mwezi wa 2) 2-8

Kwa Nini Uendelee Kuwa Mtimilifu?

UKURASA WA 3

NYIMBO ZA KUTUMIWA: 10, 160

Februari 9-15

Je, Utashikilia Kabisa Utimilifu Wako?

UKURASA WA 7

NYIMBO ZA KUTUMIWA: 26, 29

Februari 16-22

Thamini Daraka la Pekee la Yesu Katika Kusudi la Mungu

UKURASA WA 12

NYIMBO ZA KUTUMIWA: 205, 105

Februari 23–Machi (Mwezi wa 3) 1

Aliazimia Kutoa Ushahidi Kamili

UKURASA WA 16

NYIMBO ZA KUTUMIWA: 6, 193

Kusudi la Makala za Funzo

Makala ya Funzo ya 1 na 2 UKURASA WA 3-11

Utimilifu ni nini? Kwa nini ni sifa ya maana sana? Tunaweza kufanya nini ili tuwe na sifa ya utimilifu na kuidumisha? Je, tukipoteza sifa hiyo tunaweza kuipata tena? Utapata majibu ya maswali hayo katika makala hizi mbili.

Makala ya Funzo ya 3 UKURASA WA 12-16

Yesu ana daraka la pekee katika kutimizwa kwa kusudi la Mungu. Makala hii inazungumzia majina sita ya cheo ya Yesu. Majina hayo yanaonyesha jinsi ambavyo Yesu ni wa pekee. Pia, tutaona jinsi tunavyoweza kumwiga Yesu kupitia njia aliyotimiza daraka lake la pekee.

Makala ya Funzo ya 4 UKURASA WA 16-20

Tunapochunguza mambo ambayo mtume Paulo aliwaambia wazee Waefeso, ambayo yamerekodiwa katika Matendo sura ya 20, tunaweza kuona jinsi alivyoweza kutoa ushahidi kamili. Nasi tutajifunza jinsi na kwa nini tunaweza kutoa ushahidi kamili kuhusu habari njema.

PIA KATIKA TOLEO HILI:

Maandishi ya Kale ya Kikabari na Biblia

UKURASA WA 21

Nimeona Kundi la Mungu Likikua Nchini Korea

UKURASA WA 23

Neno la Yehova Liko Hai—Mambo Makuu Katika Barua za Yohana na ya Yuda

UKURASA WA 27

Je, Unakumbuka?

UKURASA WA 30

Fahirisi ya Habari za Mnara wa Mlinzi 2008

UKURASA WA 31

Maswali Kutoka kwa Wasomaji

UKURASA WA 32