Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Yaliyomo

Yaliyomo

Yaliyomo

Juni 15, 2011

Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania. Haki Zote Zimehifadhiwa

Toleo la Funzo

MAKALA ZA FUNZO ZA MAJUMA YA:

Agosti (Mwezi wa 8) 1-7, 2011

Kuna Habari Njema Ambayo Watu Wote Wanahitaji

UKURASA WA 7

NYIMBO ZA KUTUMIWA: 47, 101

Agosti 8-14, 2011

Mungu Anapendekeza Upendo Wake Kwetu

UKURASA WA 11

NYIMBO ZA KUTUMIWA: 18, 91

Agosti 15-21, 2011

“Lichungeni Kundi la Mungu Lililo Chini ya Uangalizi Wenu”

UKURASA WA 20

NYIMBO ZA KUTUMIWA: 42, 84

Agosti 22-28, 2011

“Mwatilie Maanani Wale Wanaofanya Kazi kwa Bidii Kati Yenu”

UKURASA WA 24

NYIMBO ZA KUTUMIWA: 123, 53

Kusudi la Makala za Funzo

MAKALA YA 1 NA YA 2 YA FUNZO UKURASA WA 7-15

Katika kitabu cha Waroma, mtume Paulo alizungumzia jambo fulani kuhusu “habari njema” ambalo linawahusu wanadamu wenye dhambi. Ni jambo gani hilo, na unaweza kufaidika jinsi gani kutokana na jambo hilo kuhusu “habari njema”? Makala hizi mbili zitakusaidia kuelewa kwa undani zaidi na kuthamini dhabihu ya Yesu na upendo ambao Mungu alionyesha kupitia dhabihu hiyo.

MAKALA YA 3 NA YA 4 YA FUNZO UKURASA WA 20-28

Makala hizi zinazungumzia jinsi wazee wanavyoweza kuthamini hata zaidi pendeleo la kuwa wachungaji. Pia, zinazungumzia njia ambazo washiriki wa kutaniko wanaweza kuonyesha kwamba wanawaheshimu wazee kikweli.

PIA KATIKA TOLEO HILI

3 Je, Vijana Wanapaswa Kubatizwa?

16 Je, Kweli Abrahamu Alikuwa na Ngamia?

18 ‘Leta Vitabu vya Kukunjwa, Hasa Vile vya Ngozi’

29 Unaweza ‘Kuifanikisha Njia Yako’—Jinsi Gani?